mmmmmmmmmmmmh!UKAWA hatuwezi kumpokea mtu mchafu kama Lowassa
safi sana ulisema sawa nyakati zileSikiliza wewe FISI, mimi sio ukawa wala sisiemu. Nachotaka ni rais bora, sasa mnyonya mapvmbu ya EL kama wewe unakuja na upumbafu eti EL for presidency, unahitajika kupelekwa mirembe, kwamba hujui EL ni worse than JK??
Kuona hili hauhitaji kuwa na certificate, diploma au shahada zingine. Wala hauhitaji hesabu au science nyingine kujua kuwa hafai, haiwezekani anatumia pesa nyingi hivi kutaka kuwa rais. Na kwa taarifa yako, huyu hata sisiemu hakatizi. Mtamremba sana na kukisi mapvumbu yake, ila hamna kitu. Sidhani kama sisiemu ni wapumbavu kama wewe na team yako.
nina imani ulitekeleza hili
Bashiteeeeeeepesa ndio kila kitu
Vipi kijana upoLOWASSA NI NGUMU KUINGIA UKAWA KAMA ILIVYO KWA NGAMIA KUPENYA KTK TUNDU LA SINDANO"lowasa for presidential 2015"via CCM
Sasa hivi amekuwa mmiliki wa chademaHuyu ni mwiz tu
Upo mkuuTena akome anajua jasho la wananchi wanaopigania UKAWA abaki na mazimwi wenzie CCM
Sasa hivi anazo hizo fikra ? Bado ni mla rushwa au aliacha?Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Vip msimamo wako?ukawa hawawezi mkaribisha mwizi! wezi wenzie wamshindwe sa ukawa itakuaje???
Msimamo wako vipi? Alikuja na akapeperusha bendera ya uraisMtoa mada umeongelea Lowassa 'kugawa pesa kama njugu' ili awe rais. Nakukumbusha kuwa UKAWA haihitaji mgombea mwenye sifa kama hiyo! Na siyo mgombea tu, bali haihitaji hata mwanachama wa kawaida tu kuwa na hiyo sifa ya kutoa rushwa.