Mjomba tutaua wangapi ndio turidhike?

Duuu
 
Tuijenge rwanda vizuri ila wahutu wasiwe watawala milele.
NB:TUTSI MINDSET
 
Sasa mjomba nae anatufikisha kwa kuona watusi ndio wenye haki ya kutawala pekee
 
Mjomba Slim anahitaji sala ya toba kwa kweli
 
Rwanda ni kama mole kwenye great lake region.. Ni kama gateway ya baadhi ya mataifa makubwa katika kuvuna kila wanachokitaka

Kwa hiyo hii inaifanya Rwanda kuwa na maadui wa ndani na nje ya nchi walio very strong. Pk ni kiongozi naemkubali sana hasa katika kufanya lobbying na kutengeneza future ya vijana wa Rwanda.

Ila kwenye kutengeneza umoja na stability ya Wanyarwanda ili kuzuia zile series za genocides, naona hapo kafeli kiasi ndio maana Rwanda bado ina ulemavu ule ule alioukuta wakati anachukua nchi na bila huu ulemavu kuisha, sioni Rwanda ikitulia
 
Binafsi napenda aina ya uongozi wa anko wako...

Afrika ukiwa kiongozi ili ufanikiwe kumuokoa mwananchi wa chini kabisa, kuna kima hupaswi kuwasikiliza...

Afrika ina wajinga wengi sana, hawa huelewa dhima nzuri ya kiongozi baada ya miaka kadhaa...

Hata Tanzania tunahitaji mtu aina ya Kagame.
 
Do you know the Devil's Advocacy Theory?
Hiyo ya sijui alikuwa Wakili wa Washtakiwa wa Mauaji ya Kimbari ya Rwanda just it was a Spinning Propaganda that spreaded by the Pepertrators themselves in order to cover the real cause of the incident.
 
Kwa hiyo lile la mchungaji ni lilikuwa la watu wa humu humu kwetu na si wa jirani kama ilivyokuwa ikisemwa na ata baadhi ya nyuzi humu?
Humu ndani ya Jf wapo watu wa aina na makundi mbalimbali humu, baadhi ya makundi ya watu wamefungua ID fake humu kimkakati ili kutekeleza kazi zao maalumu. "Watu wa Dawati la Propaganda" wapo wengi sana humu Jf na kwenye mitandao mingine ya kijamii huku wakieneza Propaganda zao pamoja na kuendesha Operesheni zao huku mitandani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…