BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,533
- 3,837
Ulitisha bro
VIPI umeshatoka?Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Ndio maana akina Dr Slaa wakaamua kustaafu siasa kama vijana tegemeo kwa ukombozi ndio hawa ....Mbowe alivyobadili gia angani wakala matapishi yao ....VIPI umeshatoka?
Ndio maana akina Dr Slaa wakaamua kustaafu siasa kama vijana tegemeo kwa ukombozi ndio hawa ....Mbowe alivyobadili gia angani wakala matapishi yao ....
Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
LOWASSA NI NGUMU KUINGIA UKAWA KAMA ILIVYO KWA NGAMIA KUPENYA KTK TUNDU LA SINDANO"lowasa for presidential 2015"via CCM
Hahahahahahaaaa! Lowassa hana ubavu wa kubaki CCM kama atatoswa kwenye kuwania Urais. Kwa sababu anajua hawezi tena kusubiri miaka kumi ijayo kama alivyokubali kumsubiri Kikwete hadi atakapomaliza ungwe yake. Akitoshwa Urais atatoka tu CCM, na kuna kila dalili kuwa CCM hawatampa nafasi ya kuwania Urais mwakani.
Ova
Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Ndio maana akina Dr Slaa wakaamua kustaafu siasa kama vijana tegemeo kwa ukombozi ndio hawa ....Mbowe alivyobadili gia angani wakala matapishi yao ....
aisee!Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Siku hizi anaitwa Muungwana Lowassa!
Wewe Ulikuwa hujui kuwa Jukumu lako linaishia kwny kukunja ngumi hewani na kusema pipoooz, Chama kina wenyewe na wakiamua kufanya Maamuzi huulizwi chochote !UKAWA hakuna nafasi ya mafisadi aende zake huko. UKAWA hawawezi kufanya makosa ya kipumbavu ya kumkaribisha huyu fisadi.
Mambo viphatutaki viongozi waliowahi kuliingizia taifa hasara ndo waje huku never on earth, labda awe mwanachama wa kawaida tu na sio kugombea nafasi yoyote ya uongozi vinginevyo arudi huko huko kwa chama chake cha mashetani
Msela wangu mweeeee?!!!!!Unataka Ricmond namba 2 iibukiwe UKAWA?
Karugila mtabir mrithi wa yahya husseinViongozi wakisema mtafuata.
Pesa za mamvi hazijawah kumuacha salama mwenyekiti cha chama kikuu cha upinzan Tanzania.ana nini cha zaidi? hatutaki majizi huku. alifukuzwa kwa escro no1 epa leo anaendelea kugawa hela ili awe rais.mwe nafuuu kuwa bila na kiongozi
Wewe Ulikuwa hujui kuwa Jukumu lako linaishia kwny kukunja ngumi hewani na kusema pipoooz, Chama kina wenyewe na wakiamua kufanya Maamuzi huulizwi chochote !
UKAWA haihitaji Sub-dakika ya 90, timu imeshakamilika, tunachosubiriwa ni KIPENGA tu ili mshuhudie timbwili.
Aligombea ubunge jimbo la serikal ya muungano wa Tanzania, ila kura hazikutosha hivyo atajarib kutupa karata yake ya mwisho kwa mara ua pili kupitia chama letu pendwaLabda agombee ubunge jimbo la Monduli kupitia UKAWA