Mkapa above the law?: Allegations

Mkapa above the law?: Allegations

Aliyofanya Mkapa (1995-2005)

A: Positives


7. Kufutwa kwa madeni ya nje HIPC
8. Kuongezeka Foreign Direct Investment- Gold Minig etc
10. Muafaka wa CUF na CCM


Kufutwa madeni sijanona faida yake zaidi ya kuwasaidia Watawala wetu waeendelee kukopa na kutumia vibaya mikopo kwa kuingia mikata hewa na kuifukarisha nchi yetu zaidi na zaidi pia kutuongezea madeni tu.

Swala hili inabidi ulitupe kwa JK na serikali yake kwa sababu ndiyo waliobenefit. Nafikiri Muungwana alitumia kujengea zile shule ambazo EL anatamba nazo na nyingine wakafanyia safari za kutafutia ma-investors.

Kuongezeka kwa FDI labda lakini kwenye Madini hata Muungwana anajua tumeliwa, ingawa alikuwepo na ndo maana anawapigia magoti wawekezaji wafikiri kukubali turekebishe mikataba hiyo.

Hapa nakubaliana nawe. Lakini JK hawezi kumunyoshea mtu kidole kwa vile naye alikuwa kwenye cabinet iliyohusika na haya mambo. Lakini mbona mikataba mpy anashindwa kurekebisha mpaka wanaisaini nje ya nchi kutuficha?

Sula la Mwafaka yalikuwa ni Mazingaombwe na Maigizo ambayo CCM wanaelekea kuyarudia tena, wanavuta-vuta hadi 2010. Fukurto linazidi kuwa kali. Si wasikia kauli za Makmba na Kingunge? BWM hakufanya kitu na Muungwana ameamua kuanzisha Mwafaka mpya ingawa kina Kingunge na Makamba wanafanya usanii.[/QUOTE]

Hili swala hakuna anayeliweza. Kila kitu kinachoendelea ni usanii tupu. CCM ZNZ wanajishikilia kwenye muungano kwa vile wanajua hawataweza kuwa hapo bila muungano.
 
Aliyofanya Mkapa (1995-2005)

A: Positives


7. Kufutwa kwa madeni ya nje HIPC
8. Kuongezeka Foreign Direct Investment- Gold Minig etc
10. Muafaka wa CUF na CCM


Kufutwa madeni sijanona faida yake zaidi ya kuwasaidia Watawala wetu waeendelee kukopa na kutumia vibaya mikopo kwa kuingia mikata hewa na kuifukarisha nchi yetu zaidi na zaidi pia kutuongezea madeni tu.

Swala hili inabidi ulitupe kwa JK na serikali yake kwa sababu ndiyo waliobenefit. Nafikiri Muungwana alitumia kujengea zile shule ambazo EL anatamba nazo na nyingine wakafanyia safari za kutafutia ma-investors.

Kuongezeka kwa FDI labda lakini kwenye Madini hata Muungwana anajua tumeliwa, ingawa alikuwepo na ndo maana anawapigia magoti wawekezaji wafikiri kukubali turekebishe mikataba hiyo.

Hapa nakubaliana nawe. Lakini JK hawezi kumunyoshea mtu kidole kwa vile naye alikuwa kwenye cabinet iliyohusika na haya mambo. Lakini mbona mikataba mpy anashindwa kurekebisha mpaka wanaisaini nje ya nchi kutuficha?

Sula la Mwafaka yalikuwa ni Mazingaombwe na Maigizo ambayo CCM wanaelekea kuyarudia tena, wanavuta-vuta hadi 2010. Fukurto linazidi kuwa kali. Si wasikia kauli za Makmba na Kingunge? BWM hakufanya kitu na Muungwana ameamua kuanzisha Mwafaka mpya ingawa kina Kingunge na Makamba wanafanya usanii.[/QUOTE]

Hili swala hakuna anayeliweza. Kila kitu kinachoendelea ni usanii tupu. CCM ZNZ wanajishikilia kwenye muungano kwa vile wanajua hawataweza kuwa hapo bila muungano. It's a tIME BOMB!!!

Samahani nilichemsha hapo juu wakati najaribu kuQuote!!
 
Wandugu,
Kutokana na majadiliano hayo hapo juu if we are to rate our leaders in a scale of performance both domestically na internationally!

1. Mafanikio scale % ungetoa ngapi? (0-100%)
2. Mapungufu scale % ungetoa ngapi (0-100%)
3. Mark Time Position (no change)
4. Neutrality position- no comment

A: Nyerere Mafanikio 70%, Mapungufu 50%. I would rate him as a good nation builder, and Pan Africanist. Internationally ametotoa Tz kimasomaso- hata leo many admire him! He was a good president!

B: Mwinyi. Mark Time Position (no change). Mzee ruksa alifungua milango- though hakuwa na uwezo yeye binafsi. Inflation ilifikia 20%!

C: BWM: Mafanikio ningempa 60% na mapungufu 40%. Alikusanya kodi, alidhibiti mfumko wa kodi kufikia 4.5% alirudisha confidence ya Wafadhili. Internationally alitutoa kimasomaso kama Tume ya Blair, UTANDAWAZI n.k. So I would conclude pamoja na mapungufu yake he was a good president though not successful!

D: JK Mafanikio....%??? Mapungufu......%????. He is still serving indications have shown some more secondary schools been built!

So far naona kwa Tanzania, Nyerere na BWM, I will rate them better than Mwinyi and JK.
All in all the country is still poor economically but we are still one peaceful nation respected by many other nations!
 
Mzalendohalisi,

Ranking yako iko very fair. Nafikiri na mimi nitawaweka au kuwapa same grades!!!
 
Tatizo la Bongo when kuna matatizo tunawaonea haya kuwachukulia hatua kwa sababu ya kupenda kubebana. Vilevile, tunashindwa kusahihisha makosa yaliyotokea nyma ili yasije yakaendelea kutokea mbeleni kwa vile tunataka kutumia the same loopholes kujineemesha. Ndiyo sababu watu wanapigia makerere matatizo aliyotuletea BWM bila kumchukulia hatua zozote vilevile hakuna jitihada zozote zinazofanywa kuzuia watu kama Nkapa wasitokee tena siku za mbeleni. I wish Mwalimu angekuwa hai, sasa hivi tungekuwa tunapeta, may be tungekuwa tunafikiria ndoto za EL za kupaa kumbe anapaa peke yake!!
 
Mzalendohalisi/Mr.Zero,
The topic is how BWM squandered/stole/benefited himself from the public service job which he begged to be given, simply saying he stole money from our pockets. Ok AHM did it, well and good (is obvious for you), JKN maybe a failure(but to an acceptable extent) he never benefited from the highest public office!
This is where our problem is. When we elect a president we want a president who can be successful to enhance peoples lives, we want less people dying of malaria, less peopledying from aids, and we need to see if people are fed properly. You guys on which planet are you living? We need to address issues which we are seeing by our own eyes, feeling in our true hearts, otherwise we are lacking something which is moral!
If a president can squander such big money then he is a big failure even if he was embarced by the west.
Mind you guys, even before Sadam Hussein invasion of Kuwait he was a friend of americans/the west, this guy BWM if for sure what is said is true he is worse than Sadam and also Mobutu!
 
Wandugu, naamini swali sio kodi kiasi gani ilikusanywa au kiasi gani cha pesa tulikopa, au sifa kiasi gani Blair ametupa, Nadhani swali ni kodi iliyokusanywa ilifanya nini? After all viongozi wetu tuliwachagua kwa minajiri hiyo hiyo. Kwani job discription ya BWM au JK si ni kusimamia ukusanyaji kodi among other things? kukusanya tuu! (ndo maana maofisini wanatoa promotion kwa kuangalia evaluation ya utendaji wako wa kazi!!) Hili linahitaji usimamizi makini, basi. Sisi wananchi tunaangalia je ile kodi imetumika vipi? Hiyo FDI imenufaisha vipi, imebadilisha vipi maisha ya mpiga kura? The rest ni academic statistics. hapa ndo hawa viongozi wetu wanabeba lawama!

Anayesema kwamba sasa Tanzania inakopesheka, tuna investments nyingi, mimi hili sikatai, lakini hiyo mikopo tunayopewa inakwenda wapi? viongozi wetu sio greedy ni selfish! Kwa sababu kama wangekuwa greedy wangeiba harafu wakaweka nyumbani, kusudi hizo pesa na mali zigenerate hata ajira!

