establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,632
- 2,451
- Thread starter
- #41
MmhTuishi nao kwa akili la sivyo watatuua bure!
MmhTuishi nao kwa akili la sivyo watatuua bure!
Hapa ndio ule msemo 'mtoto wa nyoka ni nyoka' unapofanya kazi asilimia 99.9.Kama binti za watu walivyo, ndivyo walivyo mama zao. Wapalestina sio aisee.

Hi ni point ya Muhimu Sana.It's okay scott,.wanandoa pia muwe na utaratibu wa kuomba(MUNGU) pamoja, wengine wanaishi kama wapagani jamanii ndio mambo kama hayo ya kuombeana anguko kama la babeli..
Kwa hiyo Walokole hawana hizo mavitu?Hi ni point ya Muhimu Sana.
Hapo kumzodoa siyo vizuri kabisa !naimagine hiyo ndiyo familia yenu!mafanikio yake ni yako/yenu akifeli mmefeli wote why ufurahie for what?. Mke inatakiwa awe wa kwanza kumsupport kwa hali na mali mumewe ktk mazuri anayoyafanya.sasa asipopewa support na mke atapewa na nani?🤔 Ila na nyie waume basi ukifanikiwa kumbuka familia yako ili tusiwazodoe😀Hahahah ulimbukeni unaponza sana bebe😂😂😂!!!
Ila kuna wanawake wengine kumzodoa mume ni kaliba yao, yani kila ufanyalo atakukejeli tu mwishowe unaamua umpuuze tu unafanya yako 😁
Hapo kumzodoa siyo vizuri kabisa !naimagine hiyo ndiyo familia yenu!mafanikio yake ni yako/yenu akifeli mmefeli wote why ufurahie for what?. Mke inatakiwa awe wa kwanza kumsupport kwa hali na mali mumewe ktk mazuri anayoyafanya.sasa asipopewa support na mke atapewa na nani?🤔 Ila na nyie waume basi ukifanikiwa kumbuka familia yako ili tusiwazodoe😀
Sawa but what was the cause hadi kufikia kufurahia anguko na kutokua na shukrani? Sidhani kama tangu mmeingia kwenye ndoa tu akaanza kuwa hivo! Lazima kuna kitu kimepelekea bana nyie wanaume nyie ukipata na mchepuko huko basi tabu tupu home chakula huli, unachelewa kurudi na hasira zaidi mchepuko unampigia mother house na kumtukana hana lolote dah. Lazima aombee hizo pesa zipungue amani irudi tu🤔Mi huwa naona ni kukosa shukurani tu kwa baadhi ya watu, bills zinalipwa mnakula na wanao ila still unaleta kejeli 😁😁😁!
Some women are really stupid out there, kwanini nisi bang na michepuko. Eti na hio kazi utafukuzwa tu...Hapo ndio utajua hujui!
Yaani wanakuwaga na mineno ya ajabu sana...Katika maisha ya ndoa niliwahi kushuhudia mke wangu wakati fulani anafurahia magumu ninayopitia kazini (demotion na suspension). Tukigombana kidogo tu anabwatuka na utafukuzwa hiyo kazi. Lakini nashukuru Mungu leo hii nafuu kubwa Sana (nilipata kazi nyingine na mshahara mkubwa Zaidi). Wakati fulani nawaza akili za Hawa wanawake wa kichaga siwaelewi). Anyway, pamoja na yote bado tupo pamoja kwa miaka 21 sasa, toka 8 Januari 2000.
La ajabu siku nimepata kazi nzuri zaidi ndo wa kwanza kujibaraguza eti Hongera!!!
FUNZO: Mume (hasa vijana) chase ur dream achana na maneno ya mke (akiwemo Mama Mkwe).
Hapo kweli tunayumbaga ila dah wanawake wetu msitubanie huduma jamani! Hili tatizo linaepukika kama mkiwajibika vyema katika nafasi zenu. Mtudekezege kama tulivyoanza mahusiano.Sawa but what was the cause hadi kufikia kufurahia anguko na kutokua na shukrani? Sidhani kama tangu mmeingia kwenye ndoa tu akaanza kuwa hivo! Lazima kuna kitu kimepelekea bana nyie wanaume nyie ukipata na mchepuko huko basi tabu tupu home chakula huli, unachelewa kurudi na hasira zaidi mchepuko unampigia mother house na kumtukana hana lolote dah. Lazima aombee hizo pesa zipungue amani irudi tu🤔
Katika maisha ya ndoa niliwahi kushuhudia mke wangu wakati fulani anafurahia magumu ninayopitia kazini (demotion na suspension). Tukigombana kidogo tu anabwatuka na utafukuzwa hiyo kazi. Lakini nashukuru Mungu leo hii nafuu kubwa Sana (nilipata kazi nyingine na mshahara mkubwa Zaidi). Wakati fulani nawaza akili za Hawa wanawake wa kichaga siwaelewi). Anyway, pamoja na yote bado tupo pamoja kwa miaka 21 sasa, toka 8 Januari 2000.
La ajabu siku nimepata kazi nzuri zaidi ndo wa kwanza kujibaraguza eti Hongera!!!
FUNZO: Mume (hasa vijana) chase ur dream achana na maneno ya mke (akiwemo Mama Mkwe).
MkuuUtashangaa bado upo nae huyo mwanamke.
#KifoKitutenganishe
Mimi ni mkristo ..ila umenena vyemaMimi naona wanawake wa kiislamu wanaheshimu sana ndoa kuliko wa kikristo..
Mume ukiwa na hela ndoa ya kiislamu ni nzuri sana
HakikaMimi naona wanawake wa kiislamu wanaheshimu sana ndoa kuliko wa kikristo..
Mume ukiwa na hela ndoa ya kiislamu ni nzuri sana
#Chase_your_dream#Katika maisha ya ndoa niliwahi kushuhudia mke wangu wakati fulani anafurahia magumu ninayopitia kazini (demotion na suspension). Tukigombana kidogo tu anabwatuka na utafukuzwa hiyo kazi. Lakini nashukuru Mungu leo hii nafuu kubwa Sana (nilipata kazi nyingine na mshahara mkubwa Zaidi).
Wakati fulani nawaza akili za hawa wanawake wa kichaga siwaelewi). Anyway, pamoja na yote bado tupo pamoja kwa miaka 21 sasa, toka 8 Januari 2000.
La ajabu siku nimepata kazi nzuri zaidi ndo wa kwanza kujibaraguza eti Hongera!
FUNZO: Mume (hasa vijana) chase ur dream achana na maneno ya mke (akiwemo Mama Mkwe).