Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,230
- 43,389
Daah!! Sasa hivi umebadilika uchamungu upo wapi..hahahhahahha!Hayo magazeti yanakuza mambo bila sababu. Ukawa ya nini wakati anao mwaliko kutoka kwa Ayat.olah kujiunga na kupewa nafasi ya kugombea cheo anachokipenda kuliko ampendavyo mkewe?
Wasitusumbue na maugomvi yao wakati sie tunamachungu na ripoti ya CAG