Again, naamini kwamba BWM alikuwa na tamaa, he was/supposed to be a good leader, lakini alitusaliti na hilo analijua, hata kama akiamua kujustify kwa kutumia maneno makali against wananchi. Kama JK angekuwa makini, akaimarisha utawala wa SHERIA watu wakaanza kuionea haya mali ya umma (mali zetu sisi wananchi) tungeanzia hapo, lakini as long as tunaendeleza ushkaji kwenye swala linalowahusu million 38 ya raia, kazi bado tunayo, tena kazi pevu! Kwani hili si IMF au World Bank, ni sisi kama Watz.

The fact is BWM just like JK they had a good chance of doing good things for our country on what Mwalimu had built already, lakini kwa ajiri ya shortsightedness na tamaa ndo wametufikisha hapa.

Hivi kweli watz tuna akili gani, kusema kwamba serikali imejenga hospitali, wakati mpaka leo hakuna (kama wapo ni wale wa chini) viongozi wanaoweza kufanyiwa check up (sio kutibiwa nchini!) TZ!) Angalia Muhimbili na hospitali nyinginezo..Ni aibu tupu, bajeti ya kila wizara inatenga hela ya wakulu kutibiwa nje, na sisi kwa vile tumechoka na njaa, hata tukijengewa zahanati tunaona, mambo hulllleeeeeee! Safi, serikali inafanya kazi! Wakati millions of $$ wanakula wachache.

Jamani, sisi ni raia wenye haki na wajibu kama walivyo wazungu wa USA au Europe, we deserve the best! sio kuona kwamba what JK is doing ni favour kwetu wakati ndo kazi aliyoomba!
 
Aliyofanya Mkapa (1995-2005)

A: Positives


7. Kufutwa kwa madeni ya nje HIPC
8. Kuongezeka Foreign Direct Investment- Gold Minig etc
10. Muafaka wa CUF na CCM


Kufutwa madeni sijanona faida yake zaidi ya kuwasaidia Watawala wetu waeendelee kukopa na kutumia vibaya mikopo kwa kuingia mikata hewa na kuifukarisha nchi yetu zaidi na zaidi pia kutuongezea madeni tu.

Swala hili inabidi ulitupe kwa JK na serikali yake kwa sababu ndiyo waliobenefit. Nafikiri Muungwana alitumia kujengea zile shule ambazo EL anatamba nazo na nyingine wakafanyia safari za kutafutia ma-investors.

Kuongezeka kwa FDI labda lakini kwenye Madini hata Muungwana anajua tumeliwa, ingawa alikuwepo na ndo maana anawapigia magoti wawekezaji wafikiri kukubali turekebishe mikataba hiyo.

Hapa nakubaliana nawe. Lakini JK hawezi kumunyoshea mtu kidole kwa vile naye alikuwa kwenye cabinet iliyohusika na haya mambo. Lakini mbona mikataba mpy anashindwa kurekebisha mpaka wanaisaini nje ya nchi kutuficha?

Sula la Mwafaka yalikuwa ni Mazingaombwe na Maigizo ambayo CCM wanaelekea kuyarudia tena, wanavuta-vuta hadi 2010. Fukurto linazidi kuwa kali. Si wasikia kauli za Makmba na Kingunge? BWM hakufanya kitu na Muungwana ameamua kuanzisha Mwafaka mpya ingawa kina Kingunge na Makamba wanafanya usanii.


Hili swala hakuna anayeliweza. Kila kitu kinachoendelea ni usanii tupu. CCM ZNZ wanajishikilia kwenye muungano kwa vile wanajua hawataweza kuwa hapo bila muungano.[/QUOTE]

Hivi vitu vya kukusanya kufutiwa madeni hata wewe ungeweza kuvifanya.
Second alivifanya kwa Shinikizo la Donnors, sio utashi wake au akili yake, so naona kuwa alikuwa mpuuzi moja tu aliyepata kututawala, i am sorry for my strong words , lakini ndio reality yenyewe
 
IO,

I was not trying to make an impression that BWM was the best president. However, I was trying to compare our past presidents based on their achievements during or while in office. Nevertheless all had different ideas which is normal but all of them never seriously worked for the benefit of this country. This is the reason that we never developed to the level we were supposed to be.

On the other hand, since we have failed to convict any of them for their wrong doings (exclude JKN)I think the current president, if he really had serious intentions he could have tried to prevent for such things to happen in future by introducing new laws and regulations. May be because he also want to use the same opportunity!!
 
Wandugu,
Kutokana na majadiliano hayo hapo juu if we are to rate our leaders in a scale of performance both domestically na internationally!

