darison andrew
Member
- Apr 5, 2012
- 66
- 9
NO RESERCH NO RIGHT TO SPEAK SO WE SHOULD LOOK THE FACT OF THESE
ata BM,SS,NN,RM Waliokutuma wewe mleta hoja si wasafi ndio hao waliotuma manaibu wazri kwenda kuwaonga vijana wamchague makonda wakafukuzwa na beno et wakadai walienda kusalmia vijana so wameona dodoma ndio sehemu za kusalmia vijana tu? kwa nn wasiwafate majimboni kama si kugawa rushwa..shame on u
NO RESERCH NO RIGHT TO SPEAK SO WE SHOULD LOOK THE FACT OF THESE
![]()
kuna watu wanaojua chanzo cha utajiri wake wanaweza pia kutoa mwelekeo. kama kauza ng'ombe wa kimasai tujuehuo ni ukweli mtupu mkuu.
Sio mdini.
![]()
ni Mmasai aliekulia kwa Wameru kwani baba yake alifundisha Umeruni
Mbali na utajiri wa kurithi kwa taarifa yako pesa nyingi kaipata kwenye uuzaji wa tanzanite,hizo za kuhusishwa na ufisadi ni kidogo sana,hamna kama yeye ndani ya c.c.m nzima
Hicho anchogawa ni kitu gani vile?
inawezekana, ila tujiulize, je hiyo sio njia ya kutafuta uungwajh mkono ktk kulifikia lengo?
mkuu kwa taarifa tu, mimi sio ccm wala siikubali kwani inanuka rushwa na mtowaji mkubwa ni lowasa.
Ungerudi kwenye maja ingekuwa vzr badala ya kuleta ngonjera.
SIFA ZA LOWASA
Katika histori ya tanzania,
hajatokea mwanasiasa mtoa rushwa kama lowasa.
Hajawahi kutokea mwanasiasa Aliyeonyesha tamaa kubwa ya urais kama lowasa.
Ametengeneza mtandao mpana wa wapambe ndani na nje ya chama chake kama lowasa.
Anatuhumiwa kugawa rushwa ndani ya chama chake lakini hatasikumoja hajasimama kuikemea rushwa au kukana hizo shutuma.
Anakashfa ya ufisadi wa mabilioni na alijiuzulu lakini mwenyewe hajawai kuuthibitishia umma kwamba hakuhusika.
Anatumia nguvu kubwa kujisafisha wakati angeweza kuanika ukweli hadharani kwa ushahidi kuwa hausiki then watanzania tukamuelewa.
Mwenye kujua sifa nyingine aongezee.
ukada wako hausaidii kitu,kama unataka kumsafisha wewe toa sababu za kumsafisha kama ni uchafu ananuka na wala simfano wa uongozi bora.Ingependeza kama ungeleta open topic watu wakupe data ili umjue lowasa. ulichokifanya ni kuweka hisia zako kwa kuja na hewa hapa. Acha majungu njoo na data, huna toa huu ukakasi. Ndani ya ccm ni lowasa wa kusaidia, simaanishi mwenye uwezo pekee bali mwenye uwezo wa kupenya na kutusaidia kwa mazingira ya sasa ya ccm if at al ccm takes over again. the truth. Say yes to EL
Maja ndo nini?? Unaandika kama uko kwenu machame kwenye klabu ya gongo??