Mkapa above the law?: Allegations

Mkapa above the law?: Allegations

FDR.jr,

Baada ya kifo cha Nyerere ambacho nina mashaka sana kama Mkapa hahusiki kwa kumpandisha pressure mzee wetu (Mungu anisamehe),

samahani, ina maana mwalimu afya ilianza kwenda ovyo baada ya kuona aliyemwamini, kumpenda na kumpendezesha sana kwetu sisi watanzania mpaka tukampa uraisi ameanza kuharibu? ikumbukwe kama isingekuwa mwalimu uwezekano wa mkapa kupata uraisi ulikuwa mdogo mno kama sio hamna kabisa.

du. noma. hata mimi naweza ona aibu na kujisikia vibaya nionapo mtu niliyemtegemea sana na kumsifia sana ili akubalike akifanya ovyo.
 
Mrefu, Rev. Kishoka aliandika kwamba makosa ni haya:

  • Benki Kuu na kashfa zote; Meremeta, Epa, CIS, Tangold, Minara na menginewe.
  • Miundombinu na Nishati: ATC, TRL, Rada, IPTL, Richmond, Kiwira, Ndege ya Rais, Helikopta za Jeshi na mengine.
  • Demokrasia butu: uonevu kwa vyama vya siasa na wafuasi wa vyama ambavyo si CCM, kwa kutumia nguvu ya dola kama kule Pemba, mauaji ya Mwembechai, kufilisi au kutoza ushuru na kodi ya kukomoa kwa mwenye kuipinga CCM na Serikali ya Mkapa na mengineyo.
  • Uwekezaji: Mikataba mibovu, sheria mbovu ambazo zinawapendelea wawekezaji na kulipunguzia Taifa mapato.
  • Sheria na Katiba: kuendelea kuwepo kwa sheria na mambo mabovu katika sheria na katiba ambayo yameondoa kabisa mihimili ya Bunge na Mahakama kuwa na nguvu za kikatiba na mamlaka kuihakiki Serikali kuu.
  • Uchumi wa nchi, kudorora kwa uchumi kwa hali halisi ya uzalishaji mali, kudumaa kwa kilimo na kukimbilia utegemezi wa kuagiza chakula, kupungua uzalishaji mali kutokana na kosekana kwa umeme, maji, barabara nzuri.
  • Elimu na Afya: kushuka kwa kiwango cha elimu Tanzania kwa kuruhusu matakwa binafsi ya watu wachache waamue kubadili mfumo wa Elimu bila kupata ushauri wa wataalamu wa Elimu. Afya kuendelea kudorora huku kukiwa na uhaba mkubwawa vifaa, madawa na wataalamu wa afya.
  • Uongozi mbovu; kukosekana kabisa kwa uwajibikaji ndani ya serikali ambako kumezaa tabaka la viongozi wa Serikali na Mashirika ambao wanajiona ni Miungu wasio na makosa (Mattaka, Chenge n.k). Kukosekana na Sauti ya kuheshimiwa kuliongoza Taifa.

Ili tuendelee mbele, fungua kesi, Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dhidi ya Benjamin William Mkapa.

Na wewe Mrefu unaandika hivi:

… Nilimaanisha kwamba mikataba yote ingepititwa upya na yale yasiyokuwa na tija na nchi yetu yatupiliwe mbali.

Sasa kama manunuzi yalishafanyika ndo itakuwaje? Kwamfano ununuzi wa radar, ndege etc. hasara tumepata na tunaendelea kupata.

Kiasi gani Tz imepoteza kupitia mikataba ya ovyo? Tukibadili hiyo mikataba tunaweza recover tulichopoteza?

Kesi zikifunguliwa na watz wakishinda huenda haitotokea nchi ipate ‘fidia' kwa ilichopoteza. Lakin itakuwa ‘meseji' nzuri kwa waliopo na watakaokuja
 
Naomba nitoe ushahidi wa jinsi gani Utawala wa Mkapa umeliletea nchi yetu hasara. Hili ni jambo la nyumba za Serikali ambazo ziliuzwa kwa bei ya chini kwa marafiki na jamaa(makampuni) na sasa tunaambiwa kuwa Serikali ingepata hela zaid. Dola Milioni 200 si kitu kidogo, hicho ni sawa na EPA moja, hizo ni fedha ambazo Tanesco, Dawasco na ATC wanahitaji ili wajiendeshe vizuri!

2008-12-21 12:03:20
By Staff Reporter


But, according to the secret report made available to The Guardian on Sunday, it has cost the government more dearly than it was expected, painting another gloomy picture to President Benjamin Mkapa`s regime, which was clouded by serious controversial decisions.

In its conclusions, the report summed that the sale of government houses to senior politicians and officials was characterised by contradictory policy objectives and the systematic misuse of public resources.

``As a result of selling public housing and land at a fraction of market values to a relatively small group of politicians and senior officials, the Government of Tanzania has foregone a windfall income of hundreds of billions of shillings (hundreds of millions of USDs), and will continue to lose money on future sales``, says the 27-page report.

In Dar es Salaam alone, according to the report, income foregone from the sales is estimated at over $200 million.

For instance, the report reveals that in Oysterbay, Upanga, Sea view and other prime areas, the current market value of the land on which the auctioned government houses are built ranges between $150,000-$500,000, depending on the location, but yet the buyers paid not more than $50,000 to acquire the property.

Contacted this week for comment about what has been achieved during the execution of the controversial project, Makumba Kimweri from Tanzania Building Agency (TBA) said by August this year, only Sh39.5billion was already earned.

TBA has estimated to earn Sh57billion revenues from the controversial `auctioning` of government`s houses.

According to data released by TBA, a total 7,159 houses were sold countrywide.

Surprisingly, the money earned was used to build only 910 houses, making the project another `white elephant` as it failed even to meet 20 percent of the total houses demanded by the growing number of public servants.

The TBA official added that, the exercise to sell government houses will continue after civil servants, tenants of the proposed houses for sale, complete certain formalities including settling rents for those who are yet to pay.

According to the report, the reasons given for the partial auctioning of state-owned houses were among other things `to generate funds `with which to construct more and better housing units.`

It was assumed, this would be cheaper than refurbishing the dilapidated houses, but knowing what we know today, it is obvious that the project backed strongly by the third phase regime, was another means of looting public resources.

Although the Ministry of Works` Estates Department commissioned an independent valuation of government houses prior to their sale, the valuers were not asked to assess the value of the plots on which the houses stood, the report has found.

Following the situation, the sale of government houses was therefore premised on the fiction that the land on which the houses stood had no market value.

``When senior government staff and politicians learned that they could buy the houses they were living in at what was called `book value`, some had the houses repaired and/or upgraded at government expense, either through the Ministry of Works or their own ministries,`` the report says, adding that eventual prices paid for the houses were supposed to reflect the cost of the repairs, but individual deals were brokered so that the same price was paid for properties differing widely in value.

``I estimate the total value of the 478 government houses/plots sold in Oysterbay at Shs 165 billion, or $149 million�we know that that the TBA sold unimproved houses on one acre plots in prime locations for Shs 33 million and this is unjustifiable,`` says the author of the report

Tales of three officials
A Permanent Secretary bought the house in which he lives, in a choice area of one acre plots in Oysterbay.

The house has previously been extensively improved by the Ministry of Works, though the PS contests the value of the work performed and the quality of the workmanship. The price he pays for his house - over Shs 60 million - includes the agreed cost of the improvements. His plot is worth $500,000.

Just a few metres away, lives a Deputy Permanent Secretary, whose house remains largely as it was when built over half a century ago.

The Ministry of Works has not maintained the property, and the modest improvements to the plot (gate, wall/fence) were provided by the ministry.

He bought the house for Shs 33 million, including the one acre plot. Most of the houses and plots in his area sell for this price.

His plot is worth about $500,000. He has already paid for the property, by selling a house and a plot of land he owned in Dar es Salaam.

He says that the CRDB will offer loans to those who have bought their properties from the government.

He plans to build a modern house to rent after he retires in a few years` time.

Another Deputy PS lives in another typical colonial house off Chole Road. He has lived in the same house for more than twenty years and will retire in three years` time.

The plot (more than one acre) is worth up to $500,000. He intends to continue living in the house after his retirement. His first concern is to find ways to pay off the Shs 33 million that he owes the TBA.
  • SOURCE: Sunday Observer
 
Sitta speaks on Mkapa`s fate

2008-12-21 12:00:04
By Rodgers Luhwago

As the debate on whether former president Benjamin Mkapa should be prosecuted or not takes its pace, the Speaker of the National Assembly Samwel Sitta this week issued his `verdict`, saying such move was impossible under the current parliamentary as well as political system.

Mr Speaker who is seen by some political analysts as a 'thorn to the flesh` due to his tough stance of war against corruption painted a grim picture to those who have been championing the move to prosecute the former head of state.

But while the Speaker doubted whether the current system would allow the prosecution of the former head of state, some of the MPs within the ruling party CCM, led by Aloyce Kimaro, are planning to initiate a process to prosecute `Mr Clean`.

Yesterday, Mr Kimaro was quoted by a section of the press, saying that he was enthusiastically waiting for the private motion to lift legal immunity to the former head state to be tabled in the house early next year.

Mr Kimaro, who was the first MP from the ruling party to raise the debate in the parliament by saying that it was high time Mr Mkapa was prosecuted, promised to vote in favour of the motion, once tabled in the house.

His remark comes amid currents of public discussions at this time when some ex-ministers are facing criminal charges linked to misuse of public office.


Some want Mr Mkapa to be arraigned before the court to answer charges of the same nature.

``This is a democratic state whereby its citizens have the right to freedom of expression.

However, lifting an immunity for the president or any ex-president so that they may stand trial before the court, in my view, is not something feasible,`` Speaker Sitta has said.

According to Speaker Sitta, the proposal being orchestrated by some politicians to have Mr Mkapa prosecuted may not be feasible given the nature of the matter.

``The complexity of the legal processes involved in any attempt to lift the immunity so that the president or any ex-president can stand trial is what makes me come to the conclusion that such an attempt may not be feasible``. Sitta told The Guardian on Sunday.

He said if any person feels that there is a pressing need to do so, he or she should understand that such a process involves amending the constitution that grants immunity to presidents.


He explained that doing so would also require such a person to table the motion for such an amendment before the parliament and be approved by two-thirds of the legislators.

Received with mixed reactions
The call for Mkapa`s prosecution is also opposed by some politicians who think that doing so would plunge the nation into leadership chaos.

The quest to see Mr Mkapa in the dock emanates from what many people see as deliberate foul play during his leadership in the third phase government.

But, Prof Mwesiga Baregu, a senior political science lecturer at the University of Dar es Salaam, was in support for Mkapa\'s prosecution, saying though the constitution grants immunity to the ex-presidents, such an immunity is conditional.

``It should reach a point where we must get rid of the culture of impunity. Those claiming that the constitution grants total immunity to the ex -president against prosecution are wrong. The mother law just grants conditional immunity,`` said Prof. Baregu.

According to the seasoned lecturer, the immunity only works against prosecution for offences the ex-president committed in the course of executing presidential duties, not otherwise. However, he said, if necessary the immunity can be lifted through Parliamentary procedures.


He said since the image of the former president has been tarnished by the scandals that emerged during his leadership, court is the only institution to clean him. `` I think we should emulate an example set by our colleagues in Zambia where former President Fredrick Chiluba was taken to court for misuse of public office``.

Philemon Ndesamburo( Chadema- Moshi Urban) said since former President Mkapa was the chairman of the cabinet meetings that made important decisions for the nation, including hiring Alex Stewart that is now troubling his two former cabinet minsters, he, too, should therefore be taken to court, he contends.

Mr Ndesamburo was referring to the case filed by the government against Mr Yona and Mr Mramba in which the duo are accused of misusing powers bestowed upon them as ministers for finance and energy and minerals, respectively, in the third phase government .

However, Dr Sengondo Mvungi backed down the idea of prosecuting Mr Mkapa , saying the presidency is a post that ought to be highly respected if the fabrics of the national unity are to be strengthened.

``Taking the ex-president to court is not something to rush to. It is a very delicate matter,`` said Dr Mvungi, who is a constitutional lawyer lecturing at the University of Dar es Salaam.

He said should there be any pressing need to do so then the charges must be genuine. Kigoma North MP Zitto Zuberi Kabwe supported Dr Mvungi, saying grant corruption in the country can not be fought by taking the presidents or the ex-presidents to court.

Commenting on the call to arraign Mr Mkapa in court Mr Kabwe said: ``Grand corruption in this country will never end by taking Mr. Mkapa to court.

Once we start arresting ex-heads of state then the country will never be the same again. This is a person who made so many decisions in the past.``


Taking former President Mkapa to court remains an uphill task given the culture of protectionism in the country`s politics.

President Jakaya Kikwete was quoted as having told Tanzanians living in the US in 2006 that Mr Mkapa should be left alone so to rest.

Former President Mkapa is linked to a number of deals that cost the nation dearly. Record shows that during his leadership it is when the luxurious presidential jet was purchased at the cost of about Sh 50 billion.

SOURCE: Sunday Observer
 
Here we Go!...
Nilijua tu itakuwa hivyo pamoja na kwamba sikusomea sheria!...lakini hata hivyo hatuwezi kabisa kukubali sheria zinazotungwa kwa ajili ya kulinda mtawala badala ya maslahi ya nchi kuwa mbele ya mtawala aliyekula kiapo.

Tatizo la wabunge wetu wameshindwa kuelewa kwamba ikiwa wanaogopa kuondoa sheria inayomkinga rais/mstaafu wakihofia kwamba nchi haitakuwa sawa tena je, ina maana nchi yetu hivi sasa iko sawa ilivyo!..
Je, hawaoni upande wa pili wa shilingi ya maamuzi yao hayo hayo kuwa kutobatilisha kinga ya rais Aliyehujumu, ndio mwanzo tunawaonyehsa viongozi wanaogombea kuingia Ikulu kuwa ukisha shika Urais basi unaweza fanya lolote unalotaka - wewe ni MUNGU MTU..Je, hii kweli nchi yetu itakuwa sawa hasa baada ya kuona Mkapa katoka na madhambi kibao!..rais anaweza kuyarudia ya Mkapa vile vile na kwa sababu hakuna sheria hatuwezi kumfungulia yeye mashtaka wakati tumemwacha Mkapa huku nyuma..

Je, Sheria ya kinga haiwezi kuongezwa kipengele kinachosema kinga haiwezi kumkinga rais yule aliyehusika na Hujuma za Uchumi kwani kiutawala ni vigumu sana kutenganisha Executing Presidential duties na Kuhujumu Uchumi kwa sababu Hata Hitler na wale NAZIs wake alipovamia nchi za Ulaya alidai alikuwa aki - Execute Presidential duties, hakuona makosa kisheria ingawayalikuwa makosa..Watu kama Mugabe, Idd Amin, Haile Mariam wanatumia ngao hiyo hiyo ya kinga ya rais iliyopitwa na wakati..Jamani mnataka kesi za viongozi wetu mpaka ziende ziende mahakama za kimataifa kama Rwanda!

Ajabu, utaikuta nchi za kiafrika na maskini tu.. Zitto please unatuangusha mkuu najua sana wananchi kwani nilitegemea Wabunge wetu mtajiuliza swali moja kwanza.. Wananchi wanataka kitu gani?.. then mnapendekeza na kuipigia kura sheria kutokana na matakwa ya wananchi sio mtu mmoja.
 
Kivuli cha Mkapa ni kikali kuliko haya Mkapa mwenyewe in person. Wabunge na Spika wao wanazungumza kwa kuzungukzzunguka kana kwamba kitu chenyewe ni cha kujificha sana kutokana na hofu inayotokana na kivuli cha Mkapa. hata Kikwete mwenyewe suala hili linamsumbua sana kwa sababu anajua akimkoma nyani glad, na yeye yanaweza kumkuta kama haya has ukizingatia kuwa katika utawala wake yametokea madudu mengi sana. Pia hana uhakika nani atairithi nafasi yake, ni miongoni mwa rafiki zake, au aduai zake ambao wanazidi kujikusanyia nguvu kuhakikisha kuwa wanaingia madarakani atakapoondoka.
Hivyo, si Bung wa serikali yenye uwezo wa kusema na kutendas wazi wazi kabisa kulingana na hata matakwa ya sheria hiyo ya kinga kama ilivyochambuliwa na watalaam kuwa kinga aliyonayo Mkapa ni conditional.
 
Mramba na Yona hivi sasa wanaumia sana wakiona wao wamekwenda Keko na mshirika wao wa karibu Mkapa hawezi kushitakiwa. Wananchi walio wengi wangependa( waulizwe kwa kura ya maoni) kinara wa ufisadi Mkapa anashitakiwa kama walivyoipata wengine.Nadhani ipo haja ya kufanya marekebisho yanayostahili ili Mkapa apelekwe mahakamani.
 
Wakuu waulizeni vizuri wanasheria juu ya kuondolewa kwa kinga ya aliyekuwa/mkuu wa nchi, kuna jambo hawa wanasheria hawalitamki hadharani hapa!! Na sielewi kwanini, wanang'ang'ania eti nchi haitatulia na hofu ya baadaye wakati wanajua kwa kufanya hivyo bunge litalazimika kuruhusu uchunguzi wa marais wote walimtangulia jk lakini pia likitoa mwanya makini wa kum prosecute the current president, sheria ya nchi haibadilishwi kumkabili mtu mmoja bali jamii, ktk hili tutawasema hata marehemu.

Ndugu wanasheria tuone fursa kwa kuweka utaalamu wenu wazi hapa.
 
Sheria always hazitungwi kumfix aliyepita bali kuikabili hali tete iliyopo kwa siku zijazo, nadhani hata hao akina kimaro hawana ufahamu wa kutosha ktk hili.

Angalizo, kuna uwezekano wa kutunga sheria maksudi kwa ajili ya kundi fulani na hii huwezekana pale tu ktk vitu kama geneocide, uhalifu wa vita na hapo mara nyingi tuna adopt tu charter za un kama bado hatuna sheria hizo ktk katiba ya nchi, ukiangalia vizuri utaanza kuuona.

Nasisitiza wataalamu wa sheria kuwa wawazi juu ya hili linalozungumzwa hapa, sengondo anapiga chenga na kijana mwenzangu zito naye kwa makusudi anataka tuamini kuwa hapendelei haya mambo!!!

Wataalamu wa sheria kazi kwenu
 
samahani, ina maana mwalimu afya ilianza kwenda ovyo baada ya kuona aliyemwamini, kumpenda na kumpendezesha sana kwetu sisi watanzania mpaka tukampa uraisi ameanza kuharibu? Ikumbukwe kama isingekuwa mwalimu uwezekano wa mkapa kupata uraisi ulikuwa mdogo mno kama sio hamna kabisa.

Du. Noma. Hata mimi naweza ona aibu na kujisikia vibaya nionapo mtu niliyemtegemea sana na kumsifia sana ili akubalike akifanya ovyo.

na yeye hakuwa na time nao hata kidogo
 
wazalendo, habari za hapa jamvini

kwa maoni yangu binafsi, nadhani rais mstaafu mkapa alijitahidi kufanya mengi mazuri. Matatizo mengi ambayo rev. Ameyanyambulisha yanatokana na loopholes ya baadhi ya sheria zetu, usimamizi na uwajibikaji.

Hebu tuangalie usa wakati bill clinton alipokuwa na sex scandal na monica, kwa sababu ya sheria, usimamizi na uwajibikaji uliokuwepo wa watu na institutions mbalimbali bado tunaona ni namna gani suala lake lilishughulikiwa. Jiulize kama ingekuwa tanzania lililofanyika kule lingewezekana?

Yawezekana mkapa alishindwa kusimamia mambo yote au kulikuwa na loopholes ambazo si vema zikaachwa tena.

Natoa hoja ni vema sheria zetu nyingi ziangaliwe na kupitiwa upya, pia kuwe na machanism ya kuwafanya watu wawajibike kuliko ilivyo sasa ambapo watu wakipata loopholes wanazitumia.

