Mkapa above the law?: Allegations

Hiyonyumba ya Mkapa ni Damu zawalalahoi, wanaokufa mahopitalini na vijijini.
Mkapa Lowassa, Mama Anna Mkapa, Mama Marry Ndossi, Kigoda, Sumaye wote hao ni mafisadi, ma-mumiani yanaonyonya damu za Watanzania walalahoi. Damu nyingine zinawalilia. Dawa yao inachemka. Mungu ibariki TZ.
 
"I hope" huo "udokta wa sheria" utamfanya awe makini katika mikataba kwa kuzingatia ile ambayo serikali iliyopita iliingia kichwa kichwa na kuliletea hasara kubwa taifa.


Rais kurejea toka Marekani akiwa Dk Kikwete

Na Mwandishi Wetu

CHUO Kikuu cha Mtakatifu Thomas cha Minneapolis nchini Marekani, kinatarajia kumtunuku Rais Jakaya Kikwete shahada ya heshima ya Udaktari wa Falsafa katika fani ya sheria.

Rais Kikwete ambaye anatembelea chuo hicho huko New York, Marekani, mbali na kutunukiwa shahada hiyo, anatarajiwa kuhutubia jumuiya ya chuo hicho keshokutwa saa 4:45 saa za Marekani, juu ya ukuaji wa uchumi wa Tanzania.

Habari kutoka katika mtandao wa chuo hicho, zimesema kuwa Kikwete anayefuatana na ujumbe wa watu 90 kutoka serikalini na viongozi wa wafanyabiashara, mbali na ziara yake ya Minneapolis, atatetembelea Boston, Los Angeles na New York.

Rais Kikwete ameelezewa na mtandao huo kama mchapakazi katika shughuli za kisiasa na za kiserikali katika kipindi chake chote akiwa kazini na kuelezea wasifu wake tangu alipohitimu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na mambo ambayo uongozi wake unayapa kipaumbele.

Vipaumbele vya Kikwete vimetajwa kuwa ni kuhakikisha kuwa CCM inafanikiwa kuiwezesha nchi yake kupata ongezeko la asilimia 10 la pato la taifa kufikia mwaka 2010 kutoka la sasa la asilimia 6.7.

Pia, umetajwa umuhimu wa kuendeshwa kwa tafiti za kisayansi na kuendeleza utalii pamoja na suala la ujenzi wa shule zaidi katika maeneo ya vijijini.

Masuala mengine yametajwa kuwa vita dhidi ya umasikini, umeme kuenea nchini kote na pia usambazwaji wa huduma bora za mawasiliano ya simu.

Vile vile Tanzania imeelezwa ina utajiri mkubwa wa hifadhi za taifa na kuwa ina eneo kubwa la mita za mraba 13,000 ambalo ni kubwa kuliko maeneo kama hayo katika nchi zote duniani.
 
Mwanagenzi,
Hiyo ya uchumi kukua kufikia asilimia kumi itakuwa ndoto za Alinacha. Haya matatizo ya umeme na ufujaji wa mali za serikali kwa misafara mikubwa sidhani vitasaidia uchumi ukue kufikia kiasi hicho. Ile bilioni 2.8 (us $ alizoacha Che Nkapa zimeshapungua kufikia 2.1 Kwa mtaji huu baada ya miaka kumi akiba ya nchi itakuwa nusu laki, au chini zaidi.
 
Mzee Es said:
Unajua,

Kwa wale wazee "Wenzetu", kama mnayoyasema ni kweli basi Tanzania hatujawahi kuwa na viongozi wezi hata siku moja!

Mwalimu alipomuita Lowassa kuwa ni mlarushwa na mwizi, je alitoa ushahidi? Tunapoambiwa kila siku kuwa Lowassa ni mlarushwa na mwizi, ni nani ambaye amewahi kutoa ushahidi?

Toka tupate uhuru, tumeambiwa viongozi wangapi kuwa ni wezi, wana mahela mpaka majumba ndani ya nchi yetu, je ni wakati gani tuliwahi kuonyeshwa ushahidi? Tukapewa adress ya nyumba? Na mji zilizoko hizo nyumba?

