Qaxubi Tunechi
Member
- Aug 22, 2018
- 13
- 16
Jini harishi ana kiba100
Acha kuogopa mikwara mbuzi kijana mkomalie tu moderator awe yeyeHahaaa basii nisamehe brother usije ukaniteka bure..hahaa
Naomba hiizo hadithiHii story umenikumbusha hadithi za Alfu Lela hela na safari 7 za Sindibad
Wanakupenda!!!!!Mbona mimi sina ugomvi aidha na serikali,ndugu zangu wala marafiki zangu.
Waniteke kwa kosa lipi?
Kwa kipi yaani?
LABDA
Mbona hakuna uhusianoKuweni wapole basi nasubiria jina langu na vyeti vyangu viwe VERIFIED maana Nacte wanakaribia kutoa second selection.
Kama nikipata chuo nitawapa muendelezo hadi mwisho
Nacte ya Comoro?Kuweni wapole basi nasubiria jina langu na vyeti vyangu viwe VERIFIED maana Nacte wanakaribia kutoa second selection.
Kama nikipata chuo nitawapa muendelezo hadi mwisho
Ha ha haaa. Huyu msimulizi analeta sound tu jamvini hapa. Vitu anavyotuambia havina uhusiano na story anayopaswa malizia kusimuliaNacte ya Comoro?
hahahaNacte ya Comoro?
Hatimaye umerudi nduguhahaha
Vipi mzigo upo au ndio scrpt imefika mwisho???hahaha
Nipo location now ndio nataka niitolee movie.Vipi mzigo upo au ndio scrpt imefika mwisho???
Nipo kwenye maandalizi ya kuripoti chuoni fanya tuonane nikupe kitabu hiki cha mkasaHatimaye umerudi ndugu
Nacte ya Comoro?