Naona umekojolea hapa kuweka alama kama cha dogHatari
Uyo jamaa itakuwa aliempa softkop au hizo hardkop ya io hadithi hakumpa zote,ko yuko Kumtafuta.Sio vizuri yaani tangia Jana kimya yaani
Ukidondosha nyengine naomba unishtue Kanungila Karim .
Jamaa mbona umetuacha hewani? Kila saa tunakuja kuchungulia huku hamna kitu.......
😀😀😀😀😀Palinidanganya pale kwenye hii ni story ya kweli. Nikawa makini sana kumbe ndio nshaliwa