jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,375
- 25,453
which includes you, me and mkapa!
Mwanakijiji nafikiri umeji include kwa kigezo cha kwamba labda wewe kama mwananchi wa kawaida umesaidia kubaki kwake madarakani kwa kumpigia kura ama kwa njia nyinginezo...Kwa maana kuwa wananchi nao wameshiriki kuwaweka madarakani.
Ila naomba tusisahahu INFLUENCE ALIYOKUWA NAYO MWALIMU NA AMBAYO BADO ANAYO NDANI YA FIKRA ZA WENGI WETU.
Upande wa Mkapa ni wa kulaumu kwani yeye ndiye tuliyempa mdhamana wa Taifa letu na yeye akaliuza na the rest kugawana na wenzake.
Hata hivyo kwangu binafsi mtu wa kulaumu ni MWALIMU MWENYEWE...Pamoja na wale waliokubali kuwa MAPANDIKIZI kwenye uchaguzi ule wa 1995.
Tena nafikiri alikuwa na BIFU NA WACHAGGA KWANI ALIPOKUJA MOSHI KUMNADI MKAPA ALIZOMEWA!
Alikuwa na Picha ya Mkapa na akainyanyuwa juu na kusema TAKA MSITAKE HUYU NDIYE RAIS WENU AJAYE!
Watu walipiga ukunga na kuzomea kwani walikuwa wameshachoshwa na UFISADI!
Yeye kama baba wa Taifa ni wazi kilimuudhi na kilimkuna sana kwani yalishamtokea kama hayo kipindi cha nyuma wakati wa harakati za Uhuru na pia mara baada ya uhuru.
Ukiwa na mawazo mazuri na Taifa halafu ukawa na nia iliyojificha matokeo yake ni UNAFIKI na hakuna UKWELI bali PROPAGANDA na HUKU utendaji ukiwa ni HAKUNA!
Hivyo basi Baba wa Taifa, Marando, Lamwai, Kaburu na wengineo...Ni watu watakaoingia kwenye Historia kwani waliyakumbatia mawazo ya A SINGLE PERSON(MWALIMU) Na kuwa eliminite wananchi walikokuwa wameunganishwa na mpmbano wa kishujaa wa MREMA NA UJUMBE WAKE KWA WALALAHOI!
HAKIKA MREMA NI SHUJAA!
Sasa tunataka Haki...Na Haki ni SHERIA...Tunataka kuona kuwa huu unakuwa ni MWISHO WA HAYA YOTE!
Na kuwa ni MWANZO WA MAENDELEO YANAYOTOKANA NA UHURU WA KWELI.