Sasa hiyo ina maana kuwa Tanzania hatujawahi kuwa na viongozi wezi? Mbona mnageuka kama watoto na hizi hatred mpaka hamuwezi kuuuona ukweli Mkapa hata kwa hela hela zake mwenyewe hawezi kujenga ile nyumba ya Sea View, licha ya hayo majumba yote mengine aliyojenga kwa kipindi cha mwaka mmoja! Watoto alisomeshaje nje, toka vidudu mpaka wamemaliza vyuo vikuu?

Je milishawahi kuziona risiti za nyumba zake za Hapa bongo na kuhakikisha kuwa ni zake kweli? Warioba anpowatukana viongozi wa baada ya Mwalimu kuwa ni wala rushwa na wezi ana maana gani? Alishawahi kututolea ushahidi?

Mrema alipoulizwa na waandishi kama yeye ni clean toka akiwa serikalini, alisema, "......Mimi sio malaika.....", alikuwa na maana gani?

....Kwa wale mnaojaribu kuzima issue na maneno ya ushahidi, I hope you are for real kwamba Tanzania hatujawahi kuwa na viongozi wezi, maana hatujawahi kuuona ushahidi in public toka tupate uhuru!


30th September 2006, 09:32 AM
Mzee Es said:
Hapana so far ni accusations tu sio ukweli, watu walionitumia nimewaomba wanipe basi angalau kianzio lakini ninaona kimyaa vipi? Nimesikia matatizo mengi ya balzoi huyo ila la wizi sijawahi kusikia,

halafu ninakuomba kitu kimoja kama una data mwaga hapa, kumwita kiongozi mwizi bila ya kuwa na data angalau moja ndio unafiki wenyewe!

Mwenye data aziweke hapa jinsi Kibelloh alivyo mwizi, FULL STOP!
Mzee Es said:

Kabla sijaondoka, ninaifunga hii mada kwa kusema kwamba hakuna ushahidi wa kutosha juu ya Balozi Kibelloh kuiba picha za serikali pale London, at this point ninasema huu ulikuwa ni uzandiki na majungu, maana watu wote walionitumia message nimewaomba watoe angalau uthibitisho, I mean just say something! lakini hakuna kitu


Quoted above are examples of two different positions help by the same person.Kuhusu mansion za Mkapa hata pasipo na ushahidi tunapaswa kuamini tuhuma dhidi yake ni sahihi lkn kwa Balozi Kibello kwa vile hakuna ushahidi wa kutosha tunapaswa kutoamini uzushi dhidi yake.Double standards?
 
Mzee I am lost na tatizo lako,

Katika kulinganisha hizo issue, kuna maneno umeyaruka ambayo ndio muhimu,

(1). kwenye issue ya nyumba ya Mkapa nimesema nimeongea na kijana wake ambaye tayari yuko kwenye hiyo nyumba, na ni baada ya kuongea na ndugu zake ndio nikampigia simu huyo kijana kule SA, sasa kama unaamini au huamni hiyo ni juu yako na ndipo tunaposema wewe sema unalotaka, sisi sio wajinga tutajua ukweli na uongo uko wapi, lakini as far as hii forum is concerned huo ndio ushahidi wangu on the issue,

nowing kwamba wewe huna ushahidi kuwa ile nyumba ya Lushoto ni ya Mkapa? Na kwamba ile nyumba ya Sea View nayo pia ni yake je unao ushahidi?
Na hizi nyumba mpya zinazojengwa Ilala ni zake? Na ile ya Msasani ni yake? Na zile ghorofa za kupangisha pale Msasani ni zake?

Na kwamba toka tupate uhuru, hakuna kiongozi aliyewahi kuiba maana hatujawahi kuona ushahidi as ushahidi?

(2). Kwenye issue ya Kibelloh, nilitegemea angalau mtu mmoja atasema kuwa kulikuwa na picha mlangoni ukiingia ofisini, sasa hazipo? hiyo peke yake inatosha kama kianzio, lakini hakuna,

Sasa ninaomba unieleze tatizo lako hapo juu ni nini? Sikukimbiii nipo bro ninakusubiri! Halafu useme hiyo Doublestandard iko wapi?
 
