Mjomba tutaua wangapi ndio turidhike?

Mjomba tutaua wangapi ndio turidhike?

Pk kajitengenezea maadui kila kona,cha kusikitisha hadi watutsi wenzake anawaandama pia,it seems siku zake aziko mbali,nakumbuka hapa TZ kabla ya utawala wa magu kuna mnyarwanda aliniambia uhuru wa rwanda utatokea TZ,ila alipoingia magu mambo yakabadilika,fdrl alipoingia magu tu wakawa wadogo mno
Ni kweli laiti angekua rais ni Membe , PK saa hz ama yuko the Hague au uhamishoni
 
Profesa alikuwa gwiji na Mentor Mkuu wa kumshauri Bw. Mchungaji "Mtanganyika" ambaye alikuwa haitambui Zanzibar. Mchungaji "Mtanganyika" aliwachachafya sana "wakubwa/wazee wa kaya" na makesi yake mengi mengi ya miaka nenda rudi. "Wazee wa Kaya" walikuwa wanaragazwa vibaya sana na Mchungaji " Mtanganyika" kutokana na usaidizi mkubwa aliokuwa akiupata kutoka kwa Profesa. "Wazee wa Kaya" walipoona wanadhalilishwa sana mara kwa mara kwa kugaragazwa na Mchungaji "Mtanganyika" hususani kwenye like suala lake aliloshikia bango zaidi la Katiba mpya na Mgombea binafsi, basi "Wazee wa Kaya" wakaona isiwe tabu, afadhali wawaondoe watu hawa wote wawili pamoja na wengineo ambao walikuwepo kwenye huo umoja umoja wao ili kupunguza kero ya wao kudhalilishwa na kugaragazwa mara kwa mara.
Kumbuka kuwa Prof. Mwaikusa ndio alikuwa wakili wa wale washitakiwa wa kesi za mauaji ya Rwanda!
Mtikila alikuwa anamshutumu sana Kagame kuhusu mpango wao wa “ Bahima Empire “ na jinsi anavyowaangamiza wapinzani wake!
PK masterminded these assasinations!
 
Mjomba wale askari 600 waliokufa Kisangani kwa mahesabu yako mabovu ya kupigana na waganda....wazazi wao wanatulaumu...
Wale watu tuliowaua kwa kulipiza kisasi...na watoto wao sasa wanataka kulipiza kisasi.
Mjomba kila mtu anakuchukia ila tunakuchekea kinafiki sababu wewe ndio mkuu wa ukoo kwa sasa.
Tumeua wangapi mpaka sasa,,,,,????
Kuanzia ndani ya ukoo mpaka nje ya ukoo.???
Mjomba najua unajiita baba wa ukoo ila unadhani wewe ni bora kuliko alivyokua mjomba Fred???
Unadhani wewe ni bora kuliko Babu Dia Wamba???
Lengo lilikua kuwaondoa watu wafupi nyumbani.....maana waliua wana ukoo na walifanya mabaya mengi kwa miaka 45.
Lakini mbona baada ya kukupa uongozi wa ukoo na wewe umekua muuaji..???
Mjomba hupendi kuambiwa ukweli.
Mjomba umejigeuza mfalme wa ukoo..
Mjomba si wewe ndio ulipanga mpango wa kumuua mjomba Abby???
Afu ulitutenga wanao ambao wazazi wetu walikua mchanganyiko wa wana ukoo warefu na wafupi..
Unasema umoja wa kitaifa...lakini mbona unawatenga watu wafupi???
Mjomba sasa unavuka mipaka na kutaka kuwapangia majirani zetu waswahili na cha kufanya....
Mjomba wewe si ndio ulimsaliti babu Kaguta afu unatuambia uongo.
Mjomba ukichokoza vita sisi tutakususa kama tulivyomsusa anko Ntaganda....
Hao waswahili ukiwachokoza watakuja hadi kwenye boma na sisi tutakutekeleza.
Mjomba mpaka sasa kwenye rekodi kwa mkono wako au kwa maagizo umeua watu milioni 9 na bado huchoki...
Kwa kifupi mjomba wewe hauna tofauti na anko Abby na nyote ni wauaji tu.
Tumechoka kuua mjomba...sababu hata tukiua hatutowamaliza watu wafupi...
Afu kwani watu wafupi na warefu hatuwezi kuishi pamoja kwa amani???
Wewe kila siku unatuambia kila mtu mbaya...
Waswahili wabaya.
Warundi wabaya.
Wakongo wabaya.
Watu wafupi wabaya.
Sasa familia imechafuka na watu kwenye ukoo wanataka kukuua mjomba...ndio maana umetununia wana ukoo.
Mjomba watoto wako wanakula bata wakati sisi wapwa zako hatupati fursa.
Unadhani tutakenua meno???
Na sisi tunataka keki ya taifa.
Kwa taarifa yako mjomba tutakususia ukoo tuone kama utaenda frontline mwenyewe.
Wewe mtu gani unapenda kuua wanaukoo kila siku.
Sasa tukubaliane hv...na siku wewe wakikuuua usilalamike...sawa.
Mjomba gani ushauriki.....na ndio maana shangazi anakunyimaga unyumba afu unampiga makofi.....
Mjomba..
Sisi sio vitendea kazi vyako tuelewane.
Sisi sio ngombe wa nyama...unajichinjia mda wowote unaojisikia.
Sisi sio wajinga tumeshakushitukia.
Kama hautaki kikao cha ukoo tuchague mkuu wa ukoo mwingine,,bas njia ileile uliyoingia ndio utakayotokea...
Afu kua na aibu mjomba.....wamekufanyia oparesheni ya tezi dume....kapumzike tuachie uongozi wa ukoo..
Mjomba tumeshaua wanaukoo wengi sana na tumechoka hatutaki kuendelea kumwaga damu kwa niaba yako.
Watu wafupi na wenyewe wana haki ya kuishi....
Sasa tutakususia ukoo ubaki wewe na watoto wako tuone.
Mjomba mpaka mgambo wa ukoo unawaua kisa wamesahau kukupigia saluti...
Rekodi zetu watu milioni tisa na laki nane wameshakufa tokea 1992 na je tuendelee kuua???
Hapana mjomba huko tunakoelekea tutakususa ubaki peke yako....kama tulivyomsusa mjomba Abby...
Babu Kaguta yeye mwenyewe majirani washaanza kumsusa na sisi tunatazama tu......
Tutaua watu wangapi mjomba???
Tutafunga watu wangapi???
Vizazi vya wapwa zako vitaishije wewe ukiondoka??
Mjomba na wewe unamuiga Edorgan mpiga konyagi????
Sisi tumechoka mjomba....
Safari hii dirty work utafanya mwenyewe...
Mpwa wako nipo nimetulia na najua siwezi kuja kwenye ukoo sababu umeninunia kisa nakuambia ukweli..
Ila kumbuka damu nzito kuliko maji ndio maana nakuambia ukweli.
Pamoja na yote mjomba tusichukiane......sisi watoto tuna tabia ya kuropoka na mjomba mama.

