MJUE Lowasa

MJUE Lowasa

Kila jaamii huongozwa na yule ambae yuko best kwa yale ambayo jamii husika huyafanya...

jamii ya waadilifu huongozwa na muadilifu kuliko wote

jamii ya wezi huongozwa na mwizi kuliko wote

jamaa ya majambazi na watoa rushwa..huongozwa na the best among them.....


The Boss umenena vyema,
tatizo la nchi yetu ni kubwa sana kwasababu ni la kimfumo.


Tunahitaji kiongozi wa aina yake, anaichukizwa na uchafu wa rushwa, uzembe, udini, uzinzi, ulevi na ukosefu wa maadili uliojaa ktk jamii.


Kiongozi msafi kwa matendo yake na asiehusika kwa vyovyote na uchafu huo ili awe na ujasiri wa kuukemea na kupambana nao.
 
Hakuna mtu msafi hata mmoja pamoja na ww mleta maada. Kama tuhuma wengi wantuhumiwa hata dk slaa anatuhumiwa, mbowe mwenyewe anatuhumiwa, hat zitto pia.
 
Ingependeza kama ungeleta open topic watu wakupe data ili umjue lowasa. ulichokifanya ni kuweka hisia zako kwa kuja na hewa hapa. Acha majungu njoo na data, huna toa huu ukakasi. Ndani ya ccm ni lowasa wa kusaidia, simaanishi mwenye uwezo pekee bali mwenye uwezo wa kupenya na kutusaidia kwa mazingira ya sasa ya ccm if at al ccm takes over again. the truth. Say yes to EL

mkuu ingependeza kama wewe ungeleta ushahidi wa kupinga niliyo yaandika.

Mi naamini yote yana ukweli ndiomana Lowasa mwenyewe hajawahi kuyakana.

Kama unaushahidi wa kumtetea uweke hadharani.

KWELI INAPO DHIHIRI, UONGO HUJITENGA.
 
huo ni ukweli mtupu mkuu.
Ukiweka majungu yako pembeni, hebu tuambie lowasa ana utajiri wa kiasi gani? usiishi kwa hisia ndugu, Unakumbwa na dhoruba tu kirahisi, no research(data) no right 2 speak. Juha mmoja akasema lowasa ana nyumba sijui wapi wapi mi nikajiuliza msomi huyu wa zamani aliyeshika madaraka kwa miaka lukuki posho zake hazitoshi kujenga mijengo? iweje kijana amiliki nyumba yeye mzee mzima ashindwe kumiliki mijengo kadhaa! hv wengine wanamiliki nn? acheni majungu, twendeni kwenye merits, hv mzee six angekuwa ndo pm angekubali kujiuzulu?
 
Hakuna mtu msafi hata mmoja pamoja na ww mleta maada. Kama tuhuma wengi wantuhumiwa hata dk slaa anatuhumiwa, mbowe mwenyewe anatuhumiwa, hat zitto pia.

nikweli, ila hakuna mwana siasa anaetuhumiwa kwa kuwa na mtandao mpana wa rushwa kama lowasa na yeye hajawahi kukanusha shutuma hizo wala kuikemea rushwa hadharani.

Ukimya wake unatoa tafsiri gani?

Hana ujasiri wa kutaja namna alivyopata mali zake.


TUNAPASWA KUONGOZWA NA YULE ALIE MSAFI ZAIDI MIONGONI MWETU ILI TUJIFUNZE KWAKE NA AWE NA UJASIRI WA KUTUKOSOA.


KUONGOZA NI KUONYESHA NJIA, UTAONYESHAJE NJIA IKIWA MWENYEWE UMEPOTEA?
 
SIFA ZA LOWASA

Katika histori ya tanzania,
hajatokea mwanasiasa mtoa rushwa kama lowasa.


Hajawahi kutokea mwanasiasa Aliyeonyesha tamaa kubwa ya urais kama lowasa.


Ametengeneza mtandao mpana wa wapambe ndani na nje ya chama chake kama lowasa.


Anatuhumiwa kugawa rushwa ndani ya chama chake lakini hatasikumoja hajasimama kuikemea rushwa au kukana hizo shutuma.


Anakashfa ya ufisadi wa mabilioni na alijiuzulu lakini mwenyewe hajawai kuuthibitishia umma kwamba hakuhusika.


Anatumia nguvu kubwa kujisafisha wakati angeweza kuanika ukweli hadharani kwa ushahidi kuwa hausiki then watanzania tukamuelewa.


Mwenye kujua sifa nyingine aongezee.

Ni rafiki mkubwa wa jmk - prezdaa,,,,,tena hawakukutana barabarani.............
Chezea mwanamume wa shoka weyeeeeeeee!?
 
Ukiweka majungu yako pembeni, hebu tuambie lowasa ana utajiri wa kiasi gani? usiishi kwa hisia ndugu, Unakumbwa na dhoruba tu kirahisi, no research(data) no right 2 speak. Juha mmoja akasema lowasa ana nyumba sijui wapi wapi mi nikajiuliza msomi huyu wa zamani aliyeshika madaraka kwa miaka lukuki posho zake hazitoshi kujenga mijengo? iweje kijana amiliki nyumba yeye mzee mzima ashindwe kumiliki mijengo kadhaa! hv wengine wanamiliki nn? acheni majungu, twendeni kwenye merits, hv mzee six angekuwa ndo pm angekubali kujiuzulu?

mkuu, unachopaswa kuelewa, mimi siko hapa kumpigia debe sita, membe wala mtu yoyote.

Pili, usitake kuchekesha watu, kama hakuwa na makosa, kwanini ajiuzulu?

Kama hana mtandao wa rushwa, kwanini hajawahi kukana wala kuikemea rushwa ktk chaguzi za chama chake?

Mbona suala la ajira kila siku analipigia kelele *na ninamuunga mkono kwa hilo*, iweje kwenye rushwa yuko kimya?

Kiongozi makini hakubali kubeba maovu ya wengine, huko ni kulea uovu.
Kama hakuhusika kwenye richmond angetutajia wahusika ila mpaka leo yupo kimya.

Nyerere alishasema hadharani kuwa lowasa sio msafi, mbona mwenyewe hakukana.
Unategemea jamii imueleweje?
 
mkuu ingependeza kama wewe ungeleta ushahidi wa kupinga niliyo yaandika.

Mi naamini yote yana ukweli ndiomana Lowasa mwenyewe hajawahi kuyakana.

Kama unaushahidi wa kumtetea uweke hadharani.

KWELI INAPO DHIHIRI, UONGO HUJITENGA.

Na ndo maana namkubali sana El, ni jembe wala hakurupuki kujibujibu na ndo maana bado ni threat kwa wengi wenu. daima hutoa jibu kwa swali sahihi, watu wanaropokaropoka bila data wanataka tuwaamini huku tukijua wao wanamiliki nini. Mi nataka mtu anaedeliver sio longolongo tu. Leo tunalia vifaa na walim hamna tunasahau hata majengo hatukuwa nayo, jamaa alipigana na kufanikisha kwa mda mfupi sana, haya wengine wamefanya nn? Kimsingi nitamtetea daima yeyote yule ambae nimuona anaweza kutuvusha next stage. El akisema anatembelea sekta flani kuanzia bosi mpaka mfagizi tumbo joto. Chezea Edward Ngoyai Lowasa wewe! namkubali sana, hili ni jembe
 
Ni mwanasiasa pekee aliyesimamia maamuzi yake bila kujali nini kitamTOkea baadaye. baadhi ni haya:-
1. Utoaji wa maji ziwa victoria kupeleka shinyanga bila kujali vitisho vya mataifa wapinzani.
2. Uanzishaji wa hamasa ya shule za kata ingawa baada ya kuondoka waendelezaji wakashindwa kupeleka vifaa
3. Kunusuru taifa kuingia gizani kwa kuagiza Richmond ipewe kazi ya kuleta mitambo ya umeme ingawa washindani wa kibiashara na siasa walifanya hujma hadi Richmond ikashindwa ku-perform
4. Kueleza wazi wazi tatizo la ajira kwa vijana bila kuogopa kitakachomtokea ndani ya chama
5. Kupinga wazi wazi hoja ya kilimo kwanza. shughuli ambayo inafanyika bila kuwapo na soko la mazao husika
6. Kuzuiya ujenzi katika eneo la wazi bila kujali aliyetoa ruhusa ya ujenzi huo ni rais wa nchi
.
.
.
.
.
.
.
HUO NI USHAHIDI WA WAZI KUWA HAJATOKEA KIONGOZI MWENYE KARISMA KAMA LOWASSA.
 
Ndio mwanasiasa pekee aliyejimwagia unga kichwani nywele nyeupe...........NO RETREAT NO SURENDER,mapambano yanaendelea...lowasa anaumwa uraisi.
 
Sio mdini.

lowasa_monduli_na_waislamu_p1_560_416_c1.jpg

kuna TENDE FEKI zimeingia nchini! Isije zikawa hizi! hawa wenzetu ukiwapa tende na ubwabwa wanakuona wa maana sana.
 
mkuu, unachopaswa kuelewa, mimi siko hapa kumpigia debe sita, membe wala mtu yoyote.

Pili, usitake kuchekesha watu, kama hakuwa na makosa, kwanini ajiuzulu?

Kama hana mtandao wa rushwa, kwanini hajawahi kukana wala kuikemea rushwa ktk chaguzi za chama chake?

Mbona suala la ajira kila siku analipigia kelele *na ninamuunga mkono kwa hilo*, iweje kwenye rushwa yuko kimya?

Kiongozi makini hakubali kubeba maovu ya wengine, huko ni kulea uovu.
Kama hakuhusika kwenye richmond angetutajia wahusika ila mpaka leo yupo kimya.

Nyerere alishasema hadharani kuwa lowasa sio msafi, mbona mwenyewe hakukana.
Unategemea jamii imueleweje?

Kuhusu richmond ile report iko public na hata humu ipo. ipitie tena mkuu ukiwa open minded, Halafu sikiliza speech yake ya kujiuzulu, fuatilia yaliyojiri pale watu walipolazimisha tuamini kawapa sumu, angalia wanavyokula za mbavu saa hizi, je unategemea watataka uamini nini? lazima tope zito apakwe ila aminia he wil go through.
 
ni Mmasai aliekulia kwa Wameru kwani baba yake alifundisha Umeruni

Ni mmeru, baba yake ni mmeru ila hakufanikiwa kumiliki ardhi meru, wakahamia umasaini ndipo baba akafanikiwa kumiliki ardhi kupitia rafiki yake wa kimasai.
Baba yake akaishi vizuri na jamii ya kimasai na kuamua kuchagua ukoo mmoja wapo, ikafanywa mila then baba akapewa jina la kimasai na akawa sehemu ya ukoo huo wa kimasai.(wamasai ni wakarimu, hata wewe kama sio mmasai unaweza kuwa mmasai just kuna mila inafanyika).
 
Ndio mwanasiasa pekee aliyejimwagia unga kichwani nywele nyeupe...........NO RETREAT NO SURENDER,mapambano yanaendelea...lowasa anaumwa uraisi.

huo ugonjwa ndo unaomsumbu, anatumia nguvu ya pesa kuwahadaa watanzania wamuone ni keki kumbe ndani inauozo na haifai hata kuonja.

Watu wanalipwa ghali kumtete na kuanzisha thred za kumsifisha kila kukicha, chezea pesa wewe, lol.
 
Kuwa mmeru si hoja kimila wameru na wamasai wanaruhusiwa kununua au kuuziana ukoo kitu kinachofanyika ni kupeleka idadi ya ng"ombe wanaotakiwa..kikubwa ni kwamba wengi wanaompga vta lowasa hususani ndan ya ccm wanajua nguvu yake na wanajua hata JK jinsi alivyomwngza madarakan kwa kifupi ni mzee wa mikakati na option b hayupo stagnant..pia ni ana maamuzi magumu dat y kipindi chake RC,DC au mkurugenz akskia anakuja eneo lake alkuwa anaona ni bora aende rais kulko PM LOWASA...ni hayo tuu ila bnafs lowasa na slaha naona ni viongoz wenye uwezo wa kuamua na kutenda nchi hii
 
ata BM,SS,NN,RM Waliokutuma wewe mleta hoja si wasafi ndio hao waliotuma manaibu wazri kwenda kuwaonga vijana wamchague makonda wakafukuzwa na beno et wakadai walienda kusalmia vijana so wameona dodoma ndio sehemu za kusalmia vijana tu? kwa nn wasiwafate majimboni kama si kugawa rushwa..shame on u
 
Kuwa mmeru si hoja kimila wameru na wamasai wanaruhusiwa kununua au kuuziana ukoo kitu kinachofanyika ni kupeleka idadi ya ng"ombe wanaotakiwa..kikubwa ni kwamba wengi wanaompga vta lowasa hususani ndan ya ccm wanajua nguvu yake na wanajua hata JK jinsi alivyomwngza madarakan kwa kifupi ni mzee wa mikakati na option b hayupo stagnant..pia ni ana maamuzi magumu dat y kipindi chake RC,DC au mkurugenz akskia anakuja eneo lake alkuwa anaona ni bora aende rais kulko PM LOWASA...ni hayo tuu ila bnafs lowasa na slaha naona ni viongoz wenye uwezo wa kuamua na kutenda nchi hii
hata mimi nimesikia kuwa wameru ni wamasai walioasi zamani sana. kama vile eti waarusha ni wachagga walioasi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom