Mke kufurahia anguko la Mume

Mke kufurahia anguko la Mume

Nikiwa sina hela nakuwa mume bora sana chini ya jua!
Bora umejisemea ukweli, hii kitu sio kwako tu.... I guess hata mtoa mada akiwa hana anakua best husband, akiwa nazo anaenda kula raha zikiisha anarudisha pmb home sasa kwanini asisemewe hivo??!!!

Kuna jamaa yeye alimwendea mke kwa mganga ili afilisike eti mke ana pesa sana hivo anakua na dharau.
 
Katika maisha ya ndoa niliwahi kushuhudia mke wangu wakati fulani anafurahia magumu ninayopitia kazini (demotion na suspension). Tukigombana kidogo tu anabwatuka na utafukuzwa hiyo kazi. Lakini nashukuru Mungu leo hii nafuu kubwa Sana (nilipata kazi nyingine na mshahara mkubwa Zaidi).

Wakati fulani nawaza akili za hawa wanawake wa kichaga siwaelewi). Anyway, pamoja na yote bado tupo pamoja kwa miaka 21 sasa, toka 8 Januari 2000.

La ajabu siku nimepata kazi nzuri zaidi ndo wa kwanza kujibaraguza eti Hongera!

FUNZO:
Mume (hasa vijana) chase ur dream achana na maneno ya mke (akiwemo Mama Mkwe).
Wanawake wa kichagga ndio walivyo
 
Katika maisha ya ndoa niliwahi kushuhudia mke wangu wakati fulani anafurahia magumu ninayopitia kazini (demotion na suspension). Tukigombana kidogo tu anabwatuka na utafukuzwa hiyo kazi. Lakini nashukuru Mungu leo hii nafuu kubwa Sana (nilipata kazi nyingine na mshahara mkubwa Zaidi).

Wakati fulani nawaza akili za hawa wanawake wa kichaga siwaelewi). Anyway, pamoja na yote bado tupo pamoja kwa miaka 21 sasa, toka 8 Januari 2000.

La ajabu siku nimepata kazi nzuri zaidi ndo wa kwanza kujibaraguza eti Hongera!

FUNZO:
Mume (hasa vijana) chase ur dream achana na maneno ya mke (akiwemo Mama Mkwe).
Sijaelewaga mke huwa anatakaga nn?
 
mi kuna mwanamke mmoja alikuwa anapendaga kusema wanaume wote ni mambwa. juz nimekutana nae ana mimba nikajua mbwa washajiowmgeza.
 
Yaani angekua wangu saivi angekua kwao mwaka wa ishirini.
Hadi mke akambie hivyo lazima kuna sababu kubwa na wewe ndo chanzo. Na kumuacha huwezi maana unatambua kabisa yupo sahihi chanzo ni wewe
 
Hadi mke akambie hivyo lazima kuna sababu kubwa na wewe ndo chanzo. Na kumuacha huwezi maana unatambua kabisa yupo sahihi chanzo ni wewe
😂 😂Hapana chanzo ni yeye kutokunisikiliza
 
Back
Top Bottom