Mjomba tutaua wangapi ndio turidhike?

Mjomba tutaua wangapi ndio turidhike?

una uhakika rwanda inakua kiuchumi

si kweli
-rwanda imejengwa kwa uchumi wa wizi wa madini
-Misaada kila mwaka 2B from US bado nchi nyingine
-hivi vyote vikisitishwa basi
Kuna comment yangu humu nimeonesha pia hili lakini huwezi kuacha kumsifu jamaa kwa hatua anazopiga. Fuatilia issue za Tech, entertainment, international conferences, utalii wa nyani tu unaingiza kiasi gani, foreign investments

Hapa Pk kajitahidi, imagine hub ya muziki East Africa ni Tanzania ila Tuzo za MTV zikaenda kufanyikia Rwanda, just imagine
 
Pk akubali kushaurika, aache roho ya kisasi na atengeneze succession plan ya kueleweka ila akiendelea kutumia mkono wa chuma kwa kutawala kwa hofu
Uko sahihi, itasikitisha sana hatua hii yote waliyopiga Rwanda kimandelea zikarudi sifuri.

PK ana nafasi ya kurekebisha hali iliyopo, na kutengeneza mfumo wa watu wengine kuingia bila kuleta machafuko.
 
Kuna comment yangu humu nimeonesha pia hili lakini huwezi kuacha kumsifu jamaa kwa hatua anazopiga. Fuatilia issue za Tech, entertainment, international conferences, utalii wa nyani tu unaingiza kiasi gani, foreign investments

Hapa Pk kajitahidi, imagine hub ya muziki East Africa ni Tanzania ila Tuzo za MTV zikaenda kufanyikia Rwanda, just imagine
Anajitahidi kuiaminisha dunia kuwa kwake papo sawa.....
Lakini sivyo.
Rwanda kuwa potrayed positively ina uhusiano wa moja kwa moja na wanachokifanya pale Congo.
 
Back
Top Bottom