Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Hayo magazeti yanakuza mambo bila sababu. Ukawa ya nini wakati anao mwaliko kutoka kwa Ayat.olah kujiunga na kupewa nafasi ya kugombea cheo anachokipenda kuliko ampendavyo mkewe?
Wasitusumbue na maugomvi yao wakati sie tunamachungu na ripoti ya CAG
Daah!! Sasa hivi umebadilika uchamungu upo wapi..hahahhahahha!
 
Huu uzi mbowe akiuona huwa anatamani audhibiti usiendeleee kutiririka ,
Lakini huwa nawaurumia nyumbu bawacha Na BAVICHA maana huwa hawajui mfalme wao anawapeleka wapi ,
 
mkuu.


swissme
Ufafanuzi ulishawekwa humu humu mkuu , kila aliyekuwa ccm alikuwa adui yangu , nimerudi tu kwa ajili ya heshima yako , chadema nzima iliamini hivi lakini baada ya kikao cha kamati kuu kila aliyekuwa negative akawa positive , nadhani umeelewa .
 
hatutaki viongozi waliowahi kuliingizia taifa hasara ndo waje huku never on earth, labda awe mwanachama wa kawaida tu na sio kugombea nafasi yoyote ya uongozi vinginevyo arudi huko huko kwa chama chake cha mashetani
Wewe na Mbowe nani mwenye Chadema? Kikowapi sasa.
 
kapige mswaki kaka maana inaonekana ulikuwa usingizi..

unadhani ukawa ni kwepesi kivile?..
akijiloga akaingia tu ataambiwa akagombee udiwani ili wampime imani km kweli ni kamanda
Hahahahahaha!! Baada ya muda kazi yako ikawa kuzungusha mikono.
 
Uliyeleta mada ni mkereketwa wa ACT.Kwa taarifa yako,Ukawa haiitaji mtu anayeitwa mamvi.Kumkubali mtu mzee huyu ndani ya ukawa ni kama kuchambia mfuko wa Rambo.
Muwe mnaweka na maneno ya akiba.
 
na leo kuna mtu ameleta uzi wenye tetesi za lowasa kuendesha vikao vya siri kwa ajiri ya kufanikisha mpango wake wa kununua vyombo vya habari especially jf, na chanzo cha habari hiyo ni MWANAHALISI ON LINE, lkn cha ajabu bavicha wengi wamemzodoa sana mleta mada ambaye ni bavicha mwenzao. yaan hawa jamaa sijui wakoje! hawajui kuwa habari huanza na tetesi.
 
do you know the meaning of swissme.

mimi ni baba yako na kama unabisha kapime dna


swissme
Teh teh teh!

Susan baby una jina zuri na sura nzuri naona picha yako kwenye profile ulivyokuwa mrembo una haki ya kupewa viti maalum.
 
Back
Top Bottom