Swali langu kwa wote ambalo ni kuhusiana na utashi na uzalendo ni hasa katika suala zima la ufisadi: Je, ikiwa kuna loop hole ya wazi ya kujinufaisha binafsi na ambayo at that time umeiona na unadhani kuwa hakuna mtu wa kukuzuia au kukushika au kukushitaki, je utaitumia au utaiacha? Kama jibu lako ni utaiacha basi una utashi mwema na pia ni mzalendo, lakini kama jibu lako ni utaitumia basi wewe ni potential fisadi kama mafisadi wengine ila tu hujapata opportunity ya kuonyesha ufisadi wako.

mkuunaomba niseme kuwa nimekubaliana nawe ktk elimu uliyoimwaga hapa ila nitapenda leo tena nichangie kidogo ingawaje mukandara ananishutumu eti kwa vile nime side na wale wanaomtetea mkapa, always niko wazi kuwa mimi ni shabiki wa huyu mzee netanyahu fine: Ninakubaliana na critics wake ktk baadhi ya mambo lakini sikubaliani na bezo dhidi ya benjamin william mkapa, mukandara anataka kukataa kuwa hakukuwepo na shinikizo la mwalimu juu ya kupunguzwa kwa ukali wa hatua dhidi ya watuhumiwa wa ufisadi mwanzoni mwa utawala wa bwm, angalia vizuri vyako mukandara na uwe mnyoofu wa moyo pale unapouona ukweli wa jambo hata kama kwa kufanya hivyo unampatia kaujiko fulani adui yako.

Kuhusu hii kesi iliyoletwa hapa mahakamani jf na mtumishi wa mungu kushoka"kawaida sheria ikipitishwa haitakiwi ku act retrospective unless specifically imeelekeza hivyo na imeelekeza ni lazima issue iwe kama mauaji ya kimbari ambapo unatunga sheria kwa hao tu na wakiisha sheria inakoma, kwa sasa sitta na wenzake wakiibadili sheria basi wajue itaanza na jk na watakaomfuata venginevyo expressly provided specifically to mkapa, je mnadhani wabunge wakiitengua kinga itakuwa maalum kwa mkapa pekee? Mwinyi na mwalimu nao je? Baada ya hapo who is next? Kuweni wakweli wakuu, kumng'ang'ania mkapa si tu kujivunjia heshima sisi wenyewe bali ni kuthibitisha tu kuwa watz tuna safari ndefu sana kuuona mwanga wa kweli.
Mch.with all respect withdraw your charges ktk mahakama hii ya jf na tusaidie kuiangalie tz njema tunayoiendea na vipi tutafika huko.
 
1. Yesterday, Mr Kimaro was quoted by a section of the press, saying that he was enthusiastically waiting for the private motion to lift legal immunity to the former head state to be tabled in the house early next year.

2. Mr Kimaro, who was the first MP from the ruling party to raise the debate in the parliament by saying that it was high time Mr Mkapa was prosecuted, promised to vote in favour of the motion, once tabled in the house.

3. His remark comes amid currents of public discussions at this time when some ex-ministers are facing criminal charges linked to misuse of public office.

- La mgambo limeshaanza kulia hapa, sasa kilichobaki ni sisi wananchi kuwasaidia na a strong support wabunge wetu ili Mkapa atinge Kisutu, kwani Mkapa yeye ni nani bwana? Ni mwizi tu kama wezi wengine wote wa kuku na mbuzi the man is a thief period hakuna cha sheria wala immunity, peleka mwizi huyo Kisutu,

- Naomba kurudia maneno yangu ya hivi karibuni hata yeye Mkapa, in private anakubali kuwa kuna ufisadi anahusika nao lakini sio wote anaosingiziwa na unaosemwa sasa buruza mwizi huyu Kisutu now ili aseme mwenyewe wazi ni upi anaohusika nao na upi hahusiki ili sheria ichukue mkondo wake, tumeona mawaziri Kisutu itakua Mkapa? Who he thinks he is?

- Hatuna immunity iliyomruhusu kuiba na kupora mali za wananchi akiwa Ikulu, that is insane, hiyo immunity inapaswa kuwa on national ishus lakini sio on criminality of the president, huyu ni mwizi tu na wezi wote ni lazima wafike kwenye sheria it is about time sasa akajitokeza mwenyewe na kuomba aende Kisutu ku-clear his name, ndio maana hasa ya uwazi na utandawazi aliouanzisha yeye mwenyewe, kwani hawa mawaziri sio watu ila yeye ni mtu zaidi?

