Unajua,
Kwa wale wazee "Wenzetu", kama mnayoyasema ni kweli basi Tanzania hatujawahi kuwa na viongozi wezi hata siku moja!
Mwalimu alipomuita Lowassa kuwa ni mlarushwa na mwizi, je alitoa ushahidi? Tunapoambiwa kila siku kuwa Lowassa ni mlarushwa na mwizi, ni nani ambaye amewahi kutoa ushahidi?
Toka tupate uhuru, tumeambiwa viongozi wangapi kuwa ni wezi, wana mahela mpaka majumba ndani ya nchi yetu, je ni wakati gani tuliwahi kuonyeshwa ushahidi? Tukapewa adress ya nyumba? Na mji zilizoko hizo nyumba?
Sasa hiyo ina maana kuwa Tanzania hatujawahi kuwa na viongozi wezi? Mbona mnageuka kama watoto na hizi hatred mpaka hamuwezi kuuuona ukweli Mkapa hata kwa hela hela zake mwenyewe hawezi kujenga ile nyumba ya Sea View, licha ya hayo majumba yote mengine aliyojenga kwa kipindi cha mwaka mmoja! Watoto alisomeshaje nje, toka vidudu mpaka wamemaliza vyuo vikuu?
Je milishawahi kuziona risiti za nyumba zake za Hapa bongo na kuhakikisha kuwa ni zake kweli? Warioba anpowatukana viongozi wa baada ya Mwalimu kuwa ni wala rushwa na wezi ana maana gani? Alishawahi kututolea ushahidi?
Mrema alipoulizwa na waandishi kama yeye ni clean toka akiwa serikalini, alisema, "......Mimi sio malaika.....", alikuwa na maana gani?
Now back to the point, nimesikia Mkapa amenunua nyumba SA ya kifahari ambayo hata Mandela amekataa kwenda kujihusha nayo, nimewasikia watu wazito wa nchi wakiongea, nkaamua kufuatlia kwa kuwatafuta kwanza watoto wote wa Mkapa, kujua Peter yuko wapi na anafanya nini, nikaambiwa kuwa yuko SA na nikapewa namba yake, nikampigia na kunihakikishia kuwa ni kweli amehamia huko, na the rest of the story ya nyumba,
sasa ninatakiwa kuja hapa na kusema na kusema yote in details, halafu kesho na keshokutwa nisipate info tena? Au nifukuzwe kazi? I mean guys, halafu what is this kuwa akisema Tafiti, basi Kulikoni, Ogmulik, na Jzalendo mnalifahamu na ni sawa sawa, wakisema wengine huyo bwana akiuliza na nyinyi mnauliza? Huyo bwana akikubali na nyinyi mnakubali, mnachotaka hasa kutuambia kwenye hii forum ni nini hasa?
Mnachotaka kuwaambia wananchi hapa ni nini? Eti Mkapa ana hela za kujenga ile Ikulu kule Lushoto, Sea View, Msasani, Majengo ya ku-rent Msasani, majengo ya ku-rent Ilala, na sasa mansion SA, hivi hamuoni hata aibu na maneno yenu? Hii ni wazi kabisa kuwa the man was a thief, na amefanya haya baada ya Mwalimu kuondoka, kumbe alipofariki hawa ndio waliokuwa wanatundanganya,
Kujifanya kilio cha taifa na mambo yote kumbe ni nyoka mbaya huyu, halafu kuna wanaotaka kutudanganya kama kawaida na maneno na mengine ya kizungu, Eti CONSOLIDATE! are you kidding me! Mwalimu angekuwepo angefanya haya maajabu? Sisi tunagawana umeme, magenerator sasa bongo hata usingizi hatulali makelel ya magenerator, mosho ndio hausemeki tena bongo, ni kwa sababu ya hawa kina Mkapa, wezi wakubwa na wanafiki waliomdanganya Mwalimu maisha yake yote akaamini kuwa ni watu wake kumbe wahuni wakubwa, ndio ananunua nyumba huko kujitayarisha kukimbia ikibidi, maana anajua kuwa JK, kwenye hilo hana mchezo maana rafiki yake Sumaye, alimumlilia sana wakati wa uchaguzi asimpe JK, ".....Ben ukimpa huyu kijana atatufunga huyu......Ben Please can you for once listen to me.....",
Baada ya uchaguzi hawa wawili BM na Sumaye walikuwa maadui wakubwa kinachowakutanisha huko Boston sasa hivi ni nini? BM naye anahangaika sana na Malsyia na Singapore anakokwenda kesho kutoka Boston kuna nini?
Ndio maan Mzee JK ameipangua timu yote ya maadili ya CCM, amefukuza wote na alikuwa njiani kufukuza makatibu wote wa mikoa na wilaya, isipokuwa Mzee mmoja akamuwahi na kumbembeleza asifanye hivyo, ama sivyo kimbunga kingewakuta wote, sasa ndugu zangu mnaotetea wezi kaeni chonjo mana tsunami linakuja, ameweka timu mpya ya maadili maana anakuja pole pole, na majuzi amewaita Mtandao wote mmoja bada ya mwingine na kuwapa makali yao kuwa wasifanye mchezo na nchi ya wananchi, atawafukuza wote ikibidi, Wazee BM na Sumaye wanajua kinachokuja, kwenye hilo Mzee JK ninamuamini, na ninaamini kuwa sio muda mrefu hata hayo majumba huko SA yatarudishwa na hela za wananchi zitarudi,
Kwa wale mnaojaribu kuzima issue na maneno ya ushahidi, I hope you are for real kwamba Tanzania hatujawahi kuwa na viongozi wezi, maana hatujawahi kuuona ushahidi in public toka tupate uhuru!
Lakini tunawajua viongozi wote wliotajirikia uongozini, you guys better be right kuwa wote hawa wana condolidated salaries na marupu rupu maana when the day come, tutawatundika plaeee Sanamu Monument, na kumwaga risasi moja baada ya nyingine na tutawalazimisha familia zao kulipia risasi hizo zitaklazonunuliwa kwa hela za wananchi na wakulima!