Mjue Joseph Kabila Kabange rais wa Jamhuri ya watu wa Congo


lisemwalo lipo... nimeiamini hii story. kweli nyuma ya sura za watu kuna maovu ambayo huwezi amini. ni hatari na inasikitisha sana. kweli sikio la kufa halisikii dawa. ilikuwaje L Kabila kumwamini J kabila wakati anajua alimuua baba wa Joe? halafu akataka kumuua na mama yake mzazi! duh lazima dogo asingekubalina the more power he was amassing the likelihood ya kulipiza kifo cha baba yake mzazi. hizi nchi zetu ziko kwenye crises nyingi sana na ni hatari sana kwa kweli
 
ahsante mleta mada hii maana umenifanya kupekenyua mitandao hadi kuupata ukweli. Ni kweli aisee huyu jamaa ni mnyarwanda na ndiye aliyemwua Laurent Kabila na alipandikizwa na kina Paul Kagame
 
jf is abox full of surprises, little did i know abt this......!!!!!!!
 
..katika mazingira hayo Baba ni yule aliyemlea na kumpa matunzo mpaka akawa mtu mzima...Mike Tyson na Shaquelle O'Neal waliwakataa their biological fathers ambao waliwakimbia wakiwa watoto na baadaye kujitokeza wakati wamepata umaarufu...zaidi, kama Joseph anatumia ubini wa Kabila, basi inamaanisha anamtambua Mzee Laurent Kabila kama baba yake mzazi.
''he passed away and i didnt cry,coz my anger,wudnt let me feel for a stranger....They say am wrong and am heartless,but all along i was looking for a father he was gone...''by tupac in dear mama.......Under such circumstances he has a right to call mzee kabila his father...!!!
 
Joseph Kabila sii mtoto wa Mzee Laurent Kabila,hii story nilishaisikia siku nyingi tu kutoka kwa Wakongo wanao ishi hapa bongo,ata ukiangalia kwa sura na kichwa hawafanani na baba yake,Joseph anapua ya kitusi kabisaa hakuna ubushi,na hilo linawezekana kama James Kaberebe aliwezakuwa kuwa Chief of Army Staff wa DRC wakati ni Mnyaruwanda...na kwasasa ndiye mkuu wa Majeshi ya Rwanda.......Ndio maana Kinshasa Kabila hakubaliki kabisa.......
 
Jamani nivyofahamu mimi Mama yake Joseph Kabila anaitwa Sifa (Mama Sifa), ambaye ni mke wa kwanza wa mzee kabila. Joseph kabila ni mtoto wa mzee Kabila aliyezaa na Mama Sifa. Pia mzee Kabila alizaa na Mwanamuziki Tshela Mwana. Joseph Kabila anajulikana R.D.C Kwa jina la Joseph Kabila Kabange sasa jina lilotajwa na mtoa mada mbona halifanani hata moja?

Tusishangae watu kuhoji uraia wa Bwana Joseph Kabila. Ni vizuri tukiwa kama wananchi wafrika tukajifunza kuwa ukweli ni kitu cha maana sana na kila moja anapenda kusikia historia ya kweli ya kiongozi mtukuka kama Rais Joseph Kabila. Angalia historia iliyonyoka ya kiongozi kama Baba wa taifa na viongozi wengi tunaowafahamu. Historia ya Joseph kabila na maisha yake alipokuwa Tanzania iko wapi? Watu wana uhalali wa kutunga historia yake iwe nzuri au mbaya. Kabila amekuwa anajibadilisha majina kufuatana na wakati na kwa manufaa ayajuayo yeye. Kuna sehemu moja muhimu aliitwa Nicola Kabange. Sijui akimaliza uraisi ataitwaje.

Uraisi ni tasisi kubwa yenye kuheshimika, ni vizuri watu wanaoshikilia tasisi hio wakawa wakweli wa maisha yao ya nyuma hata kama ni madikitator.
 
