peri
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,579
- 1,164
SIFA ZA LOWASA
Katika histori ya tanzania,
hajatokea mwanasiasa mtoa rushwa kama lowasa.
Hajawahi kutokea mwanasiasa Aliyeonyesha tamaa kubwa ya urais kama lowasa.
Ametengeneza mtandao mpana wa wapambe ndani na nje ya chama chake kama lowasa.
Anatuhumiwa kugawa rushwa ndani ya chama chake lakini hatasikumoja hajasimama kuikemea rushwa au kukana hizo shutuma.
Anakashfa ya ufisadi wa mabilioni na alijiuzulu lakini mwenyewe hajawai kuuthibitishia umma kwamba hakuhusika.
Anatumia nguvu kubwa kujisafisha wakati angeweza kuanika ukweli hadharani kwa ushahidi kuwa hausiki then watanzania tukamuelewa.
Mwenye kujua sifa nyingine aongezee.
Katika histori ya tanzania,
hajatokea mwanasiasa mtoa rushwa kama lowasa.
Hajawahi kutokea mwanasiasa Aliyeonyesha tamaa kubwa ya urais kama lowasa.
Ametengeneza mtandao mpana wa wapambe ndani na nje ya chama chake kama lowasa.
Anatuhumiwa kugawa rushwa ndani ya chama chake lakini hatasikumoja hajasimama kuikemea rushwa au kukana hizo shutuma.
Anakashfa ya ufisadi wa mabilioni na alijiuzulu lakini mwenyewe hajawai kuuthibitishia umma kwamba hakuhusika.
Anatumia nguvu kubwa kujisafisha wakati angeweza kuanika ukweli hadharani kwa ushahidi kuwa hausiki then watanzania tukamuelewa.
Mwenye kujua sifa nyingine aongezee.