Mke mpya wa Mfalme Mswati

Mke mpya wa Mfalme Mswati

Kuna Mshikaji Huko Congo Nilimsimulia Kuhusu Mswati Alimpenda Kweli Anasema Hicho Ndio Kidume Anatamani Angefika Swaz Ashuhudie Hizo Shehere
 
NiUMkristohimtz, pohuwa1672vipindievyarnaha0989"]Huyu mfamle ana abudu kupitia dini gani?[/QUOTE]
Ni Mkristo safi,na huwa na vipindi vya kuhubiri kwenye Tv na watu wanasikiliza!
 
Huyu jamaa hivyo vyombo anavyojizolea anawatafuta watu lawama tu...yupo age48 ana wake 15 tena wengine under 30 hata kama akatumia Viagra vipi bado atakuwa anawatesa tu hao wanawake.
Wanawake wenyewe wanaona ufahari
 
new%252Bmke%252Bwa%252Bmswati.jpg
She is looking sex whaoooo...
 
huyu msichana ukimuangalia vizuri dizaini sister duu mjanja flan pozi za mdomo zile za insta na fb....this time mfalme kaingizwa chaka....hii ni hukumu yangu ya macho.
 
hawatimizii wanabaki kutumiwa na walinzi
Unajua adhabu ya mtu anayekutwa akimgongea ??? Ni kupigwa msumari wa chuma kichwani, baada ya hapo maiti yake inayeyushwa kwa kutumia asidi ili kuisafisha nchi kaburi lako lisionekane kokote. Hao wanawake wanaogopwa sana kwanza sio rahisi awe alisha kuwa mpenzi wako maana ni vigoli na wanakuwa bikra, kama akikupenda mtakuwa mnakutana nje ya nchi hasa S.A unakula kitu huko huko tena ndani ya saloon sio hotelini maana mfalme ana intelijensia kali, wengi wa wafanya kazi wa Usalama ni wa ukoo wa Kifalme yaani Dlamin !!
 
mfalme macho yake hayana chenga...anaona vizuri bila shaka
Mkuu, hii ni mila kuna Kamati Maalum ya kuchunguza na kupendekeza mke mtarajiwa kutoka kwenye rika linalotarajiwa kuingia na kutoka jandoni, baaadhi ya familia hupenda zenyewe watoto wao waolewe na mfalme ili waingie kwenye royal familly, nyingine hazitaki kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom