Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Id nyingi sana zilikua zinampinga lakini leo ndizo zinazomtetea.

Kwa hali hii pesaa ni hatari sana unaweza kubadili giza kua mwanga

Humu jf nimegundua Id ambazo ni kongwe nyingi hazimtetei ila kuna baadhi zinamtetea kwa maslahi yao zilizojaa mpya tu

Vijana nendeni field sio kwenye mitandao hapa ni kakikundi kadogo sana ka watu

Hii ndo siasa za tz na watz ni unafiki na ushabiki tu mwanzo mwisho

Jf ni kiboko inaumbua watu!!!!!!!!
Heheheheh
 
Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Karma itakutafuna na hutowahi kufikia matamanio yako yoyote kisiasa
 
Mashabiki na wanachama wa chadema ni misukule, haina maamuzi wala sauti maana walikatwa ulimi.
 
Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Ningekuwa mimi ni wewe ningejipika ban ya maisha hapa JF, lakini kwa uweza wa wale wanyama watembea kwa makundi wakivuka kwenda Kenya na kurudi Tanzania wala huoni haya.
 
Back
Top Bottom