Punguza propaganda. Watu milioni 9 unawajua?. Mmekalia uongo tu. Nendeni Rwanda mkapate ukweli wa mambo. Sio kujificha na kutunga uongo
 
Kumbuka kuwa Prof. Mwaikusa ndio alikuwa wakili wa wale washitakiwa wa kesi za mauaji ya Rwanda!
Mtikila alikuwa anamshutumu sana Kagame kuhusu mpango wao wa “ Bahima Empire “ na jinsi anavyowaangamiza wapinzani wake!
PK masterminded these assasinations!

Una ushahidi?. Mbona washukiwa wa Prof mwaikusa walikamatwa?. Halafu mtikila alifariki kwa ajali Tena akiwahi interview star tv. Tatizo mnajifanya kujua mambo ya Rwanda wakati ya kwenu humu ndani yanawashinda. Punguzeni unafiki
 
Punguza propaganda. Watu milioni 9 unawajua?. Mmekalia uongo tu. Nendeni Rwanda mkapate ukweli wa mambo. Sio kujificha na kutunga uongo
Sawa mkuu tuna propaganda......🤣🤣🤣 tukapate ukweli kutoka kwa nani sasa mkuu?????
RPA au FDLR au kwa wananchi wa kawaida????
Tusaidie mkuu
 
Una ushahidi?. Mbona washukiwa wa Prof mwaikusa walikamatwa?. Halafu mtikila alifariki kwa ajali Tena akiwahi interview star tv. Tatizo mnajifanya kujua mambo ya Rwanda wakati ya kwenu humu ndani yanawashinda. Punguzeni unafiki
Mkuu mm nilimwandikia tu mjomba barua......wana ukoo tunajuana kwa vilemba....usiwafokee wachangiaji
 
Una ushahidi?. Mbona washukiwa wa Prof mwaikusa walikamatwa?. Halafu mtikila alifariki kwa ajali Tena akiwahi interview star tv. Tatizo mnajifanya kujua mambo ya Rwanda wakati ya kwenu humu ndani yanawashinda. Punguzeni unafiki

Kuwa na wauaji kwetu, hakumzuii mtu kucoment. Inasemekana Mwendazake alikula vichwa vya kutosha; tulimsema na bado tunaendelea kuonyesha chuki zetu kwake.
Sina hakika kama kuna Rais yoyote ndani ya EAC ambaye mikono yake haina damu ya binadamu; either directly or indirectly
 
Blood thirsty tyrant...mwambie mjomba ako kuna namna haelewi waswahili....tutazama mpaka manta..amuulize mzee buyoya...mjomba ako hajai mkononi...
Command ya tabora itamtosha mjomba...wala hatuwaita vichaa wa monduli...bangi lori mbili...hatutawasumbua mabroo wa morogoro...wala kuwajulisha marafiki wa kigamboni..
Wale machalii wa msata hatuthubutu maana watamvua nguo kama yule raisi wa africa magharibi...mwambie mjomba muda umeisha

Wewe unadhani vita ni play station. Halafu waende wakapigane na Rwanda kwa lipi?. Mpaka Leo mnalia vita ya Uganda ndio iliua uchumi, halafu unajidai kutaja vita nyingine. Ukiulizwa vita vya Nini na Rwanda huna jibu.
 
Pk kajitengenezea maadui kila kona,cha kusikitisha hadi watutsi wenzake anawaandama pia,it seems siku zake aziko mbali,nakumbuka hapa TZ kabla ya utawala wa magu kuna mnyarwanda aliniambia uhuru wa rwanda utatokea TZ,ila alipoingia magu mambo yakabadilika,fdrl alipoingia magu tu wakawa wadogo mno
Tatizo la mjomba...kila mtu ni intarehamwe hata kama amezaliwa mwaka 2000 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom