econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 22,138
- 32,715
Mkuu,,,wewe huwajui wajomba zangu wa PPF na chinja chinja yao dhidi ya wapinzani wao ndani ya Rwanda na DRC since 1991 up to now!!
Ok, nimekuelewa. Kumbe unajumlIsha na DRC. Hapo inabidi kupiga mahesabu makali Sana. Maana vita vya DRC vimeanza zamani Sana, hata RPF wamevikuta.