Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Mkuu Mzee Mwanakijiji, nakubaliana na wewe, hata mimi ningependa kuwasikia, kwanza waliosema hili haliezekani, baada ya kuwezekana leo wanasemaje?!. Kuna waliosema hili likitokea watahama, limetokea lakini hadi leo hawajahama, jee bado wanasubiri nini?!, ila pia kuna waliosusa na kuamua kujinyamazia kimya, tungependa kuwasikia leo wanasimama wapi?!.

Pasco
mkuu pasco labda na mwanakijiji ni hivi , hatuwezi kufukua makaburi , hii ndio siasa , hata jk alimsifu sana lowasa enzi zile lakini leo anamponda , na nakuhakikishia kwamba kelele zetu ndio zimesababisha ccm wakamtosa lowasa , hii ni nafuu kubwa sana kwa UKAWA .
 
kwa namna moja au nyingine nafuta kauli zilizo mhusu moja kwa moja mh,lowasa mgombea wa ukawa ,hii ni baada ya kumsikia akitolea ufafanuzi yale niliyokuwa na wasiwasi nayo ,naungana na wana ukawa waliompokea na napongeza uamuzi wao wa kijasiri ,pamoja tunajenga nchi.

ubarikiwe sana .
 
Tumeamua kuungana na maamuzi ya viongozi wetu wa UKAWA kumsapoti Lowasa kama mgombea uraisi kwetu ambalo tuliona haliwezekeni sasa limewezekana kumbe kwenye siasa hakuna urafiki wala uadui wa kudumu lakini bado lengo ni kuitoa ccm madarakani naamini tutafanikiwa huo ndo msimamo wangu
 
mtakufa njaa lowasa amewahonga sh.ngapi mna spidi sana za kumsafisha lakini hata mngemsafisha na omo bado uchafu uko pale pale
Nakubaliana na wewe kamanda wangu.
 
ukiona mtu anamsifu mtu mchafu kama Lowassa ujue yeye ni mchafu zaidi raisi ajaye chaguo la watanzania ni DR Slaa pekee yake hana skendo za wizi kama ccm
Nakabaliana na wewe kamanda wangu.

Teh teh teh
 
hizi komenti ingekuwa insta tungesema throw back Thursday. . (TBT) maana kuna watu wengi wataumbuka..ooh naacha siasa, najiua oohh sijui haiwezekani. Enji vijana hii imeandikwa 2014 na tunayaona leo yanatendeka hebu fungueni akili. Asante uliileta bonge la Throw back Aminia.
 
Na bado kampeni hazijaanza tayari madudu yote yashaanza fichuka, lililosemwa kweli lipo na kama halipo basi linakuja, leo hawa wa ukawa wanasema lowassa ndio anafaa ila kwa hizi comment humu naona kama vile hawajielewi
 
Teh Teh Teh....sitawaangusha, HAKUNA MTANZANIA MWENYE AKILI TIMAMU ATAKAYEMPIGIA KURA MGOMBEA WA CCM,mlivyotuibia mali za umma na kufanya ufisadi wenu huku mkilindana inatosha. KURA YETU NI KWA LOWASSA WA CHADEMA,UKAWA
 
Ccm sio chadema ili mtu awe rais mpaka meja general mtei na bregedia wake mbowe waseme. Hii ni ccm maamuz yake yanafanywa na vikao. Chama cha lowasa ni ccm na atagombea ccm.kama ccm ni yako njiandae kumzuia ukishindwa hama ww au kubali maamuz ya vikao.

haya hebu njoo hapa uone aibu yako.
 
Wewe unachokifanya hapa ni kuwa blackmail ccm wampitishe LOWASA tu na wala huna lolote. Lowasa hakubaliki UKAWA. Na kwa uroho wake wa madaraka alionao, si ajabu kweli jamaa likahamia chama kingine ili ligombee uraisi. Huu ni wehu.

UKAWA WAKIMSIMAMISHA LOWASA, SISI HATUWAPI KURA. Hatuwezi kupoteza muda wa kupigia kura fisadi lilokubuhu eti kwa kuwa kuna wajinga kadhaa wanalipigia kampeni.

Ninaimani kwa usafi na umakini wa UKAWA, hawawezi kufanya kosa kubwa kama hilo. UKAWA kumsimamisha fisadi lowasa ni kuwasaliti na kuwatukana Watanzania nchi nzima waliosimama macho yao yakiwa UKAWA huku wakiwa wamefungamanisha mikono yao pamoja!.

Na wewe mleta mada usirudie kuwaelekezea UKAWA mifereji ya maji machafu!. Hayo yamalizeni huko huko ccm.
Kamanda naona unampa za uso fisadi.

Teh teh teh
 
Jana : mkinipa kura nitaendeleza mazuri aliyoyafanya mh rais.
LEO: nipeni kura mm huyu rais hakuna aluchofanya zaid ya kuuangusha uchumi.maneno hayo yote yanatoka kwenye mdomo wa mtu mmoja.mhh langu jicho.
 
Back
Top Bottom