- Yaani hela zote ambazo serikali na taifa tumetenga kuwatunza marais wastaafu yeye hazikumtosha, tena tunawapa marupurupu ya ajabu ili wajiepushe na wizi na uporaji wa mali za wananchi, halafu yeye ameenda kufanya exactly the opposite na kupora mali za wananchi kila kona ya taifa, halafu eti ana immunity? Yona ni mshiriki wake Kiwira, sasa inakuwaje Yona aende Kisutu halafu Mkapa apone? Just does not make a sense at all,

Sasa wakuu tutoe support nzito kwa wabunge na hasa huyu mbunge Kimaro, ambaye tayari ninaamibiwa na wakulu kuwa huko kwao tayari amepachikwa jina la "Traitor" kwa kutaka shemeji asulubiwe so be it, Mkapa ni lazima atinge Kisutu ama sivyo kazi nzima ya serikali kusaifsha mafisadi itakuwa ni kufukuza hewa! Na sisi wa-Tanzania sio watoto wadogo wa kudanganywa kila siku imefika mwisho sasa wote waliohusika watinge Kisutu now na hasa kiongozi wao wa wizi wa mali za wananchi, yaani Mkapa!

- Maneno ya kwamba eti Kikwete anamuogopa Mkapa kwa sababu na yeye huenda akatajwa sio ya kweli hata kidogo, kwa sababu unahitaji kujiuliza maswali madogo sana, hivi magazeti ya Mengi yalizipata wapi habari nyeti za mali za Mkapa? Kama ni kivuli labda chake yeye mwenyewe Mkapa, lakini kwamba eti wanamuogopa hapana, wanahitaji support nzito kutoka kwetu wananchi, that is all! Tukiendelea kulia tu wallahi utaona mkulu anatinga Kisutu!

Ohhh Yeah! I said it, Sauti ya umeme FMES!
 
Utterly, if we really want to judge former TZ leaders in terms of economic growth we'll all agree that Mr. Clean was the best president ever in the history of Tanzania. This can also be portrayed in among others stabilizing inflation rates and increasing govt reserves. This is quite contrally to the current leadership where really you can not plan something based on gvt plans as reference point as you'll end up in trouble for instance last year the annual plan was to reduce inflation to 4% however, it went up to 9% similarly, this year plan on inflation has failed meaning that is really set politically not feasibly attainable based on strategies behind.

However, despite of all Mr clean did to the nation the idea of prosecuting him is essentially nice as is doest mean that we don't appreciate what Mr. Clean did for the nation but rather to make leaders more accountable to the nation. In this regard I thing the move towards prosecuting Mr. Clean is a nice one for the future of Tanzanian leaders and furthering democracy.

cheers
 
FDR.Jr,

..Raisi Ya' Ardu wa Nigeria amekuwa akiwabembeleza Maseneta wa Nigeria waondoe immunity kwa Raisi. Ya' Ardu kasema anataka kuongoza nchi bila kuwa na immunity.

..umesema ukweli kwamba Bunge likifuata utaratibu wa kawaida wa kuondoa immunity basi itamhusu Raisi Kikwete, Raisi Benard Membe[msinishambulie], na wengine watakaomfuatia.

..lakini pia Bunge linaweza kuweka kipengele kwamba sheria hiyo ihusishe Maraisi woote walioongoza Tanzania. kwa mtizamo wangu naona hiyo itakuwa ndiyo haki.

..siyo siri kwamba hujuma za waziwazi na kubwakubwa zilianzia miaka ya Mzee Mwinyi. Ufisadi ulikithiri mpaka ikafikia wafadhili wakatukatia misaada. hata Mwalimu Nyerere alisema serikali inanuka rushwa. kwa mtizamo huo naamini kwamba hata utumishi wa serikali ya Mzee Mwinyi unapaswa kuchunguzwa.

..serikali ya Mwalimu Nyerere nayo inapaswa kuchunguzwa na kuhojiwa kutokana na wananchi kunyanganywa mali na ardhi yao kutokana na sera zake za Kijamaa. kuna wananchi waliopoteza maisha mikoa ya kusini wakati wa zoezi la operesheni vijiji. kwa mtizamo wako zoezi lile ni mfano wa excessive use of force na abuse of power and office. zaidi, kuna kesi ya wananchi wa kabila la Wadatoga/Barabaig ambao ardhi yao ya asili ya malisho ya mifugo iliporwa na serikali na kupewa muwekezaji wa mashamba ya ngano ya basuto.

..hapa Jamii Forums tuna msemo wetu wa kumkoma nyani giladi. katika masuala ya haki na utawala wa sheria hatupaswi kuoneana haya. Ufisadi ni ufisadi tu haijalishi umefanyika wakati wa Mwalimu,Mwinyi,Mkapa,au Kikwete.

..IMMUNITY YA MARAISI WOTE TANGU UHURU IONDOLEWE NA KILA RAISI ABEBE MSALABA WAKE.
 
..Raisi Ya' Ardu wa Nigeria amekuwa akiwabembeleza Maseneta wa Nigeria waondoe immunity kwa Raisi. Ya' Ardu kasema anataka kuongoza nchi bila kuwa na immunity.

..umesema ukweli kwamba Bunge likifuata utaratibu wa kawaida wa kuondoa immunity basi itamhusu Raisi Kikwete, Raisi Benard Membe[msinishambulie], na wengine watakaomfuatia.

..lakini pia Bunge linaweza kuweka kipengele kwamba sheria hiyo ihusishe Maraisi woote walioongoza Tanzania. kwa mtizamo wangu naona hiyo itakuwa ndiyo haki.

..siyo siri kwamba hujuma za waziwazi na kubwakubwa zilianzia miaka ya Mzee Mwinyi. Ufisadi ulikithiri mpaka ikafikia wafadhili wakatukatia misaada. hata Mwalimu Nyerere alisema serikali inanuka rushwa. kwa mtizamo huo naamini kwamba hata utumishi wa serikali ya Mzee Mwinyi unapaswa kuchunguzwa.

..serikali ya Mwalimu Nyerere nayo inapaswa kuchunguzwa na kuhojiwa kutokana na wananchi kunyanganywa mali na ardhi yao kutokana na sera zake za Kijamaa. kuna wananchi waliopoteza maisha mikoa ya kusini wakati wa zoezi la operesheni vijiji. kwa mtizamo wako zoezi lile ni mfano wa excessive use of force na abuse of power and office. zaidi, kuna kesi ya wananchi wa kabila la Wadatoga/Barabaig ambao ardhi yao ya asili ya malisho ya mifugo iliporwa na serikali na kupewa muwekezaji wa mashamba ya ngano ya basuto.

..hapa Jamii Forums tuna msemo wetu wa kumkoma nyani giladi. katika masuala ya haki na utawala wa sheria hatupaswi kuoneana haya. Ufisadi ni ufisadi tu haijalishi umefanyika wakati wa Mwalimu,Mwinyi,Mkapa,au Kikwete.

..IMMUNITY YA MARAISI WOTE TANGU UHURU IONDOLEWE NA KILA RAISI ABEBE MSALABA WAKE.

Mkuu Joka,

- Hapa tupo ukurasa mmoja, hakuna cha immunity kila mmoja abebe msalaba wake na kama inabidi ufanyike uchunguzi tujue nani ni nani kwa kweli I am down na hii hoja, lakini kusiwe na kuoneana haya.
 
Bm21,
Utterly, if we really want to judge former TZ leaders in terms of economic growth we'll all agree that Mr. Clean was the best president ever in the history of Tanzania. This can also be portrayed in among others stabilizing inflation rates and increasing govt reserves. This is quite contrally to the current leadership where really you can not plan something based on gvt plans as reference point as you'll end up in trouble for instance last year the annual plan was to reduce inflation to 4% however, it went up to 9% similarly, this year plan on inflation has failed meaning that is really set politically not feasibly attainable based on strategies behind.
Sorry bob, guess I'm not among those who believe Mr. Clean was the best President! For I know you can't measure economic growth simply by appling inflation of which benefits due under government programs were indexed to the inaccurate figure...

Please, refresh my mind how did you came up with Inflation % in declining!.. 'cause all I know our economists and politicians vested interests in the continuance of Ufisadi policies, actually causing inflation, yet pretended that inflation was at decline, strongly minimizing its extent when in reality inflationary forces were manifest themselves like a vacuum of air in a plastic bag (Puto) to a point that now it bust and we look for a witch..
We for a long time ignored all economic factors that cannot be expressed as equations.. simply because we thought those guys are smart, very educated based on tone of their speaches, but in fact they tend to reduce all recognized economic concepts to the simplistic point where they can be mathematically measured or weighted..(changa la macho).
Tulipigwa changa la macho mkuu, na kuwa forced to ignore the existence and extent of inflationary forces until now when everything is clear (baada ya vumbi kuondoka)..It's is like those medical tests that never show what is wrong until the patient is already half dead, now we point our finger at the presiding doctor when in no time we could remember mgonjwa wetu getting better.At no time had economy reflect increase in productive efficiency of any of our technological progress..esp Infrastructure and Industry of which, Mramba just weeks ago reminded us - nothing, I mean zero ennovation during Mkapa's presidency!
I can hardly remember prices being declined during his Presidency other than statistics being understated because what was measured was price inflation under modest rates of deflation instead of the internal pressures that cause real price inflation...I.e Devaluation of Tsh. equivalent to Usd..
Just take a simple thing...Daladala fare was Tsh. 100 in 1995, by 1997 jumped to Tsh.150 and ended at Tsh.250 by the end his 10 years..definetly an incredible hike in % within 10 years..But at the same in 1995 a dollar was Tsh.500 (daladala 20 cent), by 1997 was 850 and he left at Tsh. 1100 (daladala at ..) do the math..

Mkuu, almost every thing you think of had a price tag higher than what local people could afford. High demand from Health, School, Food, Clothings U name it and besides all billions of dollars were stolen from each financial institutions like no tomorrow!..Money which flooded the street and hike prices of almost everything!..
Again I'm Starting to wonder if our problem is leadership or Ndivyo tulivyo! - Mkapa being a Mr. Clean!
 
-
Sasa wakuu tutoe support nzito kwa wabunge na hasa huyu mbunge Kimaro, ambaye tayari ninaamibiwa na wakulu kuwa huko kwao tayari amepachikwa jina la "Traitor" kwa kutaka shemeji asulubiwe so be it, Mkapa ni lazima atinge Kisutu ama sivyo kazi nzima ya serikali kusaifsha mafisadi itakuwa ni kufukuza hewa! Na sisi wa-Tanzania sio watoto wadogo wa kudanganywa kila siku imefika mwisho sasa wote waliohusika watinge Kisutu now na hasa kiongozi wao wa wizi wa mali za wananchi, yaani Mkapa!