1. Mafanikio scale % ungetoa ngapi? (0-100%)
2. Mapungufu scale % ungetoa ngapi (0-100%)
3. Mark Time Position (no change)
4. Neutrality position- no comment

A: Nyerere Mafanikio 70%, Mapungufu 50%. I would rate him as a good nation builder, and Pan Africanist. Internationally ametotoa Tz kimasomaso- hata leo many admire him! He was a good president!

B: Mwinyi. Mark Time Position (no change). Mzee ruksa alifungua milango- though hakuwa na uwezo yeye binafsi. Inflation ilifikia 20%!

C: BWM: Mafanikio ningempa 60% na mapungufu 40%. Alikusanya kodi, alidhibiti mfumko wa kodi kufikia 4.5% alirudisha confidence ya Wafadhili. Internationally alitutoa kimasomaso kama Tume ya Blair, UTANDAWAZI n.k. So I would conclude pamoja na mapungufu yake he was a good president though not successful!

D: JK Mafanikio....%??? Mapungufu......%????. He is still serving indications have shown some more secondary schools been built!

So far naona kwa Tanzania, Nyerere na BWM, I will rate them better than Mwinyi and JK.
All in all the country is still poor economically but we are still one peaceful nation respected by many other nations!

Hii assessment inaonekana inalenga kiudini sana kuliko reality, haitufai, kwa sababu wizi wake ulikuwa mkubwa saana kuliko input.
ukisikiliza hiyo interview ya Shaka Sali na Kikwete eg kwenye issue ya madini sisi tunapata 3% muwekezaji anachukua 97% sasa sijui Raisi gani mwenye akili atafanya hivyo. So atleast Kikwete anataka angalau tupate 30% as corporate tax
. Viongozi wa kuwasema kwa sasa ni Nkapa na sasa Kikwete, Alhaji for techinical reasons na za wakati ule mwenyewe anasema walikuwa wanafungua madirisha hewa safi iingie nitamwacha, labda wasaidizi wake ndio wakushughulikiwa. Lakini Nkapa kaingia kaona makosa ya wenzake Mwl na Alhaji , alikuwa in a better position ya kutofanya makosa na kama ni kufanya madogo madogo sio ya kuuwa watu na uchumi wa nchi kwa kuumilikisha kwa watu wa nje. na vita ya uchumi ni ngumu kuliko ya silaha, ndio maana kila siku tunadaiwa mabilioni kwa ajili ya kandarasi mbofu mbofu.kama ya city water, net group etc. au leo mwambie barrick aondoke uone shughuli yake, maana hiyo pesa hatuna, hivyo tuna kuwa watumwa from our own making, barrick akisema no production tunalia akisema sijui nini tutafanya, au leo umuondoe kaburu tbl, utaona hiyo hela utakayo lipa au leo aseme hakuna production ya kinwaji, maafa yatakayo kuwa ktk budget
 
Masanja, add another in your post: ABOLISH THIS SYSTEM OF VIP status for our bosses to go abroad for treatment. What makes it difficult to improvee our hospitals? Is real a very old system to send your president (from a sovereign country) to be checked in a foreign country (DrWho sorry I do not see where is national Security here) a president being checked by a foreign doctor in a foreign country!! We are forgetting another issue here, I am seeing now all leaders in Tanzania (Africa) are struggling to educate their boys/girls abroad; what is wrong with the domestic EDUCATION, they know it well that at home there is nothing! It can be good (for them to educate their siblings abroad if they spend their own money, but all these guys are public servants, where do they get all these moneys? Wither Africa Wither tanzania !!
 
Hii assessment inaonekana inalenga kiudini sana kuliko reality, haitufai, kwa sababu wizi wake ulikuwa mkubwa saana kuliko input.
ukisikiliza hiyo interview ya Shaka Sali na Kikwete eg kwenye issue ya madini sisi tunapata 3% muwekezaji anachukua 97% sasa sijui Raisi gani mwenye akili atafanya hivyo. So atleast Kikwete anataka angalau tupate 30% as corporate tax
. Viongozi wa kuwasema kwa sasa ni Nkapa na sasa Kikwete, Alhaji for techinical reasons na za wakati ule mwenyewe anasema walikuwa wanafungua madirisha hewa safi iingie nitamwacha, labda wasaidizi wake ndio wakushughulikiwa. Lakini Nkapa kaingia kaona makosa ya wenzake Mwl na Alhaji , alikuwa in a better position ya kutofanya makosa na kama ni kufanya madogo madogo sio ya kuuwa watu na uchumi wa nchi kwa kuumilikisha kwa watu wa nje. na vita ya uchumi ni ngumu kuliko ya silaha, ndio maana kila siku tunadaiwa mabilioni kwa ajili ya kandarasi mbofu mbofu.kama ya city water, net group etc. au leo mwambie barrick aondoke uone shughuli yake, maana hiyo pesa hatuna, hivyo tuna kuwa watumwa from our own making, barrick akisema no production tunalia akisema sijui nini tutafanya, au leo umuondoe kaburu tbl, utaona hiyo hela utakayo lipa au leo aseme hakuna production ya kinwaji, maafa yatakayo kuwa ktk budget

Thank you! this is a result of putting big percentage of our economy in the hands on foreigners. Something must be done and must be done very soon to rectify those mistakes before it is too late.
 
Ukitaka kuwatendea maraidsi wote haki rank them kulingana na uaminifu na uadilifu wao. Hata kama hakufanikiwa sana kiuchumi lakini bado tutamuheshimu kwa sababu alikuwa ni muadilifu na nia njema ya kuwasaidia wananchi (JKN). lakini mtu ukishakuwa mwizi unastahili 0%, hata kama ulifanikiwa vipi. Hata hivyo mafanikio hini ya BWM yalikuja kutokana na shinikizo la nje na kukosa uzalendo na wala sio kutokana na ufanisi wa serikali yake. BWM is the worst president the country has had.
 
Ukiwa kiongozi wa Nchi inabidi uonyeshe uongozi wako bila ya woga na siku zote unapotete maslahi ya nchi yako wananchi watakuwa nyuma yako....Wakati mwingine unatamani kulia kwa madudu yanayoendelea katika nchi yetu. Watu wanakula mchana kweupe bila hata woga wala kunawa. Wamuogope nani!!!!! 😕

Ndo maana hujawa kiongozi wa nchi, hata ubunge sijui kama unaweza kuupata kutokana na ulivyokuwa na uzalendo na nchi yako! Inabidi uwe na roho ya jambazi lililokubuhu kuwa kiongozi wa haka kanchi kanakoliwa kila kukicha!
 
Nyerere kwa kiasi fulani alifanikiwa na ukilinganisha na marais wa nchi nyingine za Kiafrika alifanikiwa sana....Sera za vijiji vya ujamaa pia zilikuwa nzuri ili kuharakisha upayikanaji wa huduma bora kama maji, zahanati, elimu n.k. lakini utekelezaji wake ulikuwa hafifu.........

Aliefanikiwa SANA???, Mmmhh, i dont think so! matatizo yote tunayoyajadili sasa yeye ndo kayasababisha.....Hao maraisi walotuingiza mjini yeye ndo aliwaweka! Pia alifanya character assasination kwa yeyote aliyemuona zinachemka kuliko yeye...Nakubali alifanikiwa, hiyo SANA naikataa, na pia nakataa anapotukuzwa kama Mungu mtu!, as a person he was okay, and he tried to the best of his knowledge, i believe.

Sera za vijiji vya ujamaa, elimu ya bure, afya bure nk hata miye naziunga mkono, ndo maana nasema alijitahidi kadri ya uwezo wake.
 
