deception na huu uzi wana nasaba ipi !!? sasa !!?Mm Nasoma tuu Comment then Nacheka Kwa Dharauuuu,, Mzee Babaa Deception alisha Maliza Kazi Kitaaamboo. Kama hujamuelewa Deception utapata tabu Sana Na Dunia Ya Wakubwa Wanaojua Maslahi Ya Matumbo Yao Na familia Zao,,
labda jini harishi ana ukimwideception na huu uzi wana nasaba ipi !!? sasa !!?
Hahaaa .. hii ni dis comment ya wakati wote hahaa ... shikamoolabda jini harishi ana ukimwi
baki huko hukoNakuja,[emoji23]
hahahahaha unaniamkia unataka kuninyima.nini??? Sjadiss mieHahaaa .. hii ni dis comment ya wakati wote hahaa ... shikamoo
duhh!! kumbe kuna kitu wataka kuniomba nikupe ...basi natengua shikamoo yanguhahahahaha unaniamkia unataka kuninyima.nini??? Sjadiss mie
mie nishaitikia kanungila yupo majukwaa mengine anazurura tuduhh!! kumbe kuna kitu wataka kuniomba nikupe ...basi natengua shikamoo yangu
Sidhani kama atarudi kumaliziamie nishaitikia kanungila yupo majukwaa mengine anazurura tu
Yaani nimemuona huko daah nadhani ana Mipango ya kutupeleka sobamie nishaitikia kanungila yupo majukwaa mengine anazurura tu
Yaani nimemuona huko daah nadhani ana Mipango ya kutupeleka sobamie nishaitikia kanungila yupo majukwaa mengine anazurura tu
mwanaume ana maringo balaa ngoja aje anipe vipande vyangu nikae navyoSidhani kama atarudi kumalizia
atakuja na maneno yakeYaani nimemuona huko daah nadhani ana Mipango ya kutupeleka soba
Hahahah na atakuja kweli,we jiandae kupokea furushi la mapovu! Si unamjua wenge lake? Hachelewi kusema wewe ni Memwanaume ana maringo balaa ngoja aje anipe vipande vyangu nikae navyo
aniambie mara ngapi??? Ananambia me nina undugu na james delicious nikamwwanbia wala s ndugu yangu na huyo james ndio mm mwenyeweHahahah na atakuja kweli,we jiandae kupokea furushi la mapovu! Si unamjua wenge lake? Hachelewi kusema wewe ni Me