Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,238
- 90,415
Jw wanarudi kuleIla paka akae kimachale sana,bonge mpango wa kuyafukuza majeshi ya eac na kuyapeleka ya sadc,si mpango rafiki kwa paka na vijana wake wa m23
Jw wanarudi kuleIla paka akae kimachale sana,bonge mpango wa kuyafukuza majeshi ya eac na kuyapeleka ya sadc,si mpango rafiki kwa paka na vijana wake wa m23
Tatizo mjomba mkabila.....na hashauriki katika mapungufu yake....Yeye mungu mtuBinafsi napenda aina ya uongozi wa anko wako...
Afrika ukiwa kiongozi ili ufanikiwe kumuokoa mwananchi wa chini kabisa, kuna kima hupaswi kuwasikiliza...
Afrika ina wajinga wengi sana, hawa huelewa dhima nzuri ya kiongozi baada ya miaka kadhaa...
Hata Tanzania tunahitaji mtu aina ya Kagame.
Hii iko wazi kabisaFuture ya rwanda ni onother genocide,unadhani pk atakua rais wa rwanda milele,ameshindwa kuwaunganisha wanyarwanda kuwa kitu kimoja na mbaya zaidi amejijengea maadaui hata ndani ya kabila lake
Hapana hawakua washikaji......kabisaAnko tolu
DuuuhKwa hiyoo mjomba ako atuchokoza sie waswahili wa uswahilini.....mwambie kabisaa japo wenyewe tunavurugana humu ndani mwetu ila anakoka moto ambao hana kazi nao...basi atauota mpaka uisheee
Msalimie🤣🤣Mjomba ancle wake mwingine tupo nae hapa Ilindi Kahama njia ya kwenda mwime analalamika kweli yaani
DuuuhHumu ndani ya Jf wapo watu wa aina na makundi mbalimbali humu, baadhi ya makundi ya watu wamefungua ID fake humu kimkakati ili kutekeleza kazi zao maalumu. "Watu wa Dawati la Propaganda" wapo wengi sana humu Jf na kwenye mitandao mingine ya kijamii huku wakieneza Propaganda zao pamoja na kuendesha Operesheni zao huku mitandani.
Wataniweza wapi.....mm mtoto wa kkoo 🤣🤣🤣🤣 na machale kama MALI YA MUNGU WA KAMPALA 1970,S"....na siku wewe wakikuua usilalamike....."
![]()
TrueTanzania imeizidi karibia kila kitu Rwanda.
Barua kwa mjombaNi kweli kama huyo wa ijumaa aliedakwa na familia yake hapapa,nimesikitika sana!katuchafua wakati sisi waswahili ndio tulimlea na kumuingiza hapo alipo!
Kwanini anatudhalilisha aiseh!!?
LIe
Daah wakongo wanauliwa kama swala na wapwa zangufuture gan we mpuuziii una amini hizo propaganda za west!!
hiyo ni exchange ya kupromote kwene media kwa kazi chafu ambayo rwanda inawafanyia kongo
Duuhuna uhakika rwanda inakua kiuchumi
si kweli
-rwanda imejengwa kwa uchumi wa wizi wa madini
-Misaada kila mwaka 2B from US bado nchi nyingine
-hivi vyote vikisitishwa basi
Sawa mkuuHajui alisemalo huyo,muambie siku akivuka rusumo akifika kicukiro tu pale aanze kutaja maovu ya pk kama hajaenda kufia gitarama
DuuuhIla kwa mjadala huu nina mashaka kuna kitu kinaenda kutokea hapo kwa mjomba paka kabla ya July 2024. Kuna jambo lipo chinichini
Wasalimie chigali mkuuSema nasisi tumezidi, mtu anakaaje madarakani zaidi ya miaka 20 anaangaliwa tu. Ni kama Nchi nzima inawanawake watupu.
DuuMjomba Slim anahitaji sala ya toba kwa kweli
Punguza hasira, inawezekana tatizo ni wewe unachukia maandiko marefu, bandiko lipo loud and clear.Waandishi wa humu walio wengi hawajielewi. Wanaleta makala zao as if bado tupo miaka ya 90😂😂😂😂😂😂
Kama una wazo zuri lidogodeshe kama akili unazo ukishindwa kusummury idea yako utasoma wewe na familia yako.
Pumbavu nyie😂😂😂😂😂😂
Andiko reeeeeefuuuuuu!!!!
Future ya vijana wa kitusiRwanda ni kama mole kwenye great lake region.. Ni kama gateway ya baadhi ya mataifa makubwa katika kuvuna kila wanachokitaka
Kwa hiyo hii inaifanya Rwanda kuwa na maadui wa ndani na nje ya nchi walio very strong. Pk ni kiongozi naemkubali sana hasa katika kufanya lobbying na kutengeneza future ya vijana wa Rwanda.
Ila kwenye kutengeneza umoja na stability ya Wanyarwanda ili kuzuia zile series za genocides, naona hapo kafeli kiasi ndio maana Rwanda bado ina ulemavu ule ule alioukuta wakati anachukua nchi na bila huu ulemavu kuisha, sioni Rwanda ikitulia
Paroko huyo🤣🤣🤣Punguza hasira, inawezekana tatizo ni wewe unachukia maandiko marefu, bandiko lipo loud and clear.
Kapendezesha jiji la Kigali tu. Kongole kwakeLakini all in all mjomba kapendezesha nchi yake balaaa