Mjue Joseph Kabila Kabange rais wa Jamhuri ya watu wa Congo

Jamaa amechukua nchi Mwaka 2001 mpaka leo ukiangalia takwimu za Jeshi la Congo eti ana wana anga 1400 this is ridiculous!!! nchi yote ile Air defence wanakua 1400!!! kwa hiyo ni kweli pale kuna sanaa,,,nadhani suluhu ni kuigawa ile nch maana kweli huyu Kabila ni kibaraka..

Yule hawezi kujiongoza mwenyewe ataongozaje wacongo men? Ni bahati mbaya watu wajinga wajinga wanaendelea kukaa kwenye madaraka. Siamini kabisa he is the right person to lead Congo....kwanini asiwe mjumbe wa amani kwa kuachia ngazi ili tujue moja.
 
Unamaanisha nini hapo kuwa ya kale ni dhahabu mkuu?

Tunapoiangalia Congo ya leo na matatizo yake, tunarudi nyuma kujua wapi mambo yalipoanzia...na huko nyuma historia imejaa mambo muhimu ya kuangalia kwanini baadhi ya mambo yanayotokea leo sio kwa bahati mbaya,...ndio maana nikasema ya kale kumbe bado dhahabu!
 
Namfahamu mkuu, not personally na sio kwa undani sana embu funguka kidogo mkuu tuweke rekodi sahihi.......

Bizima Karaha ni kifupisho cha jina la Kinyarwanda hapo jamaa aliamua kulifupisha ili awachanganye Wacongoman anaitwa Bizimana Karahamiheto. "
Bizima Karaha is a medical doctor and a politician Congo (Congo - Kinshasa). He was Foreign Minister in the government of Laurent-Désiré Kabila of 24 May 1997 to 15 March 1999. Originally Banyamulenge Tutsi and trained as a doctor in South Africa, he joined the Kabila government after helping him to overthrow Mobutu from the power.
Congo U.S. Military and Corporate Recolonization of the Congo
 
Back
Top Bottom