Swali mazungumzk ya chini kwa chini yalikuwa yanafanyika baina ya nani na nani...jibu lake jwa tunaojua limetushua.
role model wako dr Slaa ndo alianzisha mpango huu......damn siasa mchezo hatar sana......
Swali mazungumzk ya chini kwa chini yalikuwa yanafanyika baina ya nani na nani...jibu lake jwa tunaojua limetushua.
Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
ERYTHRO bado uko ukawa sasa naona unarudia matapishi yako ,EDO kaingia ukawa sio tu kaivuruga bali pia kamfanya KIPENZI chako SLAA,kumuachia nyumba aliyoijenga kwa jasho na damu kwa muda wa mrefu NI aibu ERYTHRO kuendelea kubaki huko
Umeshatoka UKAWA??Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
people need changes from other political party to show their rage to the ruling party...they need transformation of government system via anybody from very power political party and this time is UKAWA.They don't look whether the man stand for president is good enough or not.Wewe ni pompoma uliotukuka tena mbaffu zako ulisema nini? Na leo unafanya nini kama sio kumkampenia huyo
Hujielewi Erythrocyte
UKAWA njooni mjipime wenyewe.
ERYTHRO bado uko ukawa sasa naona unarudia matapishi yako ,EDO kaingia ukawa sio tu kaivuruga bali pia kamfanya KIPENZI chako SLAA,kumuachia nyumba aliyoijenga kwa jasho na damu kwa muda wa mrefu NI aibu ERYTHRO kuendelea kubaki huko
hakuna haja ya kutoka povu kubwa kiasi hiki , kuna kitu fulani hukijui , uliza kwanza .Wewe ni pompoma uliotukuka tena mbaffu zako ulisema nini? Na leo unafanya nini kama sio kumkampenia huyo
Hujielewi Erythrocyte
niko UKAWA na nitaendelea kuwa chadema , ukiangalia kwenye uzi huu page za nyuma kidogo nimefafanua kuhusu jambo hili , nimeulizwa na zaidi ya watu 20 mmojawao ni pasco , na nina mpango kufanya mkutano serena hotel kulifafanua hili tu , hatutafukua makaburi .
Hii sikuiona
niko UKAWA na nitaendelea kuwa chadema , ukiangalia kwenye uzi huu page za nyuma kidogo nimefafanua kuhusu jambo hili , nimeulizwa na zaidi ya watu 20 mmojawao ni pasco , na nina mpango kufanya mkutano serena hotel kulifafanua hili tu , hatutafukua makaburi .
Mkuu, salaam!Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Na kweli mwenyekiti wao kasema na sasa malofa wote wamekuwa manyumbu ,aisee we una akili uliyosema ndio yametokeaViongozi wakisema mtafuata.
Na kweli mwenyekiti wao kasema na sasa malofa wote wamekuwa manyumbu ,aisee we una akili uliyosema ndio yametokea
Vipi alikupa rushwa kiasi gani?kwa sasa bavicha ndiyo watetezi na dodoki la kumsafisha.Na upumbavu na ulofa kawamwagia.Mnafiki mkubwa weeeee!Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Te te te...kwa sasa upo tayari hata kunywa mkojo wa Lowasa...ha ha siku zinaenda kasi sana.Mnafiki.Hayo magazeti yanakuza mambo bila sababu. Ukawa ya nini wakati anao mwaliko kutoka kwa Ayat.olah kujiunga na kupewa nafasi ya kugombea cheo anachokipenda kuliko ampendavyo mkewe?
Wasitusumbue na maugomvi yao wakati sie tunamachungu na ripoti ya CAG