Mjomba tutaua wangapi ndio turidhike?

Mjomba tutaua wangapi ndio turidhike?

Kuna comment yangu humu nimeonesha pia hili lakini huwezi kuacha kumsifu jamaa kwa hatua anazopiga. Fuatilia issue za Tech, entertainment, international conferences, utalii wa nyani tu unaingiza kiasi gani, foreign investments

Hapa Pk kajitahidi, imagine hub ya muziki East Africa ni Tanzania ila Tuzo za MTV zikaenda kufanyikia Rwanda, just imagine
Ila wapwa hawanufaiki....wapo DRC na wanataka kurudi......
Wanaonufaika ni wana ukoo wateule.
 
Okay okay nimekupata mkuu.

Bonge aweke ulinzi imara naona hali ya sasa si shwari kabisa na leo ndio tutaona uhalisia wa wenye nia ovu wakoje japo hili haliwezi kuwa kwa leo pekee ila ujumbe utatumwa.
Kila la kheri mkuu tuko pamoja.
Bonge lubumbashi kamwaga wanajeshi wengi kuliko hata raia jinsi anaogopa
 
Blood thirsty tyrant...mwambie mjomba ako kuna namna haelewi waswahili....tutazama mpaka manta..amuulize mzee buyoya...mjomba ako hajai mkononi...
Command ya tabora itamtosha mjomba...wala hatuwaita vichaa wa monduli...bangi lori mbili...hatutawasumbua mabroo wa morogoro...wala kuwajulisha marafiki wa kigamboni..
Wale machalii wa msata hatuthubutu maana watamvua nguo kama yule raisi wa africa magharibi...mwambie mjomba muda umeisha
Watu wafupi hamumuwezi mjomba ni mafia sana mshaingiziwa king mpaka mawazili wako ndani ya nyumba kulwa
 
Una ushahidi?. Mbona washukiwa wa Prof mwaikusa walikamatwa?. Halafu mtikila alifariki kwa ajali Tena akiwahi interview star tv. Tatizo mnajifanya kujua mambo ya Rwanda wakati ya kwenu humu ndani yanawashinda. Punguzeni unafiki
Kwani kuhusu Prof. Mwaikusa na Rev.Mtikila ni ya kwetu au ya Rwanda? Ni kwavile ya kwetu ndio maana tuna uhakika nayo!!
Kwani hao maharamia hawawezi kustage accident ya gari kufanikisha azma yao?
 
Blood thirsty tyrant...mwambie mjomba ako kuna namna haelewi waswahili....tutazama mpaka manta..amuulize mzee buyoya...mjomba ako hajai mkononi...
Command ya tabora itamtosha mjomba...wala hatuwaita vichaa wa monduli...bangi lori mbili...hatutawasumbua mabroo wa morogoro...wala kuwajulisha marafiki wa kigamboni..
Wale machalii wa msata hatuthubutu maana watamvua nguo kama yule raisi wa africa magharibi...mwambie mjomba muda umeisha
Nahisi siku za mjomba kuishi zimefika mwisho,akifa yatatokea yale ya 1994
 
Back
Top Bottom