Mzee Es said:
Mzee I am lost na tatizo lako,

Katika kulinganisha hizo issue, kuna maneno umeyaruka ambayo ndio muhimu,

(1). kwenye issue ya nyumba ya Mkapa nimesema nimeongea na kijana wake ambaye tayari yuko kwenye hiyo nyumba, na ni baada ya kuongea na ndugu zake ndio nikampigia simu huyo kijana kule SA, sasa kama unaamini au huamni hiyo ni juu yako na ndipo tunaposema wewe sema unalotaka, sisi sio wajinga tutajua ukweli na uongo uko wapi, lakini as far as hii forum is concerned huo ndio ushahidi wangu on the issue,

nowing kwamba wewe huna ushahidi kuwa ile nyumba ya Lushoto ni ya Mkapa? Na kwamba ile nyumba ya Sea View nayo pia ni yake je unao ushahidi?
Na hizi nyumba mpya zinazojengwa Ilala ni zake? Na ile ya Msasani ni yake? Na zile ghorofa za kupangisha pale Msasani ni zake?

Na kwamba toka tupate uhuru, hakuna kiongozi aliyewahi kuiba maana hatujawahi kuona ushahidi as ushahidi?

(2). Kwenye issue ya Kibelloh, nilitegemea angalau mtu mmoja atasema kuwa kulikuwa na picha mlangoni ukiingia ofisini, sasa hazipo? hiyo peke yake inatosha kama kianzio, lakini hakuna,

Sasa ninaomba unieleze tatizo lako hapo juu ni nini? Sikukimbiii nipo bro ninakusubiri! Halafu useme hiyo Doublestandard iko wapi?


Kuthibitishiwa kwamba nyumba ni ya Mkapa hakumaanishi kuwa ni ushahidi kuwa ni mbadhirifu.Au mwanae wa SA alikuthibitishia kuwa baba yake aliiba sehemu flani kujenga/kununua nyumba hizo?...but that's not my point.Double standard yako ilikuwa hivi:
Katika hoja ya mansion ya Mkapa ulisema (nakunukuu)
Mzee Es said:
Mwalimu alipomuita Lowassa kuwa ni mlarushwa na mwizi, je alitoa ushahidi? Tunapoambiwa kila siku kuwa Lowassa ni mlarushwa na mwizi, ni nani ambaye amewahi kutoa ushahidi?
Toka tupate uhuru, tumeambiwa viongozi wangapi kuwa ni wezi, wana mahela mpaka majumba ndani ya nchi yetu, je ni wakati gani tuliwahi kuonyeshwa ushahidi? Tukapewa adress ya nyumba? Na mji zilizoko hizo nyumba?
Warioba anpowatukana viongozi wa baada ya Mwalimu kuwa ni wala rushwa na wezi ana maana gani? Alishawahi kututolea ushahidi?

Kwenye ishu ya Kibelloh unasema(nakunukuu)
Mzee Es said:
...kama una data mwaga hapa, kumwita kiongozi mwizi bila ya kuwa na data angalau moja ndio unafiki wenyewe!

Sasa data zinazoonyesha Mkapa amenunua mansions kutokana na wizi/ubadhirifu ziko wapi?Je huko sio kumwita kiongozi mwizi bila kuwa na data?Au siku hizi mtu akimiliki nyumba (hata kama amefanya kazi serikalini kwa miaka lukuki akiwa kiongozi mwandamizi) basi ni mwizi?Angalau ungetupa data ya total income ya Mkapa tangu aingie serikalini hadi anastaafu pamoja na marupurupu yake mengine,then utuonyeshe value ya properties anazomiliki,halafu hapo ndipo mtu anaweza kuwa na sensible reason kumtuhumu kuwa ni mbadhirifu...kuwa na nyumba nyingi sio wizi, na kuongea na mwanae hakuthibishi kuwa prperties hizo zilipatikana ndivyo sivyo (au ndio mwanae alivyosema?)

Double standard kwa vile kwenye ishu ya Kibelloh unasisistiza kuwa ushahidi lakini kwenye ishu ya Mkapa unaonyesha ushahidi sio muhimu (Nyerere hakutoa ushahidi,Warioba hakutoa ushahidi...according to you)
 
Kwenye issue ya Mkapa ninasema kwamba, nimeongea na watoto wake ndio ushahidi wangu, sasa kama huutaki that is another case na sitakukatalia,

Je wewe una ushahidi wa angalau kuongea na Kibelloh kuhusu yeye kuiba picha?
Kama Mkapa ana hela za mshahara mpaka kujenga majumba yote hayo tunayosikia anayo, mbona usjibu kule mwanzoni? Na kama ni kweli now kama unavyosema kuwa mshahara wake unatosha kuwa na majumba na mali zote alizonazo, mbona usiweke as hoja iliyosimama?

Bado sielewi tatizo lako kijana? Umeingilia mpaka mambo ya kazi, kazi yako au yangu hapa inahusiana na nini?
 
Mzee Es said:
Kwenye issue ya Mkapa ninasema kwamba, nimeongea na watoto wake ndio ushahidi wangu, sasa kama huutaki that is another case na sitakukatalia,

Je wewe una ushahidi wa angalau kuongea na Kibelloh kuhusu yeye kuiba picha?
Kama Mkapa ana hela za mshahara mpaka kujenga majumba yote hayo tunayosikia anayo, mbona usjibu kule mwanzoni? Na kama ni kweli now kama unavyosema kuwa mshahara wake unatosha kuwa na majumba na mali zote alizonazo, mbona usiweke as hoja iliyosimama?

Bado sielewi tatizo lako kijana? Umeingilia mpaka mambo ya kazi, kazi yako au yangu hapa inahusiana na nini?

I'm as old as you're.Calling me kijana ni kunidisrespect.Sijazungumzia kazi yako coz it's none of my business.Kuongea na flani (whether mtoto wa Mkapa au Kibelloh) sio big deal,cha muhimu ni kama maongezi hayo yamethibitisha wizi wa Mkapa.Hatuhitaji kukubaliana lakini naamini kila mmoja wetu anajua anaposimama na alipokosea.
 
Man hivi for once unaweza kuongelea issue yako ya raisi kwenda Real? Kwanza wananchi wengi wamekataa kuwa sio dhambi rais wetu kwenda Real, halafu wawili wameenda mpaka kusema kuwa huenda tumeishiwa issues kama inabidi tujadili rais kwenda Real,

Na mimi nikaongeza kwamba it a none issue, wewe umeniona mimi tu wengine hukuwaona kuwashambulia, great! Sikuogopi anyway!,

Now lets talk about Rais kwenda Real your issue, ambayo mimi ninaungana na wengine huko nyuma kusema ni none issue, halafu mimi sina tabia ya kurudisha maneno ili niweke yangu wewe talk about rais kwenda Real at least for once?
 
Napenda mnavyokataa kukubaliana na hamna matusi wala kejeli. Safi sana.

ES, umekua sana kimajadiliano nakuheshimu. Mlalahoi nilishakwambia kuwa unajua kujadiliana. NO hasira. Point point points..........

FD
 
Mzee Es said:
Man hivi for once unaweza kuongelea issue yako ya raisi kwenda Real? Kwanza wananchi wengi wamekataa kuwa sio dhambi rais wetu kwenda Real, halafu wawili wameenda mpaka kusema kuwa huenda tumeishiwa issues kama inabidi tujadili rais kwenda Real,

Na mimi nikaongeza kwamba it a none issue, wewe umeniona mimi tu wengine hukuwaona kuwashambulia, great! Sikuogopi anyway!,

Now lets talk about Rais kwenda Real your issue, ambayo mimi ninaungana na wengine huko nyuma kusema ni none issue, halafu mimi sina tabia ya kurudisha maneno ili niweke yangu wewe talk about rais kwenda Real at least for once?

Dont get personal.I'm convinced to think that it's sort of failure of defending your hoja when you say "huniogopi anyway" .Nimeshakubaliana nawe kuwa ulikuwa sahihi kusema ishu ya Real Madrid is not only non-issue but also nonsense.So what the heck is this razzmatazz about?You won the arguement,can we now stop there?
 
Nimesema sikuogopi anyway, kwa sababu nimeiona your bullying tactic ya kunishambulia kila kona,

kuhusu neno heshima nalo ninaliona sana baadhi yenu mkilirusha kwangu, unajua nitakuwa ni mwenda wazimu kuingia forum kwa jina la bandia, kwenye forum ambayo watu asilimia 99.9 (kuacha Moshi na JJ) huingia kwa majina ya bandia, nikategemea kwenda kupata heshima, that is funny!
 
Mzee Es said:
Nimesema sikuogopi anyway, kwa sababu nimeiona your bullying tactic ya kunishambulia kila kona,

kuhusu neno heshima nalo ninaliona sana baadhi yenu mkilirusha kwangu, unajua nitakuwa ni mwenda wazimu kuingia forum kwa jina la bandia, kwenye forum ambayo watu asilimia 99.9 (kuacha Moshi na JJ) huingia kwa majina ya bandia, nikategemea kwenda kupata heshima, that is funny!

Ndugu yangu,watu wazima have to behave like one.Hujalazimishwa kumheshimu mtu,that's your very constitutional right just like mtu anaetumia jina la bandia.Nishasema you were right in saying whatever,so what else do you want?
 
Mzee FD,

sasa tuko kwenye era ya matusi-free, sasa since hakuna matusi hakuna jinsi ila kukata issues, zamani tungemwagana matusi weee, na issue ingekufa, sasa hakuna tena,

ndio maana wenzetu weingine wameingilia hatua ya kufanya utafiti kwenye sideissues badala ya issue yenyewe, maana ingekuwa enzi ya matusi ungewaona,

Sasa kaaaaaaazi!
 
In ordinary, philosophical and scientific argumentation abductive arguments and arguments by analogy are commonly used. Arguments can be valid or invalid, although how arguments are determined to be in either of these two categories can often itself be an object of much discussion. Informally one should expect that a valid argument should be compelling in the sense that it is capable of convincing someone about the truth of the conclusion. However, such a criterion for validity is inadequate or even misleading since it depends more on the skill of the person constructing the argument to manipulate the person who is being convinced and less on the argument itself.

Less subjective criteria for validity of arguments are often clearly desirable, and in some cases we should even expect an argument to be rigorous, that is, to adhere to precise rules of validity. This is the case for arguments used in mathematical proofs. Note that a rigorous proof does not have to be a formal proof.

In ordinary language, people refer to the logic of an argument or use terminology that suggests that an argument is based on inference rules of formal logic. Though arguments do use inferences that are indisputably purely logical (such as syllogisms), other kinds of inferences are almost always used in practical arguments. For example, arguments commonly deal with causality, probability and statistics or even specialized areas such as economics. In these cases, logic refers to the structure of the argument rather than to principles of pure logic that might be used in it.
 
sasa hao watoto wamekwambia baba yao ni mwizi au vipi manake ushahidi unaotoa ni very strange, mimi pia nadhani huyu jamaa ana double standard manake amedai kuwa mtoto wa mkapa ndio kamwambia, na huo ndio ushahidi wake, anasema angeamini kama kuna japo mtu mmoja angemuambia kuwa ofisini kwa balozi kuna picha angeamini lakini nimemwambia kuwa mimi ni miongoni mwa watu wa mwisho kumtembelea kibelloh na hizo picha alizosema hazijawahi kuwepo, amekataaa huo sio acceptable utafiti!

Halafu kabadilisha kauli mwanzo alisema kwamba kulikuwa na picha hizo na vijana wamemuambia kuwa sasa hazipo na latest anadai kuwa alichoambiwa ni kuwa balozi aliomba picha za mabalozi wizarani na wizarani walishatuma ila ubalozini hazipo! tuamini lipi?!!

hizi ndio double standards...
 
Mlalahoi,
Umeniacha hoi na "abductive arguments" na "inference rules of formal logic" Unajua sisi akina yakhe, Kiingereza hakipandi sana. But point noted, to the extent that it is understood!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom