Tetesi: Mkataba wa Bandari: Wabunge wa CCM waitwa kikaoni kesho Mchana, Juni 9, 2023

Taarifa za uhakika kutoka Dodoma ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kesho Ijumaa tarehe 09/6/2023 wametumiwa ujumbe wa wito wa kushiriki kikao cha Wabunge wa CCM - Party caucus Kwa ajili ya kuweka msimamo juu ya kupitisha azimio la mkataba wa Serikali na Dubai.

Kikao hiki kimeitwa siku moja kabla ya siku ya kupitishwa Kwa azimio la Bunge la kuridhia Mkataba huo ambao umesababisha sintofahamu kubwa katika jamii ya watanzania na hata jamii ya kimataifa.

Taarifa za ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kuna mgawanyiko mkubwa miongoni mwao huku kundi moja likiweka bayana kuwa mkataba hauna Maslahi Kwa Taifa na lingine likisemwa kuwa kukataa kupitisha itatia aibu Chama chao hivyo Bora funika kombe Mwanaharamu apite!

Wabunge wanaopinga hoja zao ni zilezile za watanzania wazalendo kuhusu ubovu wa mkataba huo na umilele wake. Kundi hili linaongozwa na wabunge wawili kutoka majimbo ya DSM na kinara wao anatoka Mkoa wa Manyara! ( Majina kapuni ).

Watanzania kama kweli ni wazalendo wanashauriwa kuanzisha kampeni ya kuwapigia simu na jumbe (SMS) Kwa wabunge na kuwataka wakatae kupitisha azimio hilo kwani ni la hatari Kwa Taifa na usalama wa nchi.

Nitawajuza zaidi kwani Kwa sasa vikao viko kila sehemu Dodoma.

TIP: Kuna kundi la wabunge wanaopinga kuwa wabunge kutoka Zanzibar wasiwe sehemu ya kupitisha azimio hilo kwani rasilimali za Tanganyika ndio zinaenda kutolewa na hivyo kama wanataka kushiriki basi Bandari za Zanzibar ziwe sehemu ya mkataba huo.

More to follow, stay tuned!


Ndio tatizo la kuwa na maandazi Bungeni ambayo hayakushinda kura za wananchi , Hawana uchungu kabisa kwa sababu hawawakilishi

Hayo magari waliyohongwa Huku Mitaani wananchi watoe Matairi upepo
 
Viongozi kutoka Pwani na Zanzibar kuna siku wataipiga mnada nchi hii.
Tayari wao wameshapewa pa kuishi Uarabuni ikiwezekana tushike mali zao kuanzia sasa.



Mlimnyima Salim Urais kwa kuwa tu kaka yake yuko Oman….haya sasa watu wana wajomba kaka wa mama Oman na kila wakipata likizo wanaenda huko na wana Makazi
 
Taarifa za uhakika kutoka Dodoma ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kesho Ijumaa tarehe 09/6/2023 wametumiwa ujumbe wa wito wa kushiriki kikao cha Wabunge wa CCM - Party caucus Kwa ajili ya kuweka msimamo juu ya kupitisha azimio la mkataba wa Serikali na Dubai.

Kikao hiki kimeitwa siku moja kabla ya siku ya kupitishwa Kwa azimio la Bunge la kuridhia Mkataba huo ambao umesababisha sintofahamu kubwa katika jamii ya watanzania na hata jamii ya kimataifa.

Taarifa za ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kuna mgawanyiko mkubwa miongoni mwao huku kundi moja likiweka bayana kuwa mkataba hauna Maslahi Kwa Taifa na lingine likisemwa kuwa kukataa kupitisha itatia aibu Chama chao hivyo Bora funika kombe Mwanaharamu apite!

Wabunge wanaopinga hoja zao ni zilezile za watanzania wazalendo kuhusu ubovu wa mkataba huo na umilele wake. Kundi hili linaongozwa na wabunge wawili kutoka majimbo ya DSM na kinara wao anatoka Mkoa wa Manyara! ( Majina kapuni ).

Watanzania kama kweli ni wazalendo wanashauriwa kuanzisha kampeni ya kuwapigia simu na jumbe (SMS) Kwa wabunge na kuwataka wakatae kupitisha azimio hilo kwani ni la hatari Kwa Taifa na usalama wa nchi.

Nitawajuza zaidi kwani Kwa sasa vikao viko kila sehemu Dodoma.

TIP: Kuna kundi la wabunge wanaopinga kuwa wabunge kutoka Zanzibar wasiwe sehemu ya kupitisha azimio hilo kwani rasilimali za Tanganyika ndio zinaenda kutolewa na hivyo kama wanataka kushiriki basi Bandari za Zanzibar ziwe sehemu ya mkataba huo.

More to follow, stay tuned!
NImeanza kumchukia niliyeanza kumpenda hata kutaka junywa sum* juu yake.
 
Taarifa za uhakika kutoka Dodoma ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kesho Ijumaa tarehe 09/6/2023 wametumiwa ujumbe wa wito wa kushiriki kikao cha Wabunge wa CCM - Party caucus Kwa ajili ya kuweka msimamo juu ya kupitisha azimio la mkataba wa Serikali na Dubai.

Kikao hiki kimeitwa siku moja kabla ya siku ya kupitishwa Kwa azimio la Bunge la kuridhia Mkataba huo ambao umesababisha sintofahamu kubwa katika jamii ya watanzania na hata jamii ya kimataifa.

Taarifa za ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kuna mgawanyiko mkubwa miongoni mwao huku kundi moja likiweka bayana kuwa mkataba hauna Maslahi Kwa Taifa na lingine likisemwa kuwa kukataa kupitisha itatia aibu Chama chao hivyo Bora funika kombe Mwanaharamu apite!

Wabunge wanaopinga hoja zao ni zilezile za watanzania wazalendo kuhusu ubovu wa mkataba huo na umilele wake. Kundi hili linaongozwa na wabunge wawili kutoka majimbo ya DSM na kinara wao anatoka Mkoa wa Manyara! ( Majina kapuni ).

Watanzania kama kweli ni wazalendo wanashauriwa kuanzisha kampeni ya kuwapigia simu na jumbe (SMS) Kwa wabunge na kuwataka wakatae kupitisha azimio hilo kwani ni la hatari Kwa Taifa na usalama wa nchi.

Nitawajuza zaidi kwani Kwa sasa vikao viko kila sehemu Dodoma.

TIP: Kuna kundi la wabunge wanaopinga kuwa wabunge kutoka Zanzibar wasiwe sehemu ya kupitisha azimio hilo kwani rasilimali za Tanganyika ndio zinaenda kutolewa na hivyo kama wanataka kushiriki basi Bandari za Zanzibar ziwe sehemu ya mkataba huo.

More to follow, stay tuned!
Wanaenda kupewa maelekezo wasipinge huu uchafu
 
Taarifa za uhakika kutoka Dodoma ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kesho Ijumaa tarehe 09/6/2023 wametumiwa ujumbe wa wito wa kushiriki kikao cha Wabunge wa CCM - Party caucus Kwa ajili ya kuweka msimamo juu ya kupitisha azimio la mkataba wa Serikali na Dubai.

Kikao hiki kimeitwa siku moja kabla ya siku ya kupitishwa Kwa azimio la Bunge la kuridhia Mkataba huo ambao umesababisha sintofahamu kubwa katika jamii ya watanzania na hata jamii ya kimataifa.

Taarifa za ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kuna mgawanyiko mkubwa miongoni mwao huku kundi moja likiweka bayana kuwa mkataba hauna Maslahi Kwa Taifa na lingine likisemwa kuwa kukataa kupitisha itatia aibu Chama chao hivyo Bora funika kombe Mwanaharamu apite!

Wabunge wanaopinga hoja zao ni zilezile za watanzania wazalendo kuhusu ubovu wa mkataba huo na umilele wake. Kundi hili linaongozwa na wabunge wawili kutoka majimbo ya DSM na kinara wao anatoka Mkoa wa Manyara! ( Majina kapuni ).

Watanzania kama kweli ni wazalendo wanashauriwa kuanzisha kampeni ya kuwapigia simu na jumbe (SMS) Kwa wabunge na kuwataka wakatae kupitisha azimio hilo kwani ni la hatari Kwa Taifa na usalama wa nchi.

Nitawajuza zaidi kwani Kwa sasa vikao viko kila sehemu Dodoma.

TIP: Kuna kundi la wabunge wanaopinga kuwa wabunge kutoka Zanzibar wasiwe sehemu ya kupitisha azimio hilo kwani rasilimali za Tanganyika ndio zinaenda kutolewa na hivyo kama wanataka kushiriki basi Bandari za Zanzibar ziwe sehemu ya mkataba huo.

More to follow, stay tuned!
tuungane watz kukataa huu mpango ovu wa kuuza rasilimali za bara kwa manufaa ya wabara.kama wabunge wa bara wataukubali huo mpango hakika twende nchi nzima tukahamasishe wananchi kuwafukuza wabunge wote wa ccm 2025 kwenye sanduku la kura.pia tuhakikishe katiba lazima ipatikane ili kuondoa upuuzi huu na wahusika wote baada ya kupitisha katika tuwaburuze mahakamani.tuhakikishe kwenye katiba hiyo hakuna mwanasiasa kuwa na kinga yoyote ile ili kukomesha huu uzandiki.
 
Back
Top Bottom