Mke kufurahia anguko la Mume

Mke kufurahia anguko la Mume

Katika maisha ya ndoa niliwahi kushuhudia mke wangu wakati fulani anafurahia magumu ninayopitia kazini (demotion na suspension). Tukigombana kidogo tu anabwatuka na utafukuzwa hiyo kazi. Lakini nashukuru Mungu leo hii nafuu kubwa Sana (nilipata kazi nyingine na mshahara mkubwa Zaidi).

Wakati fulani nawaza akili za hawa wanawake wa kichaga siwaelewi). Anyway, pamoja na yote bado tupo pamoja kwa miaka 21 sasa, toka 8 Januari 2000.

La ajabu siku nimepata kazi nzuri zaidi ndo wa kwanza kujibaraguza eti Hongera!

FUNZO:
Mume (hasa vijana) chase ur dream achana na maneno ya mke (akiwemo Mama Mkwe).
Dah mkuu una moyo, umeoa Mchagga na kukaa naye miaka yote hiyo? Uko sawa kichwani lakini?
 
Wanaume mnapenda kujiliza liza humu ili mpate sympathy ya wanaume wenzenu...lakini mna tabia chafu sana narudia tena mna tabia chafu kama grisi la matumbi... especially mkipata visenti

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Tulia wewe acha kuponda 😂 yani sie grisi la Matumbi? Ooh Jesus is Lord!!!
 
Aliyehukumu ni mke wa kaka yako, na maneno huumba.

Ukisikia wanawake nuksi na mkosi ni pamoja na huyo mke wa kaka yako, hakuwa na cha kumbaliki mume wake.
Unambariki vipi mtu anayekupa maumivu Jan-Dec?
 
Ndio maana wengine wanaona mke ni bora awe mama wa nyumbani tu
 
Back
Top Bottom