Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Japo ambalo si la siri kwamba kambi zote za wagombea uraisi CCM zinamuogopa sana Lowassa, hivyo kuna kila aina ya jitihada ya kuhakikisha jina la Lowassa halipitishwi kugombea nafasi ya uraisi.

Huku wapinzani wakijipanga kukata jina lake lakini Lowassa yeye anaendelea na mikakati yake ikiwa ni pamoja na kugawa fedha kama njugu kwani anaamini yeye ni raisi wa Tanzania 2015-2025 "PIGA UA"

Lowassa anatishia kukiua chama (CCM) endapo hata pitishwa kugombea uraisi.

Wakati huo huo, endapo jina la Lowassa halitapitishwa CCM wanyetishaji wetu wanasema mkakati wa Lowassa kugombea kupitia UKAWA kwakuwa tayari ana mtaji wa wanaCCM wengi hivyo ni rahisi kwake kushinda nafasi ya uraisi.

Inasemekana kuwa tayari Lowassa ameshaanza mazungumzo ya chini chini na viongozi wa UKAWA lakini bado hawajafikia makubaliano rasmi.

By: SUPU YA MAWE

Ni nini anachotaka ku-achieve kutumia mabavu kuwa rais? Kuna ajenda gani aliyonayo mpaka useme hayo maneno kwenye red hapo juu?
 
Last edited by a moderator:
We kichwa chako umejaza nini? Mnataka Slaa awe raisi na hawi ng'oo so chill bro. Labda useme humtaki lowassa upendekeze raisi wako ila kwa sasa hivi credit zote zinaenda kwa lowassa. UKAWA endeleeni kujipanga muda wenu utafika ila sasa hivi tuachieni CCM yetu na raisi wetu mtarajiwa ENL

Lowassa ndo huyu hawezi hata kukimbia mitaa 100
 
Kama motoni watu wanagombea uraisi tutaenda nae hakuna tatizo. Tunachotaka ni yeye kuwa raisi baasi

endeleeni kumpa moyo 2015 siyo huyu lowasa asiposhinda uraisi sijui mtakula wapi
 
endeleeni kumpa moyo 2015 siyo huyu lowasa asiposhinda uraisi sijui mtakula wapi

Jiulize kabla hajatangaza nia ya uraisi tulikua tunakula wapi. Kuna watu akili zenu sijui zinawaza nini mnaamini kila anaemkubali lowassa anapewa hela.
 
We kichwa chako umejaza nini? Mnataka Slaa awe raisi na hawi ng'oo so chill bro. Labda useme humtaki lowassa upendekeze raisi wako ila kwa sasa hivi credit zote zinaenda kwa lowassa. UKAWA endeleeni kujipanga muda wenu utafika ila sasa hivi tuachieni CCM yetu na raisi wetu mtarajiwa ENL

Sikiliza wewe FISI, mimi sio ukawa wala sisiemu. Nachotaka ni rais bora, sasa mnyonya mapvmbu ya EL kama wewe unakuja na upumbafu eti EL for presidency, unahitajika kupelekwa mirembe, kwamba hujui EL ni worse than JK??

Kuona hili hauhitaji kuwa na certificate, diploma au shahada zingine. Wala hauhitaji hesabu au science nyingine kujua kuwa hafai, haiwezekani anatumia pesa nyingi hivi kutaka kuwa rais. Na kwa taarifa yako, huyu hata sisiemu hakatizi. Mtamremba sana na kukisi mapvumbu yake, ila hamna kitu. Sidhani kama sisiemu ni wapumbavu kama wewe na team yako.
 
Kwani uraisi ni riadha mkuu? Kukimbia ni uamuzi binafsi wa mtu hauhusiani na mtu kuwa raisi

kukwagua gwaride hataweza .Lowasa akishinda uraisi ntatembea uchi dar-moro
 
Sikiliza wewe FISI, mimi sio ukawa wala sisiemu. Nachotaka ni rais bora, sasa mnyonya mapvmbu ya EL kama wewe unakuja na upumbafu eti EL for presidency, unahitajika kupelekwa mirembe, kwamba hujui EL ni worse than JK?? Kuona hili hauhitaji kuwa na certificate, diploma au shahada zingine. Wala hauhitaji hesabu au science nyingine kujua kuwa hafai, haiwezekani anatumia pesa nyingi hivi kutaka kuwa rais. Na kwa taarifa yako, huyu hata sisiemu hakatizi. Mtamremba sana na kukisi mapvumbu yake, ila hamna kitu. Sidhani kama sisiemu ni wapumbavu kama wewe na team yako.

Umepaniki mkuu kwahiyo unataka tunyonye yako na siyo ya lowassa? Unataka tuamini mgombea unaemtaka wewe unamnyonya di@#k ndo maana unamsupport? Lowassa anaweza kuwa more worse tha JK lakini mbona hujawahi kujiuliza kwanini Lowassa hakuwajibishwa kwa kashfa ya Richmond wala hakupewa nafasi ya kujitetea? Usipende kuchukulia vitu juu juu mkuu sababu umeshapandikizwa chuki moyoni mwako
 
Jiulize kabla hajatangaza nia ya uraisi tulikua tunakula wapi. Kuna watu akili zenu sijui zinawaza nini mnaamini kila anaemkubali lowassa anapewa hela.

Wenye kuwania urais kupitia sisiemu na wanaokubalika wapo kimya, nashangaa nyie mapovu kila siku. Huyo ni mwizi, na silaha ambayo upinzani wataitumia dhidi yake ni Richmond. Tambua watz si wajinga kama wewe na team yako mnavyodhani.
 
hukumwona JK akiwa anafanya mazoezi ya kukimbia huyu Lowasa amechoka sana

Kuchoka huko kwa Lowassa ni kupi sasa? Jk alikua anakimbia ajiweke fit ila Lowassa is fit enough hahitaji show off akiwa anakimbia sawa?
 
Wenye kuwania urais kupitia sisiemu na wanaokubalika wapo kimya, nashangaa nyie mapovu kila siku. Huyo ni mwizi, na silaha ambayo upinzani wataitumia dhidi yake ni Richmond. Tambua watz si wajinga kama wewe na team yako mnavyodhani.

Labda kama baba yako ndo mgombea anaekubalika ila so far Lowassa ndo matumaini kwa watanzania. Sisi wajinga ila ujinga wetu sio kama wako na team yako mnaokaa kimya eti hamtaki kujulikana what the hell is that?
 
Back
Top Bottom