Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Umepaniki mkuu kwahiyo unataka tunyonye yako na siyo ya lowassa? Unataka tuamini mgombea unaemtaka wewe unamnyonya di@#k ndo maana unamsupport? Lowassa anaweza kuwa more worse tha JK lakini mbona hujawahi kujiuliza kwanini Lowassa hakuwajibishwa kwa kashfa ya Richmond wala hakupewa nafasi ya kujitetea? Usipende kuchukulia vitu juu juu mkuu sababu umeshapandikizwa chuki moyoni mwako

Kuna jitihada zozote amezifanya za kuwahakikishia wananchi kuwa alionewa? Au anavyogawa pesa kama njugu ndo kuwaonyesha kuwa alionewa? Sijapandikizwa chuki. Ni kwamba hana sifa na ana skendo.
 
Kuchoka huko kwa Lowassa ni kupi sasa? Jk alikua anakimbia ajiweke fit ila Lowassa is fit enough hahitaji show off akiwa anakimbia sawa?

Lowasa amechoka kisura mpaka afya hawezi kukimbia kama JK anaweza kufia njiani
 
Labda kama baba yako ndo mgombea anaekubalika ila so far Lowassa ndo matumaini kwa watanzania. Sisi wajinga ila ujinga wetu sio kama wako na team yako mnaokaa kimya eti hamtaki kujulikana what the hell is that?

Lowasa ni fisadi namba tanzania
 
Labda kama baba yako ndo mgombea anaekubalika ila so far Lowassa ndo matumaini kwa watanzania. Sisi wajinga ila ujinga wetu sio kama wako na team yako mnaokaa kimya eti hamtaki kujulikana what the hell is that?

Wajinga ndo waliwao. Huyu ndugu hayuko popular sisiemu kama unavyodhani wewe na team yako. Mtapiga PR nyingi sana ila kiunzi cha kwanza tu ndani ya sisiemu hatoruka, ndo mtashangaa sasa!
 
Kuna jitihada zozote amezifanya za kuwahakikishia wananchi kuwa alionewa? Au anavyogawa pesa kama njugu ndo kuwaonyesha kuwa alionewa? Sijapandikizwa chuki. Ni kwamba hana sifa na ana skendo.

Mkuu kujitolea napo ni kugawa pesa bure? Sio kila scandal inasababishwa na aliepata scandal zingine zinatokeaga ili kusave watu wengine, muda ukifika wa Lowassa kujisafisha atajisafisha sasa hiv anawapa wapinzani wake cha kukiongea mumpe umaarufu zaidi
 
Mkuu kujitolea napo ni kugawa pesa bure? Sio kila scandal inasababishwa na aliepata scandal zingine zinatokeaga ili kusave watu wengine, muda ukifika wa Lowassa kujisafisha atajisafisha sasa hiv anawapa wapinzani wake cha kukiongea mumpe umaarufu zaidi

Nawatakieni kila la kheri kwenye kampeni zenu.
 
Mkuu kujitolea napo ni kugawa pesa bure? Sio kila scandal inasababishwa na aliepata scandal zingine zinatokeaga ili kusave watu wengine, muda ukifika wa Lowassa kujisafisha atajisafisha sasa hiv anawapa wapinzani wake cha kukiongea mumpe umaarufu zaidi

hata akijisafisha na magadi bado ataendelea kuwa mchafu
 
Nadhani mpaka sasa Lowassa ndio namba moja kati ya wagombea wote .

Hii nchi mbaya sio mtu mmoja bali ni mfumo wa kishetani uliojengwa na Kundi la wapagani waliokua wanakwenda kuzimu kule Bagamoyo wakati wa uhuru.
Lowasa,Kikwete ,Mwinyi na Mkapa walikua ni watu safi lakini waliongozwa na kanuni za Lusifa zilizopo na kujikuta wanamtumikia shetani na Mali kuliko Kumtumikia Mungu na watanzania aliowaumba.
Yeyote atakayeamua kumwacha shetani kwa maana ya CCM atakuwa ameongoka na kurudi kwa mola wake.
Kwa kulijua hilo ndio maana Kikwete kwa wema na roho yake ya huruma kwa watanzania ameamua kukiua Chama cha mapinduzi ili watanzania wawe huru mbali na dhulma.
KIKWETE ni chaguo la Mungu. Hata Nabii Buberwa amesema.
 
Nadhani mpaka sasa Lowassa ndio namba moja kati ya wagombea wote .

Hii nchi mbaya sio mtu mmoja bali ni mfumo wa kishetani uliojengwa na Kundi la wapagani waliokua wanakwenda kuzimu kule Bagamoyo wakati wa uhuru.
Lowasa,Kikwete ,Mwinyi na Mkapa walikua ni watu safi lakini waliongozwa na kanuni za Lusifa zilizopo na kujikuta wanamtumikia shetani na Mali kuliko Kumtumikia Mungu na watanzania aliowaumba.
Yeyote atakayeamua kumwacha shetani kwa maana ya CCM atakuwa ameongoka na kurudi kwa mola wake.
Kwa kulijua hilo ndio maana Kikwete kwa wema na roho yake ya huruma kwa watanzania ameamua kukiua Chama cha mapinduzi ili watanzania wawe huru mbali na dhulma.
KIKWETE ni chaguo la Mungu. Hata Nabii Buberwa amesema.






Lowasa hafai urais(tuwe waungwana na wakweli tu).
Na muarobaini wake ni huyu Mzee! Nasikia amekonga nyoyo za watu na amebomoa karibuni kambi zote!
 

Attachments

  • 1419720946212.jpg
    1419720946212.jpg
    39.1 KB · Views: 200
Lowasa hafai urais(tuwe waungwana na wakweli tu).
Na muarobaini wake ni huyu Mzee! Nasikia amekonga nyoyo za watu na amebomoa karibuni kambi zote!

Duh! Kituko hiki. Unatoa death unaleta kifo.
 
Mkuu kujitolea napo ni kugawa pesa bure? Sio kila scandal inasababishwa na aliepata scandal zingine zinatokeaga ili kusave watu wengine, muda ukifika wa Lowassa kujisafisha atajisafisha sasa hiv anawapa wapinzani wake cha kukiongea mumpe umaarufu zaidi

ninyi ndio mbulala mnaotusumbua hapa tz. kwa mtindo huu tutakuwa na lundo la wezi wanaojisafisha halafu nyie mnapewa ela . ni afadhari ya kuishi na mbuzi lakini sio na watu kama nyie .
 
Hahahahahahaaaa! Lowassa hana ubavu wa kubaki CCM kama atatoswa kwenye kuwania Urais. Kwa sababu anajua hawezi tena kusubiri miaka kumi ijayo kama alivyokubali kumsubiri Kikwete hadi atakapomaliza ungwe yake. Akitoshwa Urais atatoka tu CCM, na kuna kila dalili kuwa CCM hawatampa nafasi ya kuwania Urais mwakani.
Ova

umekuwa nabii
 
Back
Top Bottom