Mke kuitwa mama

Mke kuitwa mama

Shukran mwerevu. Umeomba samahani ili tu usipate ban. Samahani ya kinafiki my genius, mjenga point.
I see kweli wewe u mjinga (samahani kwa kusema hivyo) ila wapi nimesema uhamishe thamani ya mama yako?
 
Uko na mkeo sehemu, halafu wanakuja marafiki unawatambulisha kuwa huyo ndiye mama. Imekaaje hii!
Usipate shida dini ya haki ilishabainisha hilo "Allah anasema!Wale miongoni mwenu wawaambiao wake zao kuwa wanawaona kama mama zao !hao si mama zao.Hawakuwa mama zao ili wale walio wazaa.wanasema neno baya na la uongo!Na Mwenyezi Mungu ni mwenye msamaha,mwenye maghfira.

Na wale wawaitao wake zao mama zao,.. ..........(Qur'an 58:1-4)
 
Sawa Kabisa Neno Lenye Heshima Kabisa Mi Pia Kwa Mwanamke Nayempenda Namuita Mama Ule Ubaby Baby Sweetie Honey Naona Ya Kitoto Sana,yeye Ni Mama Kwako Na We Ni Baba Kwake.
 
Shukran mwerevu. Umeomba samahani ili tu usipate ban. Samahani ya kinafiki my genius, mjenga point.
usinichekeshe mie leaky wewe unadhani mie naogopa ban?sasa kwa taarifa yako iyo imetoka Moyoni
 
Mke ukimwita mama unamzeesha....bora umwite baby yaani mtoto.
Hayo ni Mawazo yako siwez yapinga, ila Mimi hubby aniitapo "mama naomba niandalie kitu Fulani" huwa najisikia fahari sana
 
Mkeo hawezi kuwa na thamani ya mama yako aliyekuzaa punguani we! Wala mama yako hawezi kuwa na thamani ya mkeo.
Mke tambulisha tu huyu ndiye mke wangua au mama wa watto wangu vinginevyo ukitumia Neno MAMA lazima lifatiwe na kisifa.
Mapunguani mnajulikana tu, wanaume wasio jua thamani ya mke ni nini kauli zenu za hovyo huwa ni za wazi waz sana,
*kwanza sijasema kama mkeo awe na thamani sawa na mama yako, nimesema unapomuita mama unampa uthamani ufananao na ile thamani ya mama yako!
*Pili sioni tatizo kama utampa thamani mkeo itakayoendana na thamani ya mama yako, kumbuka yeye (mama) alikuzaa akakulea mke anakutunza alipoishia mama yako, hivyo ni kama wamepokezana mbio za vijiti aliyeanza na kumalizia wote wamechangia ushindi
Ndio maana katika Dunia hii kuna Laana ya mama
Laana ya baba na
Laana ya mke , mkeo akikulaani kwa jambo la kweli basi madhara yake yataonekana hata kama si Leo
 
Mapunguani mnajulikana tu, wanaume wasio jua thamani ya mke ni nini kauli zenu za hovyo huwa ni za wazi waz sana,
*kwanza sijasema kama mkeo awe na thamani sawa na mama yako, nimesema unapomuita mama unampa uthamani ufananao na ile thamani ya mama yako!
*Pili sioni tatizo kama utampa thamani mkeo itakayoendana na thamani ya mama yako, kumbuka yeye (mama) alikuzaa akakulea mke anakutunza alipoishia mama yako, hivyo ni kama wamepokezana mbio za vijiti aliyeanza na kumalizia wote wamechangia ushindi
Ndio maana katika Dunia hii kuna Laana ya mama
Laana ya baba na
Laana ya mke , mkeo akikulaani kwa jambo la kweli basi madhara yake yataonekana hata kama si Leo
Yani mke anakutunza pale alipoishia mama yako?Aiseee!
 
I don't care. Hoja yangu iko pale pale. Unatumia nguvu nyingi. Aisee pole.
usinichekeshe mie leaky wewe unadhani mie naogopa ban?sasa kwa taarifa yako iyo imetoka Moyoni
 
Ile wanasemaga Mama Maria Nyerere, Mama Salma Kikwete, Mama Siti Mwinyi nk imekaaje kwa muktadha huu?
 
Back
Top Bottom