Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,059
Hizo zote ni tuhuma tu na hamna popote ilipothibitishwa kuwa Mkapa ndiye mmiliki!Ajibizane nao ana majibu?? Atasema nini sasa kwa kashfa zilizo juu yake?? Kwamba hawakupeana Kiwira na mkwe wake yona?? unao ushahidi wa kutangazwa kwa tenda ya kiwira wewe au unakurupuka tu kutetea usichokijua?? Uchwara nani hapo?? atasema nini kuhusu kampuni ya ANBEM?? kuwa sio kifupi cha ANNA and BENJAMIN?? Kwamba haikusajiliwa kwa SLP 1. Magogoni street???
Kuwa sio kampuni tanzu ya TANPOWER RESOURCES LTD Iliyojihusisha na ununuzi feki wa kiwira pamoja na ufisadi mwingineo?? Atanjibu nini sasa kama sio kukaa kimya wakati hadi nakala za certificate of registration toka brella zimetapakaa?? ndicho tulichomtuma pale magogoni?? Mwalimu alisemaje kuhusu biashara na ikulu?? Rejao una wazimu?? wewe na yeye nani uchwara?? hata hilo huoni?? kuna cha kujibu hapa?? Ya dada yangu mama ANNA je??
Acha kukurupuka fungua macho uone huyu jamaa ana ujasiri wa kifisadi kuweza kusimama jukwaani na kuzungumza aangalie asitibue hasira za watu ataanza kuzomewa tena kama alipostaafu.... Kukaa kwake kimya HANA MAJIBU NA SIO VINGINEVYO....Kwa lugha nyepesi tunasema ameshikwa mahali pabaya FULL STOP.
Haya yote ni maneno ya waandishi wasio na ethics!