kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,908
Sitaki kuamini serikali nzima ya Samia wamekosa mtu wa kusimamia TANESCO
Kuwapa Tanesco miezi 6 ya matengenezo ni ukichaa tu kama ukichaa mwingine tu
Mnatengeneza nini miezi 6? Hii nchi ina laana gani?
Kwahiyo tutateseka na mamigao ya kipumbavu hadi march?Kuliko kututesa hivi si mzime maumeme yenu tu tuishi bila umeme hadi march?Nyie vp bhana?
Huwa napata hamu ya kupatika nikisikia jina la mtu likitajwa kuwa anaupiga mwingi
Ccm mzma wamekosekana mtu wa maana wa kuwekwa wizara ya nishati??Halaf nacho ni chama??
Kwa tulipofika tu naomba Tanzania iruhusu kama Marekani tu kila raia amiliki silaha za moto tu kirahisi bila masharti yoyote maana inaonekana hii nchi imegeuka ya kikundi cha wachache tu
Serikali ya Mama washatujua sijui?Mnakumbuka Makamba alivyoingia makamba alianza na ajenda ya matengenezo tu.
Kila mara anafanya matengenezo ya mabilioni mara akaja akasema wanahitaji kufumua Grid akapewa trilioni 1.2 ya kufumua Grid akiahidi mambo ndo yatakua mazuri na tatzo litakua limeisha, zilienda wapi hizo pesa?Ni matengenezo gani wanafanya hawa watu tokea Samia apewe nchi?
Matrilioni ya matengenezo maharage na Makamba walikua wanapeleka wapi?Kwanini wakati wa JPM umeme usikatike then ghafla wakati wa Hangaya uanze kukatika?Watasema mitambo ilikua mibovu haikufanyiwa ukarabati sasa iweje iwe mibovu ghafla tu baada ya makamba kupewa wizara?
Zambia wapo milioni 19 wana Megawatts 3000+ na mwaka 2024 watakua na megawatts nyingine 2000
Kenya wana megawatts karibia 3500+
Msumbiji wapo milioni 30 tu lakini wana megawatts 187000
Sisi tupo milioni 62 eti megawatts 1500 hivi ccm wapo serious kweli?
Nikipata uraia wa nchi zilizoendelea huko na familia yangu nipo tayar kuukana uraia wa hii nchi tu kwasababu kuwa mtanzania hakuna faida yoyote
Kuwapa Tanesco miezi 6 ya matengenezo ni ukichaa tu kama ukichaa mwingine tu
Mnatengeneza nini miezi 6? Hii nchi ina laana gani?
Kwahiyo tutateseka na mamigao ya kipumbavu hadi march?Kuliko kututesa hivi si mzime maumeme yenu tu tuishi bila umeme hadi march?Nyie vp bhana?
Huwa napata hamu ya kupatika nikisikia jina la mtu likitajwa kuwa anaupiga mwingi
Ccm mzma wamekosekana mtu wa maana wa kuwekwa wizara ya nishati??Halaf nacho ni chama??
Kwa tulipofika tu naomba Tanzania iruhusu kama Marekani tu kila raia amiliki silaha za moto tu kirahisi bila masharti yoyote maana inaonekana hii nchi imegeuka ya kikundi cha wachache tu
Serikali ya Mama washatujua sijui?Mnakumbuka Makamba alivyoingia makamba alianza na ajenda ya matengenezo tu.
Kila mara anafanya matengenezo ya mabilioni mara akaja akasema wanahitaji kufumua Grid akapewa trilioni 1.2 ya kufumua Grid akiahidi mambo ndo yatakua mazuri na tatzo litakua limeisha, zilienda wapi hizo pesa?Ni matengenezo gani wanafanya hawa watu tokea Samia apewe nchi?
Matrilioni ya matengenezo maharage na Makamba walikua wanapeleka wapi?Kwanini wakati wa JPM umeme usikatike then ghafla wakati wa Hangaya uanze kukatika?Watasema mitambo ilikua mibovu haikufanyiwa ukarabati sasa iweje iwe mibovu ghafla tu baada ya makamba kupewa wizara?
Zambia wapo milioni 19 wana Megawatts 3000+ na mwaka 2024 watakua na megawatts nyingine 2000
Kenya wana megawatts karibia 3500+
Msumbiji wapo milioni 30 tu lakini wana megawatts 187000
Sisi tupo milioni 62 eti megawatts 1500 hivi ccm wapo serious kweli?
Nikipata uraia wa nchi zilizoendelea huko na familia yangu nipo tayar kuukana uraia wa hii nchi tu kwasababu kuwa mtanzania hakuna faida yoyote