Makanisa na Misikiti vinatuangusha sana kwenye suala la ufisadi na rushwa. Ukatoliki wa siku hizi hata muumini wa kawaida anapewa nafasi kuhutubia kanisani kwenye ibada!!
Sasa ulitaka makanisa na misikiti wafanyeje wakati unajua kabisa kuna amri ya kumsamehe aliyekukosea hata mara saba sabini