Ohhh Yeah! I said it, Sauti ya umeme FMES!
Hii ni kweli kabisa Kaka, inabidi wananchi na wabunge wengine waanze ku-push hii kitu, na ikishajulikana nchi nzima wabunge wengi wataunga mkono kwa kuogopa kupigwa chini 2010.
 
Bm21,

Sorry bob, guess I'm not among those who believe Mr. Clean was the best President! For I know you can't measure economic growth simply by appling inflation of which benefits due under government programs were indexed to the inaccurate figure...

Please, refresh my mind how did you came up with Inflation % in declining!.. 'cause all I know our economists and politicians vested interests in the continuance of Ufisadi policies, actually causing inflation, yet pretended that inflation was at decline, strongly minimizing its extent when in reality inflationary forces were manifest themselves like a vacuum of air in a plastic bag (Puto) to a point that now it bust and we look for a witch..
We for a long time ignored all economic factors that cannot be expressed as equations.. simply because we thought those guys are smart, very educated based on tone of their speaches, but in fact they tend to reduce all recognized economic concepts to the simplistic point where they can be mathematically measured or weighted..(changa la macho).
Tulipigwa changa la macho mkuu, na kuwa forced to ignore the existence and extent of inflationary forces until now when everything is clear (baada ya vumbi kuondoka)..It's is like those medical tests that never show what is wrong until the patient is already half dead, now we point our finger at the presiding doctor when in no time we could remember mgonjwa wetu getting better.At no time had economy reflect increase in productive efficiency of any of our technological progress..esp Infrastructure and Industry of which, Mramba just weeks ago reminded us - nothing, I mean zero ennovation during Mkapa's presidency!
I can hardly remember prices being declined during his Presidency other than statistics being understated because what was measured was price inflation under modest rates of deflation instead of the internal pressures that cause real price inflation...I.e Devaluation of Tsh. equivalent to Usd..
Just take a simple thing...Daladala fare was Tsh. 100 in 1995, by 1997 jumped to Tsh.150 and ended at Tsh.250 by the end his 10 years..definetly an incredible hike in % within 10 years..But at the same in 1995 a dollar was Tsh.500 (daladala 20 cent), by 1997 was 850 and he left at Tsh. 1100 (daladala at ..) do the math..

Mkuu, almost every thing you think of had a price tag higher than what local people could afford. High demand from Health, School, Food, Clothings U name it and besides all billions of dollars were stolen from each financial institutions like no tomorrow!..Money which flooded the street and hike prices of almost everything!..
Again I'm Starting to wonder if our problem is leadership or Ndivyo tulivyo! - Mkapa being a Mr. Clean!

Nimejaribu kusoma post ya ndugu Mkandara mara kadhaa ili kuelewa ni kwa vipi Mkapa hakuwa BEST President (so far) ila nimeshindwa kupata maelezo yoyote yanayohusiana na Mkapa kutokuwa Best President.

Mimi naamini kabisa kuwa Mkapa alikuwa Rais bora kabisa tangu tupate Uhuru. Nakubali pia kulikuwa na mapungufu mengi tu katika uongozi wake. Ila ukweli kuwa alikuwa Best so far unabaki pale pale.

Mkapa alifanikiwa sana kuendeleza elimu nchini. Alijenga (kwa mara ya kwanza kabisa tangu Uhuru) shule nyingi sana za msingi na sekondari. Alijitahidi sana kuweka maslahi bora kwa walimu (na baadhi ya uthibitisho ni utulivu wa walimu uliokuwepo wakati wake). Uanzishwaji wa MMEM na MMES ulifanikiwa sana na mwenye upeo wa kuona ataweza kuona hilo.

Mkapa alifanikiwa sana ku-control inflation. Itakumbukwa wakati akiingia madarakani, inflation ilikuwa ya kupaa. Ukapa ukikumbukwa utasaidia kuelezea zaidi.

Mkapa alisaidia kukuza uwekezaji wa ndani na wa nje (uwekezaji wa kweli). Ikumbukwe wakati wa awamu ya kwanza ilikuwa ngumu kuwekeza (Pesa haikuwa msingi wa maisha). Wakati wa awamu ya pili, uwekezaji haukuwa rasmi. Wasomi waliacha kazi na kukaa vijiweni (maana huko pesa ilipatikana kwa urahisi zaidi). Uchumi ukadumaa, na ikafikia mahali nchi ikawa haikopesheki tena.

Nadhani niishie hapa kwa sasa. Mkapa ataendelea kukumbukwa kwa kazi nzuri sana.
 
Ikiwa utatenda mema mengi, siku ukitenda dhambi moja kubwa hiyohiyo itakupeleka motoni. Cheo ni dhamana moja baya ni angamizo la taifa, sio lazima ikiwa umetenda mazuri halafu ukafanya moja la mauaji basi uachwe, bahati mbaya uongozi hauko hivyo. Ni ngumu lakini ndio uongozi ni public material
 
Back
Top Bottom