Duh kweli nyani haoni.., inawahusu nini rekebisheni ya kwenu uvundo kibao mpaka mtu akistaafu ndo mnasema sio raia Kinana, Ulimwengu n.k
 
Mkianza kufatilia uraia wa watu sanasana viongozi mtashangaa sana... Unaona hata Obama alilazimishwa ku produce birth certificate...
 
Joseph Kabila jina lake halisi anaitwa Hypolite Christofer Kanambe, raia wa Rwanda, kabila lake mtusi. Babake anaitwa Adrien Christofer Kanambe. Inakuwaje mtu ambaye si raia wa Kongo DRC kuiongoza nchi hiyo kama rais?
Suppose your gosip looks like truth tell us how he came tobe raised by laurent Desire Kabila while he isn't his biological father.
 
Josee ni pure mnyarwanda . Na hakubaliki na wakongoman hata walinzi wake ni mchanganyiko wa watutsi na wabongo.
 
Joseph Kabila Kabange (known commonly as Joseph Kabila, born June 4, 1971) is a Congolese politician who has been President of the Democratic Republic of the Congo since January 2001.

He took office ten days after the assassination of his father, President Laurent-Désiré Kabila. He was elected as President in 2006. In 2011, he was re-elected for a second term.

Biography

Early life and Education

Joseph Kabila Kabange was born on June 4, 1971 at Hewabora, a small village in the Fizi territory of the South Kivu province, in eastern Congo. He is the son of long time rebel, former AFDL leader and president of the Congo Laurent-Désiré Kabila and Sifa Mahanya.

Guerrilla and Army years

Following high school, Joseph Kabila followed a military curriculum in Tanzania, then at Makerere University in Uganda. In October 1996, Laurent-Désiré Kabila launched the campaign in Zaire to oust the Mobutu regime.

Joseph became the commander of the infamous army of "kadogos" (child soldiers) and played a key role in major battles on the road to Kinshasa. The liberation army received logistical and military support from regional armies from Rwanda, Uganda, Angola and Zimbabwe.

Following the AFDL's victory, and Laurent-Désiré Kabila's rise to the presidency, Joseph Kabila went on to get further training at the PLA National Defense University, in Beijing, China.

When he returned from China, Kabila was awarded the rank of Major-General, and appointed Deputy Chief of Staff of the Armed Forces of the Democratic Republic of the Congo, in 1998.

He was later, in 2000, appointed Chief of Staff of the Land Forces, a position he held until the elder President Kabila's assassination in January 2001.

As chief of staff, he was one of the main military leaders in charge of Government troops during the time of the Second Congo War (1998–2003).

Presidency

Joseph Kabila rose to the Presidency on 26 January 2001 after the assassination of Laurent-Désiré Kabila, becoming the world's first head of government born in the 1970s.

He remained the world's youngest head of government until Roosevelt Skerrit became Prime Minister of Dominica in January 2004.

At age 30, he was considered young and inexperienced. He subsequently attempted to end the ongoing civil war by negotiating peace agreements with rebel groups who were backed by Rwanda and Uganda, the same regional armies who brought Laurent-Désiré Kabila's rebel group to power 3 years before.

The 2002 peace agreement signed at the Inter-Congolese Dialogue in Sun City, South Africa, which nominally ended the Second Congo War, maintained Joseph Kabila as President and head of state of the Congo.

An interim administration was set up under him, including the leaders of the country's two main rebel groups as vice-presidents (two other vice-presidents were representatives of the civilian opposition and government supporters respectively)

On March 28, 2003, an apparent coup attempt or mutiny around the capital Kinshasa, allegedly on the part of members of the former guard of former president Mobutu Sese Seko (who had been ousted by Kabila's father in 1997 and died in the same year), failed.

On June 11, 2004, coup plotters led by Major Eric Lenge allegedly attempted to take power and announced on state radio that the transitional government was suspended, but were defeated by loyalist troops.

In December 2005, a partial referendum approved a new constitution, and a presidential election was held on July 30, 2006 (having been delayed from an earlier date in June).[6] The new constitution lowered the minimum age of presidential candidates from 35 to 30; Kabila turned 35 shortly before the election.

In March 2006, he registered as a candidate.[7] Although Kabila registered as an independent, he is the "initiator" of the People's Party for Reconstruction and Democracy (PPRD), which chose him as their candidate to the election.

Although the new constitution stipulates that a debate be held between the two remaining candidates for the presidency, no debates took place and this was declared by many as unconstitutional.

According to widely disputed provisional results announced on August 20, Kabila won 45% of the vote; his main opponent, vice-president and former rebel leader Jean-Pierre Bemba, won 20%.

The irregularities surrounding the elections results prompted [8] a run-off vote between Kabila and Bemba which was held on October 29. On November 15, the electoral commission announced the official results and Kabila was declared the winner, with 58.05% of the vote.

These results were confirmed by the Supreme Court on November 27, 2006, and Kabila was inaugurated on December 6, 2006 as the country's newly elected President. He named Antoine Gizenga, who placed third in the first round of the presidential election (and then backed Kabila in the second round) as prime minister on December 30.

In December 2011, Kabila was re-elected for a second term as president. After the results were announced on 9 December, there was violent unrest in Kinshasa and Mbuji-Mayi, where official tallies showed that a strong majority had voted for the opposition candidate Etienne Tshisekedi.

Official observers from the Carter Center reported that returns from almost 2,000 polling stations in areas where support for Tshisekedi was strong had been lost and not included in the official results. They described the election as lacking credibility.

On 20 December, Kabila was sworn in for a second term, promising to invest in infrastructure and public services. However, Tshisekedi maintained that the result of the election was illegitimate and said that he intended also to "swear himself in" as president.

In January 2012, Catholic Bishops in DR Congo also condemned the elections, complaining of "treachery, lies and terror", and calling on the election commission to correct "serious errors".

Views

In 2006, Kabila responded to evidence of widespread sex crimes committed by the Congolese military by describing the acts as "simply unforgivable". He pointed out that 300 soldiers had been convicted of sex crimes, although he added that this was not enough.

Wedding

On June 1, 2006, after many wedding rumors were fueled by many in top positions in the country, the head of the Presidential Household, Ambassador Theodore Mugalu officially announced the wedding of the President to Olive Lembe di Sita.

The wedding ceremonies took place on June 17, 2006.[17] Kabila and his spouse have a daughter, born in 2001, named Sifa after Kabila's mother.

As President Kabila is Anglican, and Ms Lembe di Sita is Catholic, the wedding ceremonies were ecumenical, and were therefore officiated by both the Catholic Archbishop of Kinshasa, Cardinal Frederic Etsou Bamungwabi, and Pierre Marini Bodho – Presiding Bishop of the Church of Christ in Congo, the umbrella church for most denominations in the Congo, known within the country simply as "The Protestant Church".
 
Joseph Kabila Kabange (known commonly as Joseph Kabila, born June 4, 1971) is a Congolese politician who has been President of the Democratic Republic of the Congo since January 2001.

He took office ten days after the assassination of his father, President Laurent-Désiré Kabila. He was elected as President in 2006. In 2011, he was re-elected for a second term.

Biography

Early life and Education

Joseph Kabila Kabange was born on June 4, 1971 at Hewabora, a small village in the Fizi territory of the South Kivu province, in eastern Congo. He is the son of long time rebel, former AFDL leader and president of the Congo Laurent-Désiré Kabila and Sifa Mahanya.

Guerrilla and Army years

Following high school, Joseph Kabila followed a military curriculum in Tanzania, then at Makerere University in Uganda. ".

Fanya utafiti wako vizuri ili uongeze nyama hapo naona kama hapo kuna mkatiko fulani hivi ambao ni wachache wanajua ni kwa nini panakatwa.
 
Fanya utafiti wako vizuri ili uongeze nyama hapo naona kama hapo kuna mkatiko fulani hivi ambao ni wachache wanajua ni kwa nini panakatwa.

Hehee unahisi hapajatimia maksudi?

Unafikiri nini kinatakiiwa kiiongezwe mkuu? Tusaidiane shekhe wangu!
 
Back
Top Bottom