Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Vip bado upo Ukawa unatumia dodoki kumsafisha Lowasa au umeshatoka..?
 
Huwa nafurahi sana kuupitia huu uzi

Makamanda yakitiririka ya moyoni kabisa

Lakini yalivyobadilika ha ha ha

Waliosema manyumbu ni sawa kabisa
 
Huwa nafurahi sana kuupitia huu uzi

Makamanda yakitiririka ya moyoni kabisa

Lakini yalivyobadilika ha ha ha

Waliosema manyumbu ni sawa kabisa
Hayajitambui kabisa mkuu.....haya maviumbe hai akili vichwa vyao vimelindwa na kinyesi km panzi
 
Duuuh..nani kaufukunyua huu uzi?unawaumbua wengi sana humu jamvini.watu walikiuka viapo vyao sababu ya lowassa..hawaaminiki tena.ni aibu kubwa kwa mtu mwenye akili timamu kushindwa kusimamia kile unachokiamini..ni Slaa na Lipumba tu waliokataa kuwa wanafiki..
 
Wakuu baada ya uchaguzi kupita naona tunarudi ktk huu uzi tukiwa "sober" nasema aliyeleta hii taarifa alikuwa zaidi ya mtabiri, alikuwa informer! Na ninashangaa wanaChadema ambao walishindwa kusimamia misingi na matamko yao. Wakakubali kupelekeshwa na Mbowe na kuzungusha mikono.
 
Wewe unachokifanya hapa ni kuwa blackmail ccm wampitishe LOWASA tu na wala huna lolote. Lowasa hakubaliki UKAWA. Na kwa uroho wake wa madaraka alionao, si ajabu kweli jamaa likahamia chama kingine ili ligombee uraisi. Huu ni wehu.

UKAWA WAKIMSIMAMISHA LOWASA, SISI HATUWAPI KURA. Hatuwezi kupoteza muda wa kupigia kura fisadi lilokubuhu eti kwa kuwa kuna wajinga kadhaa wanalipigia kampeni.

Ninaimani kwa usafi na umakini wa UKAWA, hawawezi kufanya kosa kubwa kama hilo. UKAWA kumsimamisha fisadi lowasa ni kuwasaliti na kuwatukana Watanzania nchi nzima waliosimama macho yao yakiwa UKAWA huku wakiwa wamefungamanisha mikono yao pamoja!.

Na wewe mleta mada usirudie kuwaelekezea UKAWA mifereji ya maji machafu!. Hayo yamalizeni huko huko ccm.
Muwe mnaweka maneno ya akiba angalia sasa unakula matapishi yako.
 
Wakuu baada ya uchaguzi kupita naona tunarudi ktk huu uzi tukiwa "sober" nasema aliyeleta hii taarifa alikuwa zaidi ya mtabiri, alikuwa informer! Na ninashangaa wanaChadema ambao walishindwa kusimamia misingi na matamko yao. Wakakubali kupelekeshwa na Mbowe na kuzungusha mikono.
c2afa9d797960cb585c5c8ca2a6e62d3.jpg
45865b182d67cf84e06380eb35d2bc26.jpg
e41fd78375333de82da0f3f423e85b23.jpg
4dac7282a76e07af068ee4c7e8e3e21b.jpg

Hapo kwenye Trump toa weka Lowassa.
 
Back
Top Bottom