Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,686
mkuu kwan mfalme hapendi vitu ya insta?
mfalme anapenda vinyuzi akate mwenyewe,sasa huko insta hakunaga vinyuzi!!!teh teh teh!huwa kuna watu wanaokagua hawa wadada kama wana vinyuzi....sasa this time wamemuonea wivu wamempa used akaseme nae mbelembele akikuta kitu used unadhani atapiga mayowe??itabidi amezee tu!nasisistiza hii ni hukumu ya macho yangu tu sio lazima iwe kweli