Mkapa aomba suluhu kwa Nyerere

Njia ya mwongo daima siku zote ni fupi. Ona sasa hili Ugly Creature lilivyobaki uchi!
 
nyerere ni shujaa wangu.kama ulifurahia kifo chake nakuona wewe ni sawa na kibwetere

mkuu kweli wewe ziro kabisa, hivi unasoma ukaelewa au unakurupuka tu! Matumbo yanakuuma? Hebu kajisaidie kwanza naona ukirudi huko akilizo zitakuwa zimetulizana, halafu utajibu vyema hoja iliyopo!
 
wengi tulishangaa kusikia mkapa anasema hanjui vicent. Hata kama si mtoto wa kuzaliwa wa baba wa taifa hajui kuwa huo ni ukoo mkubwa? je yeye mtoto wa mramba kwa anna hamuiti mwanae?
kweli kimenuka sasa kwa mkapa, kwenye red hapo unasemaaa?tutajua mengi mpaka kampeni ziishe arumeru mashariki!!!!!!!!!
 
VN asikubali hata kidogo,atashikiwa mkono ulio na sumu afe softly.
Kama anajua Mkapa alimuua Nyerere,basi na akae mbali nae
 
Kama Ndugu Mkapa amewasiliana na Mama Maria,then I will answer this.
Vincent Nyerere in mtoto wa Josephat Nyerere,mdogo wake Mwalimu Nyerere,[Baba mmoja,mama mmoja]. Mkapa alifika katika maziko ya Josephat Nyerere,kwa hiyo,it is shameless kwamba Vincent Nyerere anaongea mambo kama haya. Ndugu Mkapa alikuja kwenye maziko na ujumbe wa Serkali,na familia ya Vincent ilipata mpango kidogo[ubani].
Kuhusu kama Mkapa alihusika na kifo cha jambo Mkapa hana sababu ya kujibu,kwa sababu hapa anayelaumiwa ni hospitali[ambayo ilimtibu Mwalimu bure],au analaumiwa nani sijui. Lakini hii haimhusu Mkapa.
Pia ni kuondoka katika mada ya Arumeru kujadili kifo cha Mwalimu.
Kama Vincent anasema hujuma ilifanyika,labda yeye anazo habari ambazo sisi hatuna. Mimi sijawahi kufikiria kwamba Serikali ya Tanzania ilihusika na kifo cha Mwalimu. Lakini kuhusu watu wengine wa nje kuhusika,hilo jambo sijalifikiria. Lakini it is better they stop talking about this,or they will get us all into trouble.
 
Madhara ya kutumia kamasi katika kufikiri badala ya ubongo.

afadhali mimi mwenye uwezo wa kutumia either kamasi au ubongo katika kufikiri na kufanya maamuizi kuliko wewe ambaye uwezo wako wa ku reason umekuwa clouded na mapenzi na hivo kuendelea kuambatana na ujinga wako na bahati mbaya ubongo upo damaged tayari.
 
"Naye Mchungaji Msigwa, alisema moja ya sifa ya kuwa mwana CCM ni kutomuogopa Mungu kwa kuwa mwongo, mtu wa kujipendekeza na mpenda rushwa mambo ambayo
Chadema hayapo."

Patamu hapa ningekuwa naongea na wewe face to face ningekwambia urudie maneno mazito sana haya
 
Toka lini umemuona Mkapa anajibizana na waandishi wa habari uchwara na wanaharakati???
Kila mtu anapenda ukimya wake!

Mkapa kila penye ukweli hukaa kimya kabisa hajibu kitu.
Lakini pasipo na ukweli hujibu haraka sana. Kumbuka tuhuma za kuwanyang'anya ardhi wameru alivyojibu haraka!
Mkapa anahusika kummaliza baba wa taifa
Hapo kwenye red. ni kweli kila mtu anapenda jinsi anavyorahisisha ukweli kuwa tuhuma dhidi yake ni kweli
 
Kama Ndugu Mkapa amewasiliana na Mama Maria,then I will answer this.
Vincent Nyerere in mtoto wa Josephat Nyerere,mdogo wake Mwalimu Nyerere,[Baba mmoja,mama mmoja]. Mkapa alifika katika maziko ya Josephat Nyerere,kwa hiyo,it is shameless kwamba Vincent Nyerere anaongea mambo kama haya. Ndugu Mkapa alikuja kwenye maziko na ujumbe wa Serkali,na familia ya Vincent ilipata mpango kidogo[ubani].
Kuhusu kama Mkapa alihusika na
kifo cha jambo Mkapa hana sababu ya kujibu,kwa sababu hapa anayelaumiwa ni hospitali[ambayo ilimtibu Mwalimu bure],au analaumiwa nani sihui. Lakini hii haimhusu Mkapa.
Pia ni kuondoka katika mada ya Arumeru kujadili kifo cha Mwalimu.
mKUU,
Hueleweki!
COULD U PLEASE COUPLE YOUR WRITING ABILITY TO THINKING SPEED!
Pitia thread zote zinaazohusu sakata hili la mauaji broda , utakutana na mahala panaposema kule St Thomas alipelekwa kumaliziwa tu baada ya mambo yote kufanyika kule Sound-Africa!
 
Kama Ndugu Mkapa amewasiliana na Mama Maria,then I will answer this.
Vincent Nyerere in mtoto wa Josephat Nyerere,mdogo wake Mwalimu Nyerere,[Baba mmoja,mama mmoja]. Mkapa alifika katika maziko ya Josephat Nyerere,kwa hiyo,it is shameless kwamba Vincent Nyerere anaongea mambo kama haya. Ndugu Mkapa alikuja kwenye maziko na ujumbe wa Serkali,na familia ya Vincent ilipata mpango kidogo[ubani].
Kuhusu kama Mkapa alihusika na kifo cha jambo Mkapa hana sababu ya kujibu,kwa sababu hapa anayelaumiwa ni hospitali[ambayo ilimtibu Mwalimu bure],au analaumiwa nani sihui. Lakini hii haimhusu Mkapa.
Pia ni kuondoka katika mada ya Arumeru kujadili kifo cha Mwalimu.
Mkuu Ganesh hapo nilipo weka red sijakuelewa...unaweza kufafanua?
 
Sipo upande wowote hapa.
Lakini habari ya kuwa huyu ni mwanafamilia au ni ukoo ni la mambo ya lugha tu. Mkapa kwa mtizamo wake kama mmoja warithishwa uwanafamilia wa Mwalimu Julius K. Nyerere huenda ni kweli hakuwahi kumwona Vicent kama mwanafamilia. Vilevile katika mila za baadhi ya makabila ya kiafrika ukoo unachukuliwa kama ni familia, kwa hio Vicent naye ni mwanafamilia ya Julius K. Nyerere.
Hivyo basi swala hili halina mshiko kwa wanaArumeru. WanaArumeru wanahitaji kusikia sera zitakazowaletea maendeleo ya haraka na kuondoa kero zinazowasumbua wananchi. Mungu uwasaidie wanaArumeru kupata kiongozi mzuri kwa miaka iliyobaki mitatu.
 
ile familia inamuhusu nini Mkapa.....Who's Mkapa by the way.. yaani kama ni mimi Madaraka ama Vicent na wengine wote tungeungana kama familia na kuanzisha timbwili timbwili kwa Mkaa-hapa mpaka ajue kuwa sisi ni nanikatika nchi hii....
 
Mkapa anaomba kupatanishwa kitu gani hasa hadi hivi sasa!! Kama kuna mtu mwenye moyo na muda wa kufanya kazi hiyo chukizo la mwisho maishani basi bora akapatanishwe kwanza na kaburi la mwalimu Nyerere pale Butiama. Upatanisho kitu gani????

Kama madai haya ni ya kweli ni vema ikafahamika kwamba kifo cha Mwalimu Nyerere wala si miliki na majonzi wa ukoo wake tu bali ni habari ambayo ni pigo mara mia kwa walalahoi walio wengi wa nchini.
 
mkapa hajakosea kusema vicent si mmoja wa familia ya mwalimu nyerere. Angekosea kama angesema si mmoja wa familia ya nyerere hapo tungeweza kusema amekosea. Mwalimu na nyerere ni watu wawili tofauti.

utakuwa hujafika butiama na kujua familia ya nyerere na kuielewa vizuri.....
 
Mkapa hajakosea kusema Vicent si mmoja wa familia ya MWALIMU NYERERE. Angekosea kama angesema si mmoja wa familia ya NYERERE hapo tungeweza kusema amekosea. Mwalimu na Nyerere ni watu wawili tofauti.

kama amelelewa na familia hiyo kwa nini asiwe mwanafamilia? Tuache kumtetea,alijiingiza kwenye majitaka akijua watu wanajua yeye ni msafi. Kumbe loh! Watu walikuwa wanaomba ajichanganye na ameingia line. Nimefurahishwa na majibu aliyopewa, majungu ya jukwaani huwa yanajibiwa jukwaani! Hongera vicent!
 
"Naye Mchungaji Msigwa, alisema moja ya sifa ya kuwa mwana CCM ni kutomuogopa Mungu kwa kuwa mwongo, mtu wa kujipendekeza na mpenda rushwa mambo ambayo
Chadema hayapo.

Hii kwa hawa masisiem itawagharimu sana tena sana la sivyo wamrudie MUNGU wa ukweli.

Na nahisi hili la Arumeru mashariki litakuwa mwanzo wa kuporomoka kwa chama cha mauaji!
 
Mkapa hajakosea kusema Vicent si mmoja wa familia ya MWALIMU NYERERE. Angekosea kama angesema si mmoja wa familia ya NYERERE hapo tungeweza kusema amekosea. Mwalimu na Nyerere ni watu wawili tofauti.

mbipi kweli na mawazo yako mafupi ivyoivyo kama jamaa na mzgo wa head.na sasa ivi lazma uzito wa lile bichwa uwe mara dufu
 
Tena katika yale maziko Ndugu Mkapa alikuwa hali yake siyo nzuri sana,alimfika kwa kujikongoja,kwa vile rafiki yake Josephat alikuwa amekufa,kwa hiyo haikubaliki kwamba mtoto wa Josephat kuongea maneno kama haya. Halafu ukiwatuhumu watu kwamba wameua,wanaweza kukupeleka mahakamani.
 
Mkapa hajakosea kusema Vicent si mmoja wa familia ya MWALIMU NYERERE. Angekosea kama angesema si mmoja wa familia ya NYERERE hapo tungeweza kusema amekosea. Mwalimu na Nyerere ni watu wawili tofauti.

Kama Mkapa hajakosea kwanini anamuomba mama Maria Nyerere awakutanishe na Vicent Nyerere ili kutafuta suluhu?!

Shirikisha ubongo wako wakati unapoandika humu JF.
 
Back
Top Bottom