Mke kuitwa mama

Mke kuitwa mama

Jua umekaa kama mama ila bado anatafuta aliyekaa kama mke. Kwa style hio michepuko haipungui
Akili yako inatia mashaka, mke kupewa heshima ya mama ni haki yake na sio kwamba hana hadhi ya kuwa mke, ukimuita mkeo mama means ume m value kwa viwango unavyo m value mama yako
 
Kama ulinipima ukakuta inatia shaka shukrani. Haitatokea value ya mama ikahamia kwa mke never! Endelea kujidanganya. Mama ni mama,haitotokea afananishwe na mtu mwingine.
Akili yako inatia mashaka, mke kupewa heshima ya mama ni haki yake na sio kwamba hana hadhi ya kuwa mke, ukimuita mkeo mama means ume m value kwa viwango unavyo m value mama yako
 
ٱلَّذِينَ يُظَـٰهِرُونَ مِنكُم مِّن نِّسَآٮِٕهِم مَّا هُنَّ أُمَّهَـٰتِهِمۡ‌ۖ إِنۡ أُمَّهَـٰتُهُمۡ إِلَّا ٱلَّـٰٓـِٔى وَلَدۡنَهُمۡ‌ۚ وَإِنَّہُمۡ لَيَقُولُونَ مُنڪَرًا مِّنَ ٱلۡقَوۡلِ وَزُورًا‌ۚ وَإِنَّ ٱللَّهَ لَعَفُوٌّ غَفُورٌ

If any men among you divorce their wives by Zihar (calling them mothers), they cannot be their mothers: None can be their mothers except those who gave them birth. And in fact they use words (both) iniquitous and false: but truly Allah is one that blots out (sins), and forgives (again and again).
 
Kama ulinipima ukakuta inatia shaka shukrani. Haitatokea value ya mama ikahamia kwa mke never! Endelea kujidanganya. Mama ni mama,haitotokea afananishwe na mtu mwingine.
I see kweli wewe u mjinga (samahani kwa kusema hivyo) ila wapi nimesema uhamishe thamani ya mama yako?
Kama ulinipima ukakuta inatia shaka shukrani. Haitatokea value ya mama ikahamia kwa mke never! Endelea kujidanganya. Mama ni mama,haitotokea afananishwe na mtu mwingine.
 
Akili yako inatia mashaka, mke kupewa heshima ya mama ni haki yake na sio kwamba hana hadhi ya kuwa mke, ukimuita mkeo mama means ume m value kwa viwango unavyo m value mama yako
Mkeo hawezi kuwa na thamani ya mama yako aliyekuzaa punguani we! Wala mama yako hawezi kuwa na thamani ya mkeo.
Mke tambulisha tu huyu ndiye mke wangua au mama wa watto wangu vinginevyo ukitumia Neno MAMA lazima lifatiwe na kisifa.
 
Akili yako inatia mashaka, mke kupewa heshima ya mama ni haki yake na sio kwamba hana hadhi ya kuwa mke, ukimuita mkeo mama means ume m value kwa viwango unavyo m value mama yako
Mke ukimwita mama unamzeesha....bora umwite baby yaani mtoto.
 
Back
Top Bottom