Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Ndugu yangu bado upo UKAWA ipi wewe maana ulishasema unatoka??
 
Uliyeleta mada ni mkereketwa wa ACT.Kwa taarifa yako,Ukawa haiitaji mtu anayeitwa mamvi.Kumkubali mtu mzee huyu ndani ya ukawa ni kama kuchambia mfuko wa Rambo.

Kwa hiyo Siku hizi mnachambia Mfuko wa Rambo?
 
Mfumo siasa za vyama vingi tanzania ulikuwa na huruma ya mwl nyerere akienda against na matakwa ya watanzania.
Angeheshim matokeo ya maon ya wananch tusingekuwa tunatupa kodi zetu for the so called pesa za ruzuk kwa wachumia tumbo hawa
Mwl. Alataka tuanze kukimbia kabla hata ya kutambaa,matokeo yake ndo haya ya kuwa na upinzan wenye matege.
Tunataka ccm ing'oke ila c kwa mbadala wa upinzan huu tulionao,abadan asilani
 
Hata mimi nilikuwa na mawazo kama haya hapo awali. Lakini baada ya Lowassa kufunguka ukweli wote na kujua hiyo Richmond ni nini na nani hasa muhusika nilibadili msimamo wangu juu yake.
Binadamu huwezi kumchukia mtu kwa vile umeambiwa ni mchawi halafu ukaja ujua ukweli nawe ukaendelea na msimamo wako uleule. Huo utakuwa ujinga mkubwa, ambao watu wa ccm wanataka tuwe hivyo. After 8 years tumeujua ukweli na ule uovu tuliokuwa tunaambiwa ni wa Lowassa bado uko huko huko wanaendelea nao.

Sasa baada ya Bw. Lowassa kujitetea Kama mnavyotuambia Mbona mlienda kuitoa list of shame yote kwny Mtandao yenye majina ya kina Kikwete badala tu ya kutoa Jina la Lowassa aliejitetea na kumuelewa?
Jk na Mkapa walijitetea lini mpaka nao mkawafuta Kama mlivyomfuta Lowassa?
 
Hahahahahahaaaa! Lowassa hana ubavu wa kubaki CCM kama atatoswa kwenye kuwania Urais. Kwa sababu anajua hawezi tena kusubiri miaka kumi ijayo kama alivyokubali kumsubiri Kikwete hadi atakapomaliza ungwe yake. Akitoshwa Urais atatoka tu CCM, na kuna kila dalili kuwa CCM hawatampa nafasi ya kuwania Urais mwakani.
Ova
Duh
 
Japo ambalo si la siri kwamba kambi zote za wagombea urais CCM zinamuogopa sana Lowassa, hivyo kuna kila aina ya jitihada ya kuhakikisha jina la Lowassa halipitishwi kugombea nafasi ya urais.

Huku wapinzani wakijipanga kukata jina lake lakini Lowassa yeye anaendelea na mikakati yake ikiwa ni pamoja na kugawa fedha kama njugu kwani anaamini yeye ni rais wa Tanzania 2015-2025 "PIGA UA"

Lowassa anatishia kukiua chama (CCM) endapo hata pitishwa kugombea urais.

Wakati huo huo, endapo jina la Lowassa halitapitishwa CCM wanyetishaji wetu wanasema mkakati wa Lowassa kugombea kupitia UKAWA kwakuwa tayari ana mtaji wa wanaCCM wengi hivyo ni rahisi kwake kushinda nafasi ya uraisi.

Inasemekana kuwa tayari Lowassa ameshaanza mazungumzo ya chini chini na viongozi wa UKAWA lakini bado hawajafikia makubaliano rasmi.
We noma
 
Huu uzi huu utakuja kuelezea sababu ya kukuwa na kufa kwa chadema ukiambiwa uandike walau essy point ya kwanza kabisa lazima uelezee ni MWENYEKIT WA CDM KUMKARIBISHA EDWAFD LOWASA
 
Mmmm huu ntasoma page to page nataka nione watu walivyolamba matapishi yao
 
Nashangaa watu wanavyomnadi EL huyu hawezi kuwa rais wa Tanzania pamoja na njugu zote anazomwaga, watakula na kuvimbiwa kama JK alivyovimbiwa wizi kwa miaka 10 iliyopita. Hana jipya. wakuu endeleeni kufaidi hizo njugu kutoka Voda phone hazina mwenyewe. Kiini cha kuvuruga shirika la simu Tanzania.
Chademaaaa
 
Back
Top Bottom