Wadanganyika jamani mna taabu kweli kweli.. yaani mwizi anayehujumu uchumi wa nchi yako unataka kutazama kwanza mazuri aliyowahi kuyafanya?..
Ingekuwa hivyo kortini sidhani kama kuna jizi lingechukuliwa hatua.
Ni mazuri yapi hasa mnayotaka kuyaongelea maanake huwezi kusema mazuri kama yamejaa mapungufu. Na muhimu mnapotazama mazuri myatazame yenyewe kwa kipimo kinachotakiwa. mathlan Ukusanyaji kodi ulitakiwa Uwe billioni 300 na Mkapa aliweza kusanya Billioni 300, asilimia 5 zaidi ama 5 pungufu. Kwani huwezi kusema Mkapa aliweza kusanya kodi kwa sababu mnapima awamu za Nyerere, ambazo kulikuwa hakuna uwezekano wa kukusanya hata billioni 10, (huu ni mfano)
Kwa hiyo kufunguliwa kwa milango yetu kumeweza kuchangia zaidi pato hilo kwani sio serikali tena inayofanya biashara. Sasa mlitegemea Nyerere angeweza kusanya vipi kodi hizo wakati biashara zote kubwa zilikamatwa na serikali yake!
Hizi sifa tumpe Nyerere, Mwinyi ama Mkapa kwa sababu soko huria lolote lile lazima liambatane na kodi na kwa mara ya kwanza Tanzania tumeweza agiza vitu toka nje bila vibali vya kijamaa na wala sio serikali tena inayofanya biashara. Ukitazama Makampuni yote makubwa yaliingia mikataba bila kodi kwa miaka mitano.
Je, sii JK ambaye katukumbusha kwamba nchi yetu imeingizwa ktk mikataba mibaya?... Ni kiasi gani cha kodi tumepoteza ktk Uamuzi wa Mkapa kutoa msamaha wa kodi kwa miaka 5. Kwa hiyo kama alikusanya billioni 100 wakati ilitakiwa akusanye billioni 300.. sioni positives hapo.
Kwa hiyo tunapojaribu kutazama makusanyo ya kodi ni muhimu tuelewe na kuzingatia wakatai na jinsi gani kodi hizo zilikusanywa kwa sababu anayenyongwa hapa ni raia mlalahoi mwenye kiduka ama mradi wake wa kupika mikate. Hata JK leo hii atakusanya zaidi ya Mkapa kwa sababu hizo hizo za wakati na hakuna jipya aliloongeza zaidi ya kuwanyonga wananchi wenyewe. hata siku moja sio sifa kwa kiongozi wa nchi kukusanya kodi zaidi kupitia migongo ya wananchi wake. Hakuna utaratibu wala data base inayoweza kuhakikisha ukusanyaji wake wa kodi ulikuwa makini zaidi ktk nchi ambayo hata Posta bado tunatumia P.o Box na nyumba za ofisi nyingi hazina namba na pia wafanya kazi bado walikuwa wakilipwa cash!. Ukitaka barua hadi uende posta na kampuni yoyote ile inaweza ficha address yake ya kweli. Matumizi ya register ama sio lazima na mahesabu ya mwaka sii lazima yafanywe na wahasibu waliopitishwa na serikali. Software za mahesabu zinazotumika nyumbani hazikupitishwa na chombo chochote kile ama serikali. Bado tunatumia hesabu za mkononi kama vile tunahesabu embe.
Mwisho jamaa zangu, mkitazama kwa makini maelezo ya Mzalendohalisi ukayachukua yale aliyofanikisha kisha ukataza yale ambayo ni negative utaona kuwa kila positive kulikuwepo na negative ktk sifa hiyo hiyo. Amekusanya kodi lakini kuna rushwa kubwa!.. mahisiano ya Zanzibar utaona chini bado kaharibu!.. positive itoke wapi?

Huyu Mkapa ktk sifa zake kuna sehemu yupo kama sawa na baba aliyeweka mimba kisha kamwambia mke akaitoe maana hayupo tayari kuhudumia mtoto. Sifa yake kubwa hapa ni kwamba kaoa mke!
Sehemu nyingine ni sawa na baba aliyeweka mimba mtoto akazaliwa kisha akakataa kumlea!...
Kifupi huyu baba yetu Mkapa ni baba malaya mwenye wake wengi nje! huiba ndani akazipeleka nje na sidhani kama kuna sifa yoyote ya mzazi huyu!

Swala la mada hii ni kwamba amehusishwa na hizo billioni!..Hii ndio kesi iliyopo mahakamani sasa mkianza kuytazama mazuri yake, watoto wake, mke wake hali mwizi wenu kasimama kizimbani basi itakuwa mtihani mwingine...
Niliwahi kusema kama kweli Mkapa aliyafanya mazuri itakuwa ktk kipindi chake cha kwanza ambapo nilimpa 3 lakini kipindi cha pili alijipatia kura zangu -7.
Hivyo basi mkitaka hesabu zake mwenyewe za 2+2 = 22, sawa kayafanya mengi ikiwa ni pamoja na Kushikiria Urais akiwa matibabu ktk Hospital nje ya nchi!..
Hata Castro mwenyewe kaachia kwa muda Looh wadanganyika kwa madhifa!
 
