Mjomba tutaua wangapi ndio turidhike?

Mjomba tutaua wangapi ndio turidhike?

Mkuu uhuru upi.......wa mjomba kujitawaza mfalme na kuwawinda watu wafupi wasichukue madaraka...
Anyway sishangai......hata Babu yetu.....aliwaambia wabelgiji kua hii nchi ni ya watu warefu.
Mbona unaongea kiuoga jirani?????
Unamuogopa BANGUBANGU???

Unakosea Sana unaposema anawinda watu wafupi. Hivi Kayumba nyamwasa, Patrick Kalegeya, Tom Byabagamba, Kizito, Diane Rwigara etc ni wafupi?. Nadhani kwa Sasa tuondoe notion ya urefu na ufupi.
 
Nadhani wanajipanga kwa mikakati....
Iliwachukua miaka mingi kwa akina Fred kujipanga na kurudi Rwanda na RPF yao......!!!
Unadhani wanaogopa ...ila ni masuala ya timing.
Watarudi tu kupigana nao wachukue madaraka.....akili za wanyarwanda nazijua......mpaka leo wanaishi kwa visasi

Ok, nawatakia kila heri kwenye mipango yao. Ila wajitahidi Sana maana huwa hatuaonji sumu kwa kuilamba.
 
MKUU UNAONA AKILI ZA WAPWA ZANGU UKIWAMO WEWE. ....KWAMBA KIPINDI CHA ABBY RWANDA HAIKUA KWA WANYARWANDA...ILA KIPINDI CHA KAGAME NDIO RWANDA IMERUDI KWA WANYARWANDA.
NB: MINDEST ZA WATUSI NA RPF🤣🤣🤣

Sidhani Kama unaongea ukweli. Jeshi la RPF lilikuwa na wahutu wengi ingawa kwa idadi watutsi walikiwa wengi. Usisahau Rais wa Kwanza wa Rwanda mpya alikuwa mhutu wa RPF. Ndio maana nashauri tusirudie huko nyuma, ambako akina Habrarimana na wenzake walitufikisha kwa kuona wahutu ndio wenye haki miliki na Rwanda.
 
Waache wajidanganye..wao waliwezaje wenzao washindwe ?

Mazingira Sasa hivi yamebadilika Sana Sasa hivi. Watu wanajenga nchi, mambo ya msituni hawayataki kwa Sasa. Lakini hao madogo wanayo nafasi ya kujaribu bahati yao. Ila kwa ushauri tu, sumu haionjwi kwa kulambwa, ni ushauri tu. Waje tuijenge Rwanda yetu nzuri.
 
Unakosea Sana unaposema anawinda watu wafupi. Hivi Kayumba nyamwasa, Patrick Kalegeya, Tom Byabagamba, Kizito, Diane Rwigara etc ni wafupi?. Nadhani kwa Sasa tuondoe notion ya urefu na ufupi.
Mkuu hao ni asilimia chache sana na wapo main stream....je underground unawajua???
Walikufa wangapi
 
Mazingira Sasa hivi yamebadilika Sana Sasa hivi. Watu wanajenga nchi, mambo ya msituni hawayataki kwa Sasa. Lakini hao madogo wanayo nafasi ya kujaribu bahati yao. Ila kwa ushauri tu, sumu haionjwi kwa kulambwa, ni ushauri tu. Waje tuijenge Rwanda yetu nzuri.
Sio wapwa zangu...Wanapenda vita
 
Mazingira Sasa hivi yamebadilika Sana Sasa hivi. Watu wanajenga nchi, mambo ya msituni hawayataki kwa Sasa. Lakini hao madogo wanayo nafasi ya kujaribu bahati yao. Ila kwa ushauri tu, sumu haionjwi kwa kulambwa, ni ushauri tu. Waje tuijenge Rwanda yetu nzuri.
Mkuu wale watoto watarudi tu ..ni vile hapa kati kdg script haikwenda vzr ungesikia ila kwakua nia ipo ,sababu ipo ..watarudi tu kwao .muwapokee
 
Mjomba anadhani atatawala milele amesahau umri unaenda atawaachaje vijukuu vyake watoto wake wataishije!? Juzi nasikia amezidi kujiimarisha kijeshi kwa kuunda kikosi maalumu cha special ops yote hiyo kuwatisha wakosoaji wake..mjomba nna mengi ya kukuandikia kwa Leo naishia hapa..
 
Back
Top Bottom