Usipende kuongea visivyokuhusu MkuuNdio huu huu. Sijakuona pengine na hata nikikuona hainihusu.
Usipende kuongea visivyokuhusu Mkuu
Kama yamewakuta maana yake wamepungukiwa,usinifundishe maishaUsipende kuita wenzio punguani hujui yapi yamewakuta ndo wakaamua toa michango yao kwa thread husika.
Ha haa we umejuaje ni msukuma jamaniUkute umesikia "mamaa", ukadhani mama. Wasukuma hata siyo wa kuwaamini sana.
Kumbe wale SENIOR BACHELORS hawatunzwi pale walipoishia mama zao eeh..!! Basi sawa.Ulikua hujui? Mvulie boxer mama yako Leo umuonyeshe kipele cha tako kama utaweza
Tena tamuuuu tuSi ni mama wa watoto wako? Mbona imekaa sawa tu?
Unachojibu hukielewiKumbe wale SENIOR BACHELORS hawatunzwi pale walipoishia mama zao eeh..!! Basi sawa.
Ila tukumbuke kwmb MAMA HAWEZI KUNIACHA na wala HATUTAACHANA kamwe, labda kifo kitutenganishe. Ila mke dakika yyt tu anasepa akipata green pasture....!!! So, hawez kuwa sawa na mama aisee....!!!
Kumbe wale SENIOR BACHELORS hawatunzwi pale walipoishia mama zao eeh..!! Basi sawa.
Ila tukumbuke kwmb MAMA HAWEZI KUNIACHA na wala HATUTAACHANA kamwe, labda kifo kitutenganishe. Ila mke dakika yyt tu anasepa akipata green pasture....!!! So, hawez kuwa sawa na mama aisee....!!!
Kama yamewakuta maana yake wamepungukiwa,usinifundishe maisha
Huu mchezo hauhitaji hasira, kama hutaki kujibiwa weka kufuliHaina haja ya kuquote mtu unayeona umemzid akili. Usinifundishe kukubali mawazo mgando yako. Mind your own business bana. Nimekoment ukawashwa kunijbu tena kwa kejeli.
Huu mchezo hauhitaji hasira, kama hutaki kujibiwa weka kufuli
Wwe u mtoto sana,sibishani na watoto Mimi ,jf challenge ni mahali pake sasa kama hutaki hizo challenge umefata nn hapa?Kama hautaki challenge potezea. Kuita wenzio wajinga wakati nawe ni wale wale ni utoto.
Wwe u mtoto sana,sibishani na watoto Mimi ,jf challenge ni mahali pake sasa kama hutaki hizo challenge umefata nn hapa?
Hao watu hawapo kwa sasa inaonyesha walikutishia sana eeh! Pole sanaHahaha unajijibu na kuuliza swali. Unajiwah kwel. Wewe utakua type ya wale wanaotishia wenzao kwa kuwaambia"unajua mimi ni nani bwana mdogo" wakati hata hana ka cheo ka uzoa taka mtaan kwao(jobless) pole wee
ni haramu kwa mume kumuita mke ww ni kama mama yangu au mke kumuiita mume ww ni kama baba yangu haifai kabisa labda aseme kabisa huyu ni mama wa watoto wangi lakin akisema tu huyu ni mama kwa kweli hapo hapo inakuwa ni haramu tena kumgusa huyo mwanamke kwa sababu kamfananisha na mama yake na niharamu mtu anaekuvulia nguo mkafanya tendo la ndoa kisha unamuita mamaUko na mkeo sehemu, halafu wanakuja marafiki unawatambulisha kuwa huyo ndiye mama. Imekaaje hii!