Hata hayo mazuri aliyofanya kuna haja kuyapitia tena kwa sababu historia inaonyesha kipindi cha utawala wake kila project iliyoanzishwa na serikali kuna kupandisha kwa cost maradufu au familia zao kuwa wamiliki. Angalia issue ya Tanesco, Kiwira,kwenye madini ndio balaa wameamua kuchukua asilimia zote(hata Zenji wameisahau kwenye mgao)Ndege ya Rais,RADA,NBC, BOT, ATCL, bila kusahau sector ya Utalii( hivi nani anafahamu kwa mwaka TZ tunaigiza kiasi gani kwenye sector ya utalii?). Hata hilo Draja la Rufiji na uwanja mpya wa taifa ipo siku tutasikia jambo.Mzee BM kweli aliamua kudumisha mila..kufanya umachinga mpaka Ikulu.
 
Waungwana,
Nimeangalia your reactions! Some of us don't want any opinion in support of BWM- kwao BWM ni mtu aliyeshindwa ni hakuwa mwadilifu! Pia alikuwa Chinga Mlafi! Mimi nilijaribu kuangalia upande mwingine wa shilingi! Hivi wapo Chinga ambao sii walafi? Mfano may be Kingunge? Teh teh teh.... Michango mingine were so interesting!

Hebu tulinganishe BWM na Viongozi wengine wastaafu majirani- How would you rate the following on performance domestically and internationally?
I: Criteria- Domestic, (Promotion of peace and stability, economic growth, fighting corruption, human resource investment, infrastructure development)
II: Criteria- International (Peace Building in other countries, contribution to African Co-operation, SADC Liberation, Contribution at AU, SADC, EAC, UN).

Mimi analysis yangu ningewapa rating ifuatayo:

A: Zambia Domestic : International
1. Fredric Titus Chiluba- (40% ) (50%)
2. Kenneth Kaunda (70%) (80%)

B: Mozambique
1. Joachim Chisanno (60%) (75%)
2. Samora Michael (60%) (70%??)

C: DRC
1. Patrice Lumbumba (50%) ( 60%)
2. Sese Seko Mobutu (10%) (10%)
3. Laurent D Kabila (40%) (40%)

D: Uganda
1. Milton Obote (40%) (50%)
2. Field Marshal Idd Amin (05%) (0%)
3. Yusuf Lule (20%) (20%)
4. Godfrey Binaisa (20%) (20%)
5. Tito Okelo (10%) (05%)

E: Kenya
1. Jomo Kenyatta (75%) (65%)
2. Danieal Arap Moi (70%) (50%)

F: Malawi
1. Hastings Kamuzu Banda (40%) (50%)
2. Bakili Muluzi (50%) (50%)

G: Burundi
1. Ndaezieye (50%) (40%)
2. Piere Buyoya (50%) (50%)
3. Ntibatunganya (50%) (50%)

H: Rwanda
1. Gregoire Kayibanda (50%) (50%)
2. Juvenal Habiarimana (40%) (50%)

I: Tanzania
1. JK Nyerere (65%) (85%)
2. AH Mwinyi (55%) (65%)
3. BW Mkapa (60%) (75%)

Hii rating inawaweka Nyerere, Chissano, Kaunda on international achievements very high (over 70%) . Mimi naona kiuchumi domestically Kenyatta ndo aliyefanikiwa zaidi (75%) ktk eneo hili. Amini amepata 0% internationally ingawa OAU summit ilifanyika Uganda 1976.
BWM ukumlinganisha na wengine in a wider world katika hili enoe (pamoja na ulafi wake!) he is better than others!
Waungwana mnaonaje?
 
nafikiri aliye fanya hiyo analysis ilikuwa kabla watu hawajajua matatizo yake. So jaribu kumuuliza huyo aliye fanya analysis kwa kumpa hizi data za maskendo tunoe wata muweka wapi? au umpa dondo wa critics wa mkapa na maoni yao uone ata-counteract vipi?
Kwangu mimi bado sito badilisha fikra zangu juu ya Mtu Huyu.
Na kama alikuwa msafi au mwenye mafanikio mbona hajitokezi hadharani kujitetea.
Na zaidi ya hapo hizi information tunazipata licha ya usiri uliopo serekalini , kama wa Balali , Nkono, Nzindakaya etc.
Je wange kuwa hawaji-shield kwa kutumia vyombo na propaganda za serekali including PCCB mambo si yange kuwa magumu au mazito zaidi
 
Back
Top Bottom