A Friend in Need is a Friend Indeed..,
With Friends like maggid who needs an enemy ?, what happens to innocent until proven guilty ?
Hivi ikionekana amezingiziwa atamrudisha ?, nadhani angengoja kufanya haya pindi atakaposhitakiwa na sio tuhuma
IMI NILISHA SEMA Mjengwa kwa vyovyote vile ukweli anaufahamu na mwisho wa story atatajwa kuwa yumo.nadhani jamaa kaona ukweli fulani na kugundua kuwa kifuatacho yeye naye kama ludovick.Ila pia ni namna ya kujiosha kwamba nyuma ya pazia hafahamu chochote
Sasa Ludovick akimtaja Mjengwa itakuwaje?
Hivi neno KUSITISHA linatafsrika vp, kwamba badae wanaweza kuendeleza tena uhusiano au mimi ndio nashindwa tafasiri hiyo sentensi?
Ndugu zangu,
Kutokana na kuwepo kwa taarifa rasmi za kipolisi zenye kumtuhumu Ludovic Joseph kuhusika na matukio ya kigaidi.
Unahabari kuwa gari ya baba yako ipo mbalizi imepata ajari ile inayoitwa 'hambaku'msaidie mzee kujikwamua kiuchumi nape na mwigulu watakupoteza soon!!hata chadema wangemkana lwakatarehe ili kupisha uchunguzi .na baadae kuwakana mbowe na slaa tutakapo wakamata jnne kutokana na maelezo ya lwaka