mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,546
Usimsahau Mzito Kabwela na idawa.Binafsi nafahamu wana-CHADEMA wawili hapa JF ambao hawajapata kuyumba ktk hili; kuna MTAZAMO na meningitis... anyway, I know wapo wengine lakini hao ndo nina uhakika nao! Hawa wengine; hamna kitu... wamejaa mayowe tu na ndio kuna cku nilishawahi kuwaambia hapa; hata cku JK huyu mnayemuita fisadi, cku akiingia CHADEMA, kila atakopita watampokea kwa shangwe na mashada ya maua! Unafiki ulioje!
Ila siku hizi CDM ina wafuasi mbumbumbu kabisa kama akina Mmawia.