Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,238
- 90,415
Hii naijua vzr sana kipindi niko gahinga,nilikua na soldier mmoja alishiriki hii battleNdio hii....waganda walirudishwa nyuma baada ya kuzidiwa.
Hii naijua vzr sana kipindi niko gahinga,nilikua na soldier mmoja alishiriki hii battleNdio hii....waganda walirudishwa nyuma baada ya kuzidiwa.
Wadau mm mleta uzi.....naanzia kuhesabu tokea 1991......mpaka sasa ndani ya Rwanda na DRC nyinyi mnaanzia wapi!!!!!!.Bora umetumia Neno inasemekana. Watu milioni kumi na mbili wamekuwa wapi na lini?. Population ya Rwanda kwa Sasa ni milioni 13. Unamaana aliua nchi nzima. Tutafute credible news tuachane na uongo.
Wajomba zangu walivunja maduka ya mabaharia walikua wanajitafutia maisha na kuiba magunia ya michele...na viberiti.Hii naijua vzr sana kipindi niko gahinga,nilikua na soldier mmoja alishiriki hii battle
Paul Kagame amezidi kuua watu wanaomkosoa, nchi ya Rwanda siyo mali yake binafsi Bali ni mali ya Wanyarwanda wote kwa ujumla wake.
Binamu uko sawa ..mie niko na wewe hasa kwa watoto wa 94 kurudi nyumbani, mwambie mjomba hili halipingiki ni muda tuWadau mm mleta uzi.....naanzia kuhesabu tokea 1991......mpaka sasa ndani ya Rwanda na DRC nyinyi mnaanzia wapi!!!!!!.
Hii batle ukiacha mjomba mkubwa lkn mjomba James nae aliishabikia sanaWajomba zangu walivunja maduka ya mabaharia walikua wanajitafutia maisha na kuiba magunia ya michele...na viberiti.
Watusi bhana......🤣🤣🤣
Mkuu uhuru upi.......wa mjomba kujitawaza mfalme na kuwawinda watu wafupi wasichukue madaraka...Huyo Mrwanda wa wapi?. Rwanda ipi sio huru. Kwa hivyo Tanzania Ina uhuru kamili kiasi Cha kuwapa warwanda uhuru?. Uhuru wa Rwanda ulishapatikana na Sasa warwanda ni wamoja.
James alikua na maslahi hapa.......vita vya panzi fahari kwa.......Hii batle ukiacha mjomba mkubwa lkn mjomba James nae aliishabikia sana
🤣🤣😂😂Binamu uko sawa ..mie niko na wewe hasa kwa watoto wa 94 kurudi nyumbani, mwambie mjomba hili halipingiki ni muda tu
Mjomba James na Mjomba mkubwa huwa hawapingani ..na anko James ni fisadi yule hivi bado mshauri wa mjomba mambo ya ugomvi?James alikua na maslahi hapa.......vita vya panzi fahari kwa.......
Mjomba james......alikua kinshasa kama mkuu wa majeshi......ila wakata viuno wakamtimua......nadhani 1997...Mjomba James na Mjomba mkubwa huwa hawapingani ..na anko James ni fisadi yule hivi bado mshauri wa mjomba mambo ya ugomvi?
Wadau mm mleta uzi.....naanzia kuhesabu tokea 1991......mpaka sasa ndani ya Rwanda na DRC nyinyi mnaanzia wapi!!!!!!.
Kipindi mjomba James yuko Kinshasa as mkuu wa maugomvi ,ndio Muzee K snr akamtimua ,akalianzisha lile la kisangani wakala kichapo sana maana waliwekwa mtu kati na waangolaMjomba james......alikua kinshasa kama mkuu wa majeshi......ila wakata viuno wakamtimua......nadhani 1997...
Mjomba hamtaki now dayz kisa anaogopa atampindua.
Hapo yupo na dogo kabila
View attachment 2858086
Mkuu,,,wewe huwajui wajomba zangu wa RPF na RPA na chinja chinja yao dhidi ya wapinzani wao ndani ya Rwanda na DRC since 1991 up to now!!Mkuu, sio 1991 tu hata ukianzia nyuma zaidi wa Mfalme Kigeli wa tano. Sidhani hata hiyo idadi inafika.
Mkuu mm nilimwandikia tu mjomba barua......wana ukoo tunajuana kwa vilemba....usiwafokee wachangiaji
Kwa hiyo lile la mchungaji ni lilikuwa la watu wa humu humu kwetu na si wa jirani kama ilivyokuwa ikisemwa na ata baadhi ya nyuzi humu?Profesa alikuwa gwiji na Mentor Mkuu wa kumshauri Bw. Mchungaji "Mtanganyika" ambaye alikuwa haitambui Zanzibar. Mchungaji "Mtanganyika" aliwachachafya sana "wakubwa/wazee wa kaya" na makesi yake mengi mengi ya miaka nenda rudi. "Wazee wa Kaya" walikuwa wanaragazwa vibaya sana na Mchungaji " Mtanganyika" kutokana na usaidizi mkubwa aliokuwa akiupata kutoka kwa Profesa. "Wazee wa Kaya" walipoona wanadhalilishwa sana mara kwa mara kwa kugaragazwa na Mchungaji "Mtanganyika" hususani kwenye like suala lake aliloshikia bango zaidi la Katiba mpya na Mgombea binafsi, basi "Wazee wa Kaya" wakaona isiwe tabu, afadhali wawaondoe watu hawa wote wawili pamoja na wengineo ambao walikuwepo kwenye huo umoja umoja wao ili kupunguza kero ya wao kudhalilishwa na kugaragazwa mara kwa mara.
Hivi na Mvungi pia ni kama ilikuwa kuendeleza hizi hizi harakati?Kumbuka kuwa Prof. Mwaikusa ndio alikuwa wakili wa wale washitakiwa wa kesi za mauaji ya Rwanda!
Mtikila alikuwa anamshutumu sana Kagame kuhusu mpango wao wa “ Bahima Empire “ na jinsi anavyowaangamiza wapinzani wake!
PK masterminded these assasinations!
Ndio Bonge anamfanyia Tumbi kila liwezekanalo yeye ashike kiti kwa ajili hii?Binadamu ,hawa #wazalendo wako funded na BONGE eeh ..naona Bonge anamtafuta sana anko
Hata mm nataka warudi na walishaambiwa warudi ,sasa sijui wanarudi kwa style ipi
HahahahaWatakaribishwa kwa style watakayokuja nayo.
Ni shairi au unaotaMjomba wale askari 600 waliokufa Kisangani kwa mahesabu yako mabovu ya kupigana na waganda....wazazi wao wanatulaumu...
Wale watu tuliowaua kwa kulipiza kisasi...na watoto wao sasa wanataka kulipiza kisasi.
Mjomba kila mtu anakuchukia ila tunakuchekea kinafiki sababu wewe ndio mkuu wa ukoo kwa sasa.
Tumeua wangapi mpaka sasa,,,,,????
Kuanzia ndani ya ukoo mpaka nje ya ukoo.???
Mjomba najua unajiita baba wa ukoo ila unadhani wewe ni bora kuliko alivyokua mjomba Fred???
Unadhani wewe ni bora kuliko Babu Dia Wamba???
Lengo lilikua kuwaondoa watu wafupi nyumbani.....maana waliua wana ukoo na walifanya mabaya mengi kwa miaka 45.
Lakini mbona baada ya kukupa uongozi wa ukoo na wewe umekua muuaji..???
Mjomba hupendi kuambiwa ukweli.
Mjomba umejigeuza mfalme wa ukoo..
Mjomba si wewe ndio ulipanga mpango wa kumuua mjomba Abby???
Afu ulitutenga wanao ambao wazazi wetu walikua mchanganyiko wa wana ukoo warefu na wafupi..
Unasema umoja wa kitaifa...lakini mbona unawatenga watu wafupi???
Mjomba sasa unavuka mipaka na kutaka kuwapangia majirani zetu waswahili na cha kufanya....
Mjomba wewe si ndio ulimsaliti babu Kaguta afu unatuambia uongo.
Mjomba ukichokoza vita sisi tutakususa kama tulivyomsusa anko Ntaganda....
Hao waswahili ukiwachokoza watakuja hadi kwenye boma na sisi tutakutekeleza.
Mjomba mpaka sasa kwenye rekodi kwa mkono wako au kwa maagizo umeua watu milioni 9 na bado huchoki...
Kwa kifupi mjomba wewe hauna tofauti na anko Abby na nyote ni wauaji tu.
Tumechoka kuua mjomba...sababu hata tukiua hatutowamaliza watu wafupi...
Afu kwani watu wafupi na warefu hatuwezi kuishi pamoja kwa amani???
Wewe kila siku unatuambia kila mtu mbaya...
Waswahili wabaya.
Warundi wabaya.
Wakongo wabaya.
Watu wafupi wabaya.
Sasa familia imechafuka na watu kwenye ukoo wanataka kukuua mjomba...ndio maana umetununia wana ukoo.
Mjomba watoto wako wanakula bata wakati sisi wapwa zako hatupati fursa.
Unadhani tutakenua meno???
Na sisi tunataka keki ya taifa.
Kwa taarifa yako mjomba tutakususia ukoo tuone kama utaenda frontline mwenyewe.
Wewe mtu gani unapenda kuua wanaukoo kila siku.
Sasa tukubaliane hv...na siku wewe wakikuuua usilalamike...sawa.
Mjomba gani ushauriki.....na ndio maana shangazi anakunyimaga unyumba afu unampiga makofi.....
Mjomba..
Sisi sio vitendea kazi vyako tuelewane.
Sisi sio ngombe wa nyama...unajichinjia mda wowote unaojisikia.
Sisi sio wajinga tumeshakushitukia.
Kama hautaki kikao cha ukoo tuchague mkuu wa ukoo mwingine,,bas njia ileile uliyoingia ndio utakayotokea...
Afu kua na aibu mjomba.....wamekufanyia oparesheni ya tezi dume....kapumzike tuachie uongozi wa ukoo..
Mjomba tumeshaua wanaukoo wengi sana na tumechoka hatutaki kuendelea kumwaga damu kwa niaba yako.
Watu wafupi na wenyewe wana haki ya kuishi....
Sasa tutakususia ukoo ubaki wewe na watoto wako tuone.
Mjomba mpaka mgambo wa ukoo unawaua kisa wamesahau kukupigia saluti...
Rekodi zetu watu milioni tisa na laki nane wameshakufa tokea 1992 na je tuendelee kuua???
Hapana mjomba huko tunakoelekea tutakususa ubaki peke yako....kama tulivyomsusa mjomba Abby...
Babu Kaguta yeye mwenyewe majirani washaanza kumsusa na sisi tunatazama tu......
Tutaua watu wangapi mjomba???
Tutafunga watu wangapi???
Vizazi vya wapwa zako vitaishije wewe ukiondoka??
Mjomba na wewe unamuiga Edorgan mpiga konyagi????
Sisi tumechoka mjomba....
Safari hii dirty work utafanya mwenyewe...
Mpwa wako nipo nimetulia na najua siwezi kuja kwenye ukoo sababu umeninunia kisa nakuambia ukweli..
Ila kumbuka damu nzito kuliko maji ndio maana nakuambia ukweli.
Pamoja na yote mjomba tusichukiane......sisi watoto tuna tabia ya kuropoka na mjomba mama.