Mimi hili linanitatiza, labda wenzangu mnalo jibu.Wapo wanaosema kuwa Rais mstaafu ni raia wa Msumbiji na wala si mtanzania, eti aliingia kule Kusini akiwa na umri wa miaka mitano wakati huo na baba yake.
Wapo wanaoangalia matendo yake na kuona ni ya ajabu ajabu.Kama tunakumbuka Mtikila kipindi kile alishawahi kusema kuwa bwana huyu si raia.
Tafadhali wale wenye kumbukumbu na ushahidi mzuri mtupatie.
Wapo wanaoangalia matendo yake na kuona ni ya ajabu ajabu.Kama tunakumbuka Mtikila kipindi kile alishawahi kusema kuwa bwana huyu si raia.
Tafadhali wale wenye kumbukumbu na ushahidi mzuri mtupatie.