Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,590
- 8,718
mkapa yes...juu juu.
tangu lini mahakama zikahamia kijiweni!!???..alivyosema warioba leo sawa...kinga ya rais ni political..na kuliko kuendelea kumtuhumu tu wampeleke mahakamani haraka akajibu huko..sio kumzomea..
...na hili la kumdhalilisha ndio kikwete alilokuwa analitaka kama shukrani yake ....baada ya kumsaidia kumwangusha salim...,lakini si haki!!
mkapa anayo mazuri na pia anayo mabaya...kama kikwete anaona haya mabaya yana jinai ampeleke mahakamani haraka au kama hilo haliwezekani na akae kimya!!!!..yeye na watu anaowatumia kumchafua mtangulizi wake..ili tusipate muda wa kumuongelea yeye!!!
tangu lini mahakama zikahamia kijiweni!!???..alivyosema warioba leo sawa...kinga ya rais ni political..na kuliko kuendelea kumtuhumu tu wampeleke mahakamani haraka akajibu huko..sio kumzomea..
...na hili la kumdhalilisha ndio kikwete alilokuwa analitaka kama shukrani yake ....baada ya kumsaidia kumwangusha salim...,lakini si haki!!
mkapa anayo mazuri na pia anayo mabaya...kama kikwete anaona haya mabaya yana jinai ampeleke mahakamani haraka au kama hilo haliwezekani na akae kimya!!!!..yeye na watu anaowatumia kumchafua mtangulizi wake..ili tusipate muda wa kumuongelea yeye!!!