Mjomba tutaua wangapi ndio turidhike?

Mjomba tutaua wangapi ndio turidhike?

Sawa mkuu tuna propaganda......🤣🤣🤣 tukapate ukweli kutoka kwa nani sasa mkuu?????
RPA au FDLR au kwa wananchi wa kawaida????
Tusaidie mkuu

Mkuu, ndio maana nimekupa mwaliko uje Rwanda upate ukweli. Shida ipo wapi?. Kwa Sasa Rwanda inasogea mbele haitaki mambo ya mrefu na mfupi ilishayafuta zamani. Ila nyie wa nje mnalazimisha yawepo. Warwanda hawataki kurudi walipotoka huko nyuma. Muwaonee huruma basi.
 
Kuwa na wauaji kwetu, hakumzuii mtu kucoment. Inasemekana Mwendazake alikula vichwa vya kutosha; tulimsema na bado tunaendelea kuonyesha chuki zetu kwake.
Sina hakika kama kuna Rais yoyote ndani ya EAC ambaye mikono yake haina damu ya binadamu; either directly or indirectly

Umeongea fact siwezi kukubishia.
 
Paka ni mtu hatari sana.Lakini hii ni hulka ya viongozi wengi wa bara hili la kiza.Mikono Yao imejaa damu na njia zao ni mauti tu.

Rwanda ni taifa ambalo limegawanyika katika mifumo ya kitaba,kiasi kwamba ni watu wasioaminiana hata kidogo na mioyo Yao imejaa visasi.
Fact
 
Mjomba wale askari 600 waliokufa Kisangani kwa mahesabu yako mabovu ya kupigana na waganda....wazazi wao wanatulaumu...
Wale watu tuliowaua kwa kulipiza kisasi...na watoto wao sasa wanataka kulipiza kisasi.
Mjomba kila mtu anakuchukia ila tunakuchekea kinafiki sababu wewe ndio mkuu wa ukoo kwa sasa.
Tumeua wangapi mpaka sasa,,,,,????
Kuanzia ndani ya ukoo mpaka nje ya ukoo.???
Mjomba najua unajiita baba wa ukoo ila unadhani wewe ni bora kuliko alivyokua mjomba Fred???
Unadhani wewe ni bora kuliko Babu Dia Wamba???
Lengo lilikua kuwaondoa watu wafupi nyumbani.....maana waliua wana ukoo na walifanya mabaya mengi kwa miaka 45.
Lakini mbona baada ya kukupa uongozi wa ukoo na wewe umekua muuaji..???
Mjomba hupendi kuambiwa ukweli.
Mjomba umejigeuza mfalme wa ukoo..
Mjomba si wewe ndio ulipanga mpango wa kumuua mjomba Abby???
Afu ulitutenga wanao ambao wazazi wetu walikua mchanganyiko wa wana ukoo warefu na wafupi..
Unasema umoja wa kitaifa...lakini mbona unawatenga watu wafupi???
Mjomba sasa unavuka mipaka na kutaka kuwapangia majirani zetu waswahili na cha kufanya....
Mjomba wewe si ndio ulimsaliti babu Kaguta afu unatuambia uongo.
Mjomba ukichokoza vita sisi tutakususa kama tulivyomsusa anko Ntaganda....
Hao waswahili ukiwachokoza watakuja hadi kwenye boma na sisi tutakutekeleza.
Mjomba mpaka sasa kwenye rekodi kwa mkono wako au kwa maagizo umeua watu milioni 9 na bado huchoki...
Kwa kifupi mjomba wewe hauna tofauti na anko Abby na nyote ni wauaji tu.
Tumechoka kuua mjomba...sababu hata tukiua hatutowamaliza watu wafupi...
Afu kwani watu wafupi na warefu hatuwezi kuishi pamoja kwa amani???
Wewe kila siku unatuambia kila mtu mbaya...
Waswahili wabaya.
Warundi wabaya.
Wakongo wabaya.
Watu wafupi wabaya.
Sasa familia imechafuka na watu kwenye ukoo wanataka kukuua mjomba...ndio maana umetununia wana ukoo.
Mjomba watoto wako wanakula bata wakati sisi wapwa zako hatupati fursa.
Unadhani tutakenua meno???
Na sisi tunataka keki ya taifa.
Kwa taarifa yako mjomba tutakususia ukoo tuone kama utaenda frontline mwenyewe.
Wewe mtu gani unapenda kuua wanaukoo kila siku.
Sasa tukubaliane hv...na siku wewe wakikuuua usilalamike...sawa.
Mjomba gani ushauriki.....na ndio maana shangazi anakunyimaga unyumba afu unampiga makofi.....
Mjomba..
Sisi sio vitendea kazi vyako tuelewane.
Sisi sio ngombe wa nyama...unajichinjia mda wowote unaojisikia.
Sisi sio wajinga tumeshakushitukia.
Kama hautaki kikao cha ukoo tuchague mkuu wa ukoo mwingine,,bas njia ileile uliyoingia ndio utakayotokea...
Afu kua na aibu mjomba.....wamekufanyia oparesheni ya tezi dume....kapumzike tuachie uongozi wa ukoo..
Mjomba tumeshaua wanaukoo wengi sana na tumechoka hatutaki kuendelea kumwaga damu kwa niaba yako.
Watu wafupi na wenyewe wana haki ya kuishi....
Sasa tutakususia ukoo ubaki wewe na watoto wako tuone.
Mjomba mpaka mgambo wa ukoo unawaua kisa wamesahau kukupigia saluti...
Rekodi zetu watu milioni tisa na laki nane wameshakufa tokea 1992 na je tuendelee kuua???
Hapana mjomba huko tunakoelekea tutakususa ubaki peke yako....kama tulivyomsusa mjomba Abby...
Babu Kaguta yeye mwenyewe majirani washaanza kumsusa na sisi tunatazama tu......
Tutaua watu wangapi mjomba???
Tutafunga watu wangapi???
Vizazi vya wapwa zako vitaishije wewe ukiondoka??
Mjomba na wewe unamuiga Edorgan mpiga konyagi????
Sisi tumechoka mjomba....
Safari hii dirty work utafanya mwenyewe...
Mpwa wako nipo nimetulia na najua siwezi kuja kwenye ukoo sababu umeninunia kisa nakuambia ukweli..
Ila kumbuka damu nzito kuliko maji ndio maana nakuambia ukweli.
Pamoja na yote mjomba tusichukiane......sisi watoto tuna tabia ya kuropoka na mjomba mama.
Kagame huyu ama
 
Nani kawazuia wasirudi?. Warudi tu, mbona Rwanda tupo vizuri. Ukiona mtu anapewa fursa ya kurudi na hataki, huyo ni adui wa Rwanda.
Mwaka 1986 Junevanail aliwaambia wanyarwanda hakuna kurudi...Rwanda kumejaaa......kaeni huko huko Uganda....wakati akihutubia bunge.
Na hii kauli ilimtoa machozi komredi Fred...
Usiwe na shaka.......watarudi tu kwa njia ile ile aliyorudi nayo mjomba wetu mwaka 1992!!!Baada ya kukaa ughaibuni miaka 30
Hawa madogo waliozaliwa ughaibuni hawawezi kukakaa ukimbizini miaka 30 ipo siku watarudi tu...kwa style ile ile ya wazazi wao walipofukuzwa...!!
Mambo ya kutesa kwa zamu...!!!
Mjomba kila mtu intarehamwe hata madogo waliozaliwa 1994 kuja juu...!!
 
Mwaka 1986 Junevanail aliwaambia wanyarwanda hakuna kurudi...Rwanda kumejaaa......kaeni huko huko Uganda....wakati akihutubia bunge.
Na hii kauli ilimtoa machozi komredi Fred...
Usiwe na shaka.......watarudi tu kwa njia ile ile aliyorudi nayo mjomba wetu mwaka 1992!!!Baada ya kukaa ughaibuni miaka 30
Hawa madogo waliozaliwa ughaibuni hawawezi kukakaa ukimbizini miaka 30 ipo siku watarudi tu...kwa style ile ile ya wazazi wao walipofukuzwa...!!
Mambo ya kutesa kwa zamu...!!!
Mjomba kila mtu intarehamwe hata madogo waliozaliwa 1994 kuja juu...!!
Hili hata mm sina shaka nalo kwa wale watoto wa 1994 kurudi nyumbani, ni muda tu
 
Pk kajitengenezea maadui kila kona,cha kusikitisha hadi watutsi wenzake anawaandama pia,it seems siku zake aziko mbali,nakumbuka hapa TZ kabla ya utawala wa magu kuna mnyarwanda aliniambia uhuru wa rwanda utatokea TZ,ila alipoingia magu mambo yakabadilika,fdrl alipoingia magu tu wakawa wadogo mno

Huyo Mrwanda wa wapi?. Rwanda ipi sio huru. Kwa hivyo Tanzania Ina uhuru kamili kiasi Cha kuwapa warwanda uhuru?. Uhuru wa Rwanda ulishapatikana na Sasa warwanda ni wamoja.
 
Back
Top Bottom