Hao watu hawapo kwa sasa inaonyesha walikutishia sana eeh! Pole sana
Karibu uji wa jioni baba,uongeze nguvu za mwiliniHasira za nn wewe "mama" (kama mumeo anavyokuita)wanichukia bure "mama" uzi si wangu wewe si wako chuki ya nini kati yangu mimi na wewe,sina makosa sina makosa mie.
Nimekumiss ww na supermaketKuna watu wafuatao
Mama
Mamaa
Mam
Hao ni watu tofaut kabisa
Wanafanya makosa!Haifai piaIle wanasemaga Mama Maria Nyerere, Mama Salma Kikwete, Mama Siti Mwinyi nk imekaaje kwa muktadha huu?
Aisee!mbona tunavuaga kwa madaktari!utakuwa ni ujinga mkubwa mama yako kumfananisha na mkeo!Ulikua hujui? Mvulie boxer mama yako Leo umuonyeshe kipele cha tako kama utaweza
Ndio akili za wanaume wengi wakiambiwa thamani ya mke wao hudhani wake wanafananishwa na mama zao, wanakua mbogo balaa lakini hao hao mama zao wanalalia telemka tukaze huku wake zao waki bang na ma iPhone sasa sijui wanatumiaga akili za wapii...ila Mkuu Daktari sio mama yako don't take it personalAisee!mbona tunavuaga kwa madaktari!utakuwa ni ujinga mkubwa mama yako kumfananisha na mkeo!
usije kurudia tena kocoment unapita!Napitaa
Kuna watu wafuataoKuna watu wafuatao
Mama
Mamaa
Mam
Hao ni